Tulipo sema Kuna mtu anataka sifa ambazo baadae zitakuwa kilio kwa Taifa tulikuwa na uhakika yakuwa ndivyo itakavyokuwa.
Haya sasa huko mpakani Holili Shehena ya mahindi imezuiwa magari zaidi 500 hayana vibali ku export mahindi while tulisema chakula kipo nawatu wauze kwa kuwa ni jasho lao.
Samahani natamani kujuwa je mmebadili GIA hewani wau kitu gani kimetokea.
Kwani simliambiwa ? Namkajibu kwa kejeli hamfungi mipaka na kumkejeli Hayati Magufuli sasa mbona mnafunga mpaka achieni chakula kitoke alafu muone mtakavyo watawala watu wenye njaa. End
Habari kamili The Citizens ya Kenya.
Haya sasa huko mpakani Holili Shehena ya mahindi imezuiwa magari zaidi 500 hayana vibali ku export mahindi while tulisema chakula kipo nawatu wauze kwa kuwa ni jasho lao.
Samahani natamani kujuwa je mmebadili GIA hewani wau kitu gani kimetokea.
Kwani simliambiwa ? Namkajibu kwa kejeli hamfungi mipaka na kumkejeli Hayati Magufuli sasa mbona mnafunga mpaka achieni chakula kitoke alafu muone mtakavyo watawala watu wenye njaa. End
Habari kamili The Citizens ya Kenya.