Kwanini CHADEMA hakiwavui uanachama Wabunge waliotangaza kuhamia NCCR Mageuzi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Mpaka sasa wabunge wawili wa CHADEMA Anthony Komu na Joseph Selasini wote kutoka Kilimanjaro wameshatangaza kutoiamini tena Itikadi ya chama hicho na wametangaza kuhamia NCCR Mageuzi kinachoongozwa na Mbunge wa Jimbo la Vunjo, James Mbatia.

Kwanini basi CHADEMA inayoongozwa na Freeman Aikael Mbowe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Hai kinashindwa kuwavua uanachama wabunge hawa wawili?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
 
hao wanalindwa na System, Chadema wakijaribu kuwavua itakua kesi ya muda mrefu ya kupoteza hela muda, ila mbunge wa CCM ajaribu kutangaza tu atahamia upinzani aone, anavuliwa fasta na akienda mahakamani kesi inamalizwa ndani ya wiki
Nimekuelewa bwashee!
 
Kamanda tulishamwambia kitambo awaachie na wengine Uenyekiti wa chama, yeye amekaza tu shingo. Ukijaribu tu kumchalenji wafuasi wake watakuvamia kama kundi la nyuki! Matusi na kejeli za kutosha. Wote waliojaribu kukitaka kiti chake, waliishia kukimbilia vyama vingine.

Nini maana sasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo! Miaka 20 Mwenyekiti ni wewe tu! Hivi hakuna wengine wenye sifa ya kuongoza ndani ya chama! Kuna tofauti gani na Ukurunzinza sasa!
 
Kamanda tulishamwambia kitambo awaachie na wengine Uenyekiti wa chama, yeye amekaza tu shingo. Ukijaribu tu kumchalenji wafuasi wake watakuvamia kama kundi la nyuki! Matusi na kejeli za kutosha. Wote waliojaribu kukitaka kiti chake, waliishia kukimbilia vyama vingine.

Nini maana sasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo! Miaka 20 Mwenyekiti ni wewe tu! Hivi hakuna wengine wenye sifa ya kuongoza ndani ya chama! Kuna tofauti gani na Ukurunzinza sasa!
Ni kama CCM wanavyokataa kuachia nchi utazani ni mali yao
 
Kamanda tulishamwambia kitambo awaachie na wengine Uenyekiti wa chama, yeye amekaza tu shingo. Ukijaribu tu kumchalenji wafuasi wake watakuvamia kama kundi la nyuki! Matusi na kejeli za kutosha. Wote waliojaribu kukitaka kiti chake, waliishia kukimbilia vyama vingine.

Nini maana sasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo! Miaka 20 Mwenyekiti ni wewe tu! Hivi hakuna wengine wenye sifa ya kuongoza ndani ya chama! Kuna tofauti gani na Ukurunzinza sasa!
Hao unaowaamini kwanini wasishinde kwa kura? unaleta habari za "kuwaachia wengine uenyekiti" unaelewa hata maana ya hiyo kauli... au mmekaririshwa tu?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina Maana kutangazia umma ya kwamba Wanachana fulani and fulani wamevuliwa uanachama wakati tayari wameshajivua wenyewe. However, kwa sasa hii sio habari, tuache tupambane na CORONA, Mungu akituvusha salama then tutarudi kwenye Bongo Politics.
Hakuna sababu ya kupoteza nguvu za ziada wakati ni miezi miwili tu imebaki bunge kuvunjwa. Wametumia haki yao ya kikatiba.
 
Mpaka sasa wabunge wawili wa Chadema Anthony Komu na Joseph Selasini wote kutoka Kilimanjaro wameshatangaza kutoiamini tena Itikadi ya chama hicho na wametangaza kuhamia Nccr mageuzi kinachoongozwa na mbunge wa Vunjo mh James Mbatia.

Kwanini basi Chadema inayoongozwa na mh Mbowe ambaye ni mbunge wa Hai kinashindwa kuwavua uanachama wabunge hawa wawili?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Kutamka peke yake hakutoshi kukidhi mahitaji ya sheria. Ili waweze kufukuzwa wanapaswa kumwandikia spika barua kuwa wamejivua uanachama.
 
Hao unaowaamini kwanini wasishinde kwa kura? unaleta habari za "kuwaachia wengine uenyekiti" unaelewa hata maana ya hiyo kauli... au mmekaririshwa tu?!

Sent using Jamii Forums mobile app

Makamanda huwa hamtaki kusikia kabisa kuhusu Kamanda wenu Mkuu kuwaachia kiti wengine! Huwa mnaamini yeye ndiye Chadema, na Chadema ni yeye. Ila amini nakuambia, muda wa Kamanda wa kukijenga na kukiimarisha chama ulishapita mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015!

Kuanzia pale uchaguzi mkuu tu ulipokwisha, alitakiwa akae pembeni na kuwaachia Makamanda wengine waendeleze pale alipoishia. Tunakoelekea, chama kitamfia mikononi mwake. Na uchaguzi wa mwaka huu 2020 ni ushahidi tosha! Mtafanyiwa kila aina ya figisu ili Wabunge wenu wote Makini wasirejee Bungeni.
 
Kamanda tulishamwambia kitambo awaachie na wengine Uenyekiti wa chama, yeye amekaza tu shingo. Ukijaribu tu kumchalenji wafuasi wake watakuvamia kama kundi la nyuki! Matusi na kejeli za kutosha. Wote waliojaribu kukitaka kiti chake, waliishia kukimbilia vyama vingine.

Nini maana sasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo! Miaka 20 Mwenyekiti ni wewe tu! Hivi hakuna wengine wenye sifa ya kuongoza ndani ya chama! Kuna tofauti gani na Ukurunzinza sasa!
Kwa hiyo hakuna haja ya kupigiwa kura, wao waachiwe tu! Akili za mavuvuzela ya Lumumba tabu tupu
 
Makamanda huwa hamtaki kusikia kabisa kuhusu Kamanda wenu Mkuu kuwaachia kiti wengine! Huwa mnaamini yeye ndiye Chadema, na Chadema ni yeye. Ila amini nakuambia, muda wa Kamanda wa kukijenga na kukiimarisha chama ulishapita mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015!

Kuanzia pale uchaguzi mkuu tu ulipokwisha, alitakiwa akae pembeni na kuwaachia Makamanda wengine waendeleze pale alipoishia. Tunakoelekea, chama kitamfia mikononi mwake. Na uchaguzi wa mwaka huu 2020 ni ushahidi tosha! Mtafanyiwa kila aina ya figisu ili Wabunge wenu wote Makini wasirejee Bungeni.
Kwa hiyo kumbe tatizo sio mwenyekiti bali figisu za dola? Sasa mbona hoja yako inakosa mashiko?
Nina wasiwasi na uelewa wako.
 
Kwa hiyo kumbe tatizo sio mwenyekiti bali figisu za dola? Sasa mbona hoja yako inakosa mashiko?
Nina wasiwasi na uelewa wako.

Kamanda punguza jazba! Kunywa kidogo maji utulie. Natambua akishaguswa tu Mwenyekiti wenu, huwa mnakosa kabisa uvumilivu. Kiufupi tu ni kwamba, Mwanyekiti wenu alifanya vizuri sana enzi za JK na hasa kwenye ujenzi wa Chama.

Alitakiwa asome alama za nyakati kwa kuwaachia nafasi wengine ili kuilinda heshima yake na pia brand ya Chama hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2015. Niambie tangu Magufuli alipoingia madarakani, Mbowe amefanya nini hasa cha maana kwenye uimarishaji wa chama?

Kampeni zake zote kuanzia UKUTA, nk. zilibuma! Zaidi ya hapo tulishuhudia tu wimbi kubwa la Madiwani, Wabunge na wanachama maarufu wakiwemo Makatibu Wakuu wawili wakikimbia chama huku wakitoa sababu mbalimbali na nyingi zikimlenga Mwenyekiti kwa kujipachika madaraka ya kudumu kwenye chama na pia kutumia pesa na ruzuku ya chama kwa mambo yasiyo na msingi.

Mimi naamini Chadema bila Mbowe, inawezekana.
 
Mpaka sasa wabunge wawili wa CHADEMA Anthony Komu na Joseph Selasini wote kutoka Kilimanjaro wameshatangaza kutoiamini tena Itikadi ya chama hicho na wametangaza kuhamia NCCR Mageuzi kinachoongozwa na Mbunge wa Jimbo la Vunjo, James Mbatia.

Kwanini basi CHADEMA inayoongozwa na Freeman Aikael Mbowe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Hai kinashindwa kuwavua uanachama wabunge hawa wawili?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Majibu ni kwamba mbowe anatarajia kuhama CHADEMA nae aingie NCCR au aunge mkono juhudi.
 
Kamanda punguza jazba! Kunywa kidogo maji utulie. Natambua akishaguswa tu Mwenyekiti wenu, huwa mnakosa kabisa uvumilivu. Kiufupi tu ni kwamba, Mwanyekiti wenu alifanya vizuri sana enzi za JK na hasa kwenye ujenzi wa Chama.

Alitakiwa asome alama za nyakati kwa kuwaachia nafasi wengine ili kuilinda heshima yake na pia brand ya Chama hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2015. Niambie tangu Magufuli alipoingia madarakani, Mbowe amefanya nini hasa cha maana kwenye uimarishaji wa chama?

Kampeni zake zote kuanzia UKUTA, nk. zilibuma! Zaidi ya hapo tulishuhudia tu wimbi kubwa la Madiwani, Wabunge na wanachama maarufu wakiwemo Makatibu Wakuu wawili wakikimbia chama huku wakitoa sababu mbalimbali na nyingi zikimlenga Mwenyekiti kwa kujipachika madaraka ya kudumu kwenye chama na pia kutumia pesa na ruzuku ya chama kwa mambo yasiyo na msingi.

Mimi naamini Chadema bila Mbowe, inawezekana.
Vema kabisa......... Chadema bila Mbowe inawezekana!
 
Back
Top Bottom