wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    CHADEMA kwa muda mrefu sasa haijapokea madiwani wala wabunge kutoka vyama vingine. Je, haipendwi?

    Najiuliza tu maana tangia wamchukue Lazaro Nyalandu kutoka CCM hawa jamaa wa CHADEMA hawajapokea diwani wala Mbunge tena kutoka chama tofauti. CCM wao karibia kila mwezi wanapokea madiwani kutoka vyama vya upinzani wanaojiunga nacho kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli. Je, CHADEMA kimepoteza...
  2. T

    Hivi kwanini Serikali na wabunge wa CCM mliamua kutukatili wafanyakazi suala la mafao?

    Nasikitika sana kuona serikali inatulazimisha kuwa maskini. Ni ngumu sana kwa mfanyakazi kuwa tajiri kwa kutegemea kuajiriwa. NSSF wanapokea kiasi cha asilimia 20 (10 kwangu + 10 mwajiri) hapo hapo Serikali nayo wanakata kiasi cha asilimia zisizopungua 25 mpaka 30 ya mshahara wangu kama kodi...
  3. Ulimbo

    GE2020 Je Kampeni za uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais tayari zimeanza?

    Wanajamvi, leo katika pitapita zangu jijini Arusha nimeona Gari likipeperusha bendera ya ccm, na nilipotazama vizuri nikaona Bango kubwa limebandikwa kwanye kioo cha nyuma limeandika - MAGUFULI 2020. Je ndo kampeni zimeshanza kwa chama hicho au hilo bago lina maana gani? Je Vyama pinzani...
  4. Miss Zomboko

    Wabunge waitaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia maiti ndugu wanaposhindwa kulipa gharama za matibabu

    Wabunge wametaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia miili ya wanaofariki na ndugu zao kushindwa kulipa gharama za matibabu kwa wagonjwa wanaofariki badala yake imetakiwa kusamehe. Hoja hiyo ilitolewa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) na Mussa Mbarouk wa Tanga wakati wakichangia...
  5. J

    Lema: Wabunge wa CCM kumbukeni kuwa mambo yakiharibika tutazama wote bila kujali itikadi ya mtu

    Mbunge wa Arusha mjini mh Lema amesema wabunge wa CCM wanajisahau sana lakini mambo yakiharibika ni kama " mafuriko" yatawazoa wote bila kujali itikadi. Lema amesema atagombea ubunge mwezi octoba ili kuacha alama kwamba katika mminyo wa demokrasia kuna " wanaume" wachache walisimama hadi...
  6. B

    Dodoma: Wabunge wanena kuhusu zuio la Marekani kwa Makonda

    February 4, 2020 Dodoma, Tanzania Viwanja vya Bungeni: Wabunge watoa maoni zuio la Marekani Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Mhe.Constantine Kanyasu azungumza kuhusu zuio la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda, kwenda nchini Marekani na kusema haliwezi kuathiri Sekta...
  7. J

    Mawaziri wakuu wastaafu Lowassa na Sumaye watinga bungeni, wabunge waweka itikadi pembeni wawashangilia kwa shangwe

    Mawaziri wakuu wastaafu mzee Lowassa na Sumaye leo walikuwa kivutio kikubwa pale bungeni walipohudhuria sherehe za kukabidhiwa majoho yao maspika wastaafu Msekwa, Sitta na mama Makinda. Mara baada ya kutambulishwa na Spika Ndugai wabunge waliweka itikadi za kisiasa pembeni na kuwashangilia kwa...
  8. The Alchemist

    Marekani: Wabunge wa Seneti nchini Marekani wakiuka Kanuni za Bunge kwa kupeleka vitafunwa ukumbi wa Bunge

    Wabunge wa Bunge la Seneti nchini marekani wamelalamikiwa na wanahabari kwa kuvunja Kanuni Zinazosimamia Shauri la Kumwondoa Raisi madarakani (Impeachment Trial Rules) kwa kuingiza pipi na vitafunwa kwa siri kwenye Ukumbi wa Bunge. Kwa mujibu wa kanuni hizo, vyakula na vinywaji vimekatazwa na...
  9. SONGOKA

    Hii si sawa, wabunge hawa wachunguzwe rasmi

    Mwaka 2011 Julai 27, lilitoka gazeti la kila wiki la ijumaa wikienda likiwa na shutuma ya mbunge wa chadema kawe na wakati huo mbunge wa CCM viti maalumu Bunda kuwa WANASAGANA katika gazeti hilo wabunge kadhaa walihojiwa na kukiri kuwa tetesi hizi wamezisikia pia ndani na nje ya Bunge. wahusika...
  10. Hivi punde

    GE2020 Orodha kamili ya ambao hawatarudi Bungeni 2020 hii hapa

    Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:- 1. Mh Nape 2. Mh. Ngeleja 3. Mh Kitwanga 4...
  11. V

    Kwanini viongozi wa Kanda CHADEMA wengi ni wabunge?

    Najaribu kujiuliza huwa sipati majibu. Kwa nini viongozi wengi wa kanda wa chadema ni wabunge. Hivi hakuna watu wengine kwenye kanda wakagombea hizi nafasi ili baadae waje kugombea nafasi za kitaifa au ubunge? Kumpa nafasi ya kiongozi wa kanda mbunge fulani kusema kweli ni kumtwisha zigo...
  12. Corticopontine

    Mnyika anza kushughulika na kashifa za Mbowe juu ya matumizi mabaya ya Ruzuku ya chama na michango ya Wabunge

    Kirudishe Chama kiwe Taasisi usikubali kukumbatia uozo wa Mbowe fukua Makaburi muige Dr Bashiru Ally alivyowanyang'anya mafisadi ya CCM Magari ya kifahari na Hisa za CCM VODACOM
  13. Mr worldwide

    Easther Matiko katika mashindano ya riadha ya wabunge Afrika mashariki

    Mashindano ya riadha, mita 400
  14. J

    Kamati kuu ya CCM yakutana Mwanza: Yampongeza Rais Magufuli, Walio hama vyama vya Upinzani waongeza Ruzuku ya chama hadi Bil 13

    Kamati kuu ya CCM imekutana jijini Mwanza na kuongozwa na Mwenyekiti wake Dr Magufuli. Kamati kuu imempongeza Rais Magufuli na serikali yake kwa ujenzi wa miradi mikubwa inayoendelea nchini. Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kwa sasa hakuna kikwazo chochote kinachoweza kupunguza kasi ya...
  15. J

    Chadema wafanye maridhiano na wabunge na madiwani wao waliomwandikia barua Dr. Bashiru kuomba kuhamia CCM

    Binafsi naona kuna tatizo kubwa la kuhamahama kwa viongozi wa Chadema pasi na sababu za kueleweka na kuaminika. Juzi kaondoka mzee Sumaye na kabla ya hapo Dr Bashiru akiwa Zanzibar City alisema ana barua nyingi tu za wabunge na madiwani wa Chadema wanaoomba kuhamia CCM. Ni vema basi Chadema...
  16. GENTAMYCINE

    Kwanini Wabunge wa CCM wanapenda sana Kumjaribu na ni kama vile Wanamdharau sana Katibu Mkuu wao Dkt. Bashiru?

    Nakumbuka ni mwaka huu huu na Rekodi zipo tena akiwa ‘ amefura ‘ kabisa Mithili ya Mbogo aliyejeruhiwa Katibu Mkuu wa CCM na Mwanazuoni Dkt. Bashiru Ally Kakurwa alipiga Marufuku Wabunge wote wa CCM Kuanzisha Mashindano ambayo yanabeba Majina yao ( kwa Mfano GENTAMYCINE CUP ) na badala yake...
  17. beth

    Ukosefu wa fedha Liberia wakatisha likizo ya Wabunge

    Bunge la Liberia laitishwa kwa dharura Rais George Weah wa Liberia amewaomba Wabunge wa Bunge la nchi hiyo kukatisha likizo yao na kukutana kwa dharura kujadili mambo muhimu yanayolihusu Taifa hilo likiwemo lile linaloelezwa kuwa ni ukosefu wa fedha. Taarifa iliyotolewa na Bunge la Liberia...
  18. Cicero

    Wabunge Uganda wapinga nchi yao kutumia passport ya Afrika Mashariki, wahoji uhalali wake

    The move to have an East African Community (EAC) international passport has hit a snag in Uganda after MPs blocked it over its legality and the cost to users. In 2016, EAC leaders agreed to upgrade the EAC passport from a regional to an international document, with Kenya and Tanzania launching...
  19. Pascal Mayalla

    Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

    Wanabodi, Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!. Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi...
Back
Top Bottom