Kazi kubwa ya kiongozi yeyeto yule ni kuhakikisha taasisi au watu anaowaongoza wanafikia malengo waliyojiwekea kwa asilimia zote. Kiaongozi asiye na uwezo wa kuweka malengo mahususi (specific objectives) na njia za kuyafikia (strategic plan) hana sifa za kuwa kiongozi bora.
Kiongozi bora pia ni...
Hivi punde kuna taarifa ya Waziri wa TAMISEMI ikisema baada ya rufaa wagombea wote waliokuwa wamekata rufaa watarudishwa kwenye kinyang'anyiro.
https://www.jamiiforums.com/threads/waziri-jafo-asema-atabandika-majina-hata-ya-wale-waliojitoa-na-kura-zitapigwa.1649064/unread
Na ninavyofahamu mimi...
Hivi ndio vile UMD, NRA, CCK, SAU ,TADEA, PONA, DP na vingine.
Hivi ndio mikoa ya ccm, wao ndio huibeba ccm kila
CHADEMA inapokataa kushiriki.
Nakumbuka waliitwa diamond jubilee baada ya uchaguzi wa 2015 kukubali matokeo baada ya CHADEMA kuyagomea.
Imetokea tena, leo wanatoa tamko la pamoja...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili
Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha...
Vyama vitatu vya siasa nchini Uingereza vimetangaza makubaliano ya kushirikiana ili kupata wanachama zaidi katika bunge ambao wanaunga mkono Uingereza kubakia katika Umoja wa Ulaya.
Vyama hivyo vitatu vya Liberal Democrats, Chama cha Walinzi wa Mazingira na chama cha Plaid Cymru cha jimbo la...
Kwenye fomu za wagombea Kuna sehemu za kugonga mihuri ya Chama Cha mgombea.
Mihuri mingine unakuta Ina jina la Chama ambacho hakipo.Mfano unakuta mhuri wa Chama unasomeka ACT wazalendo. Chama ambacho hakipo kwenye daftari la msajili wa vyama vya siasa.
Mhuri unatakiwa usomeke Alliance for...
Chama chochote cha upinzani kitakachoshiriki huu uhuni unaoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa ni wasaliti wa watanzania.
Kwanini nasema hivyo, matukio yote yaliyoripotiwa nchi nzima yameonyesha ukiukaji mkubwa wa sheria, kanuni na taratibu mbalimbali za uchaguzi ambazo hazijawahi tokea toka...
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema wagombea wote wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao wameondolewa lakini wamekata rufaa malalamiko yao yatasikilizwa na haki kutendeka na kama wameonewa basi watarejeshwa uchaguzini.
Chanzo: ITV habari
Hizi ni habari njema kwa wapinzani ukizingatia ukweli...
Kwanini wagombea wengi wa vyama vya upinzani wameenguliwa?
Hawakuwa na maarifa/uelewa wa kujaza fomu?
Wengi wao wamerudisha form zikiwa kilema (baadhi ya vitu muhimu havikujazwa wala kuambatishwa)
Viongozi wao wa juu walikua wame-base sana kwenye mitandao ya kijamii na sio kuwaeleimisha...
Ndugu zangu,
Kumekuwa na juhudi kubwa kwa vyama vya upinzani kupitia mitandao ya kijamii kupotosha yanayoendelea kuanzia kipindi cha uandikishaji, uteuzi wagombea na hatimaye uchukuaji na urejeshaji wa fomu.
Kipindi cha kujiandikisha walikuja na kampeni susia susia huku wakitoa picha za...
Kabla Magufuli hajakabidhiwa Uenyekiti wa CCM Taifa , chama hiki kilikuwa mali ya wanachama wake , walijianzishia miradi yao kwenye matawi , walijipatia chochote kwa kulinda magari yaliyolazwa kwenye ofisi hizo , wengine walianzisha miradi ya kupangisha wafanyabiashara kwenye baadhi ya maeneo ya...
Wana Bodi,
Hivi wale Wenyeviti wa mtaa kutoka Cuf na Chadema waliounga juhudi na kuhamia CCM, je wamerejeshwa kugombea tena uenyekiti kwenye chama tawala? kama hapana tupe ushuhuda ya unapojua, unafikiri kwanini hawakupewa nafasi ya kugombea kama wapo ambao hawakupewa.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akisalimiana na Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Newala baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya hiyo Aziza Mangosongo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni...
A. SABABU 50 ZA KUUNGA MKONO.
1. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa itakuwa na jukumu la kusajili vyama vya siasa.
2. Kutoa elimu ya uraia ni jukumu la pili la Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa,
3. Ofisi ya Msajili kuwa ndiye msimamizi wa mienendo ya vyama vya siasa vyote nchini Tanzania...
Watanzania tusikubali propaganda za kijinga hizi.!!! Tamko la bunge La ulaya lina hoja nyingine zaidi ya 14 tofauti na ushoga, watu kupigwa risasi na kukosekana uchunguzi,watu kupotea na kukutwa kwenye viroba,sheria ngumu ya mitandao,chaguzi na wapinzani kunyanyaswa,kufunguliwa kesi za kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.