waajiriwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Wamiliki huharibiwa biashara zao na wafanyakazi wao

    Mara nyingi wamiliki wa biashara (kampuni) wengi huwaamini wafanyakazi wao kuendesha biashara zao katika idara tofauti za kampuni husika. Wafanyakazi hawa huharibu biashara za mabosi wao either kwa bahati mbaya (makosa ya kibinadamu) au kwa kukusudia. Makosa ya kukusudia huwa wanafanya kwa...
  2. MURUSI

    Waajiriwa ndio wana muda gym na Jogging, Wafanyabiashara hawana huo muda

    Kama ukijaribu kuchunguza wahudhuriaji wengi wa Gym na zile Jogging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gym au Jogging. Mbaya zaidi sasa hao wafanyakazi ikitokea kapigwa chini kazini...
  3. Hemedy Jr Junior

    Waajiriwa mkishastaafu mnasumbua sana

    Mnakuwa kama baba mwenye nyumba ambaye hana chanzo chochote cha kumuingizia kipato tofauti na nyumba kila muda anafokea wapangaji. 📌 Mnapostaafu mnaanza kutusumbua kuanza kutafuta watu wakuwashauri et ufanye biashara gani? Mbona ukufanya hivo mapema ? Me nawakumbusha tu. 📌 Watumishi mnajishau...
  4. Hemedy Jr Junior

    Waajiriwa wengi ni wapigaji

    Ukweli usemwe. Kila ninachosema nina ushaidi nacho kwenye familia kuna watu wamejiajiri na wengine wameajiriwa. Siku nikamcheki aliyeajiriwa ili anikopeshe kiasi fulani akaanza kunambia mambo magumu labda ngoja mwisho wa mwezi sema na hapo mademu mengi. Dukani wananidai kama 100k kwa daah...
  5. Mohamed Said

    Hassan Kinyozi na Ahmed Seif Waajiriwa wa Kwanza wa TANU Southern Province, 1955

    HASSAN KINYOZI NA AHMED SEIF: WAAJIRIWA WA KWANZA WA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955 Bingwa wa historia ya Tanganyika John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU iko mikononi mwa watu binafsi. Iliffe alisema maneno haya katika miaka ya 1960 alipokuwa mwalimu wa historia Chuo Kikuu Cha Afrika...
  6. Doctor Mama Amon

    Jinsi ya kulinda haki za waajiriwa walio kwenye kipindi cha majaribio: Kesi ya Agness B. Buhere versus UTT Microfinance Plc ya 2015

    Hukumu katika kesi ya Agness Buhere vs UTT Microfinance Plc ya mwaka 2015 ni mwongozo tosha wa kulinda haki za waajiriwa walio kwenye kipindi cha majaribio (probationary employees). Naambatanisha.
  7. JanguKamaJangu

    Waajiriwa mafunzo ya uchunguzi wakutwa na vyeti bandia

    Waajiriwa wapya 6 kati ya waajiriwa 553 wa mafunzo ya maafisa uchunguzi pamoja na maafisa uchunguzi wasaidizi wamekutwa na vyeti vyenye utata huku wawili 2 wakikutwa na vyeti vya kufoji Akizungumza wakati wa kutamatisha mafunzo hayo Mkurugenzi wa kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Hamduni...
  8. Aaliyyah

    Njia zipi nzuri ya kujiimarisha kiuchumi kwa waajiriwa?

    Natumain wazima? Kama kichwa cha habari kilivyo. Maisha yanahitaji akili ichangamke na kujituma hakuna janja janja,Kwa mlioajiriwa muda mwingi ofisi zinawahitaji muhudimie na Kwa muda sahihi ulioangwa.Mnawezaje na mnatumia mbinu gani kuweza kubalance mambo na mkakua kiuchumi na kazi zikaenda...
  9. T

    SoC02 Kukosekana kwa Ajira kwa Vijana Wengi Kumeibua Ajira Mpya kwa Waajiriwa

    Kuna Wimbi kubwa sana la Vijana mtaani wanaomaliza masomo yao katika Ngazi mbalimbali za Elimu lakini vijana hao wapo mtaani wakihaha na Kuwaza ni lini watapata Ajira Rasmi, Ilhali wapo Vijana ambao walichukua Uamuzi wa Kujiongeza na kuthubutu kujiajiri kutokana na kile walichokipata wakati...
  10. Theb

    SoC02 Mfumo wa kulipa mishahara waajiriwa wapya wa Serikali kwa kila mwaka wa ajira unahitaji kuboreshwa uendane na ukuaji wa Sayansi na Teknolojia

    Andiko hili litakua katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza itakua utangulizi hapa nitaelezea maana ya mfumo wa malipo ya mishahara ya waajiriwa, Sehemu ya pili hapa nitatoa changamoto au madhaifu ya mfumo wa malipo ya waajiriwa wapya, Sehemu ya tatu na mwisho nitatoa mapendekezo au mtazamo wangu...
  11. peno hasegawa

    Waajiriwa wapya tunaosubiria barua ya ajira ili kuripoti Julai 1, 2022 tukutane hapa

    Wale wote waliofaulu usaili ambao wanatarajia kuajiriwa kuanzia tarehe 1.7.2022 na Bado hawajapatiwa barua Za kuripoti kazini tarehe hiyo kufuatia tangazo na maagizo ya serikali kupitia kwa Waziri JENESTER Mhagama tukutane hapa.
  12. U

    Kwanini waajiriwa wengi hawana utamaduni wa kufanya savings nchini?

    Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings. Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi...
  13. A

    NSSF haina msaada kwa waajiriwa wa sekta binafsi

    Najiuliza lengo la serikali kufuta mifuko mingine na kubakisha miwili tu yaan kwa ajili ya wafanyakazi secta binafsi na serikali sioni sababu Ndugu Wana jamvi mfuko huu wa NSSF una mapungufu yafuatayo 1. Ni taasisi ambayo haifuatilii michango ya wanachama yaani mwajiri apeleke asipeleke kwao...
  14. P

    Mshahara wa waajiriwa wa bodi ya mkonge

    Habari zenu, Naomba nijuwe mshahara ya degree kwenye ajira ya bodi ya mkonge kwa anayejua. Nashkuru sana
  15. Mshana Jr

    Wahudumu wa baa wana maisha mazuri kuliko waajiriwa wengi

    Ni kazi inayoonekana dhalili mbele ya jamii.. Lakini ni kazi inayoendesha maisha ya mhusika kwa kujitosheleza karibia kia kitu kuanzia Mavazi, Malazi, Kusomesha, Kuhudumia wazazi na ndugu Kufungua biashara, Kujenga, Kununua vitu vya thamani, Kuhonga Kujihudumia nknk, Wahudumu wengi wa bar...
  16. W

    Wafanyakazi wa G4S tuliohamishiwa Zanzibar tunaomba ofisi ihamishie michango yetu ya Hifadhi ya Jamii NSSF kutoka ZSSF

    Sisi ni wa wafanyakazi tuliohamishiwa Zanzibar toka Bara kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi kwa miaka na siku tofauti. Tulipohamishiwa hapa visiwani kampuni yetu ya G4S ilitupatia mishahara yetu na kutuma michango yetu ya mifuko ya hifadhi ya jamii kama ada katika mifuko yetu ya hifadhi za...
  17. Unique Flower

    Waajiri wa wadada wa kazi za nyumbani hii inawahusu

    Waajiriwa wa wadada wakazi. Unamuajiri mtu halafu unamtumikisha kama mnyama Halafu unakuta mtoto wawatu anafanya kazi kwa moyo akikosea kitu unamuadhibu kama paka mwizi bado anavumilia . Wanaume ukiwaona kweli hudhanii ni waaribifu wawatoto wawatu. Mtu yupo na wadhifa anasifika kila idara ila...
Back
Top Bottom