Tanzania tumekuwa nchi ambayo mijadala ya kimaendeleo inafanyika kwenye mitandao tu.
Je tunaogopa nini? Hii mijadala sio ya kisiasa pekee inawezekana mijadala ya mfumo bora wa elimu ya sekondari kwa kizazi hiki, mijadala ya sheria bora na ardhi yetu, mijadala ya ajira.
Uzuri wa demokrasia ni...