viwanja

  1. Aliko Musa

    Mambo Saba (7) Unayotakiwa Kufanya Ili Kuongeza Kipato Chako Mara Mbili Kwa Kuwekeza Kwenye Viwanja Na Nyumba

    Haiwezekani kila anayewekeza kwenye viwanja na nyumba apate mafanikio makubwa. Hii inasababishwa na sababu mbalimbali. Kwenye ukurasa huu nimekuandalia mambo saba ambayo yatakufanya kipato kiongezeke mara mbili kilivyo sasa. Mambo 7 Ya Kuzingatia Ili Uongeze Kipato Mara Mbili. MOJA. Mtazamo...
  2. chiembe

    Bashungwa, John Paul Wanga hafai kuendelea na ukurugenzi, ukiacha Jimbo la Musukuma, mradi wa viwanja Buwelu East alitapeli,Waziri wa ardhi fuatilia

    John Paul Wanga, ni sehemu ya ukoo wa magufuli, amelalamikiwa sana na Mbunge Musukuma kwa ufisadi katika halmashauri yake, lakini alipokuwa Ilemela, kilikuwa na mradi wa Buswelu East wa viwanja, walitapeli kwamba watapeleka barabara,maji, umeme, vyote havipo, na tunaambiwa Hela nyingi...
  3. Kichuguu

    Viwanja hivi vipanuliwe

    Kutokana na na hadhi ya majina yake, nashauri viwanja hivi vipanuliwe na viboreshwe keundana inayoendana na hadhi majina yake: (1) Uwanja wa Karume - Dar (2) Uwanja wa Sokoine - Mbeya (3) Uwanja wa Nelson Mandela - Sumbawanga (4) Uwanja wa Kawawa - Kigoma (5) Uwanja wa Ali hassan mwinyi -...
  4. I

    Natafuta viwanja Moshi Mjini, budget ni Million 3

    Habari ya leo, Naomba mnisaidie kujua maeneo gani kuna viwanja vizuri kwa Moshi manispaa Budget ni Million 3 mpaka 4 Asanteni.
  5. May Day

    Ni nini kitatokea iwapo nitashindwa kumaliza kulipia Kiwanja?

    Kwa miaka ya karibuni kumeibuka Kampuni kadhaa zinazojihusisha na uuzaji wa Viwanja kwa njia ambayo wanamruhusu Mnunuaji kulipia kwa awamu au kidogokidogo. Wengi watakwambia ulipe kiasi fulani mwanzo kisha utaendelea kulipia kiwango kilichobaki ndani ya miezi sita au mwaka au kwa makubaliano...
  6. kidadari

    Ukweli kuhusu kampuni ya upimaji na uuzaji wa viwanja ya Cdqlink investment company

    Nimeifuatilia hii kampuni kwa kweli inauza viwanja kwa bei rafiki na wanaruhusu kulipa kidogokidogo ila changamoto inakuja kwenye page yao wanayotumia ya instagram wamelimit coments kiasi wateja hawawezi coments zaidi ya kuwasiliana kwa namba za simu tuu. Kampuni inajitanabaisha kua...
  7. Superbug

    Swali kuhusu viwanja vinavyouzwa na halmashauri zetu.

    Imagine umenunua kiwanja mwezi wa sita na hujamaliza kukilipia na kwenye barua yao wametia mkwala usipomaliza mpaka baada ya miezi kadhaa wanakiuza je inawezekana? Na unatakiwa ufanyaje Ili kuweka zuio? Au ni bit tu?
  8. Q

    Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni

    Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
  9. Molleli

    Ifike mahala SIMBA NA YANGA muhame nyumbani kwa wazazi mkajenge VIWANJA VYENU LOL!!!!

    Apa Tanzania sijui tuna pepo gani Ivi ni kweli vilabu vikubwa kama simba na yanga wanashindwa kumiliki hata uwanja kama wa Azam jamani hiii mbona ni haibu Sana Watanzania.... Kazi ni kuongea maneno tu mitandaoni!!!!
  10. Sky Eclat

    Unaponunua viwanja vya mradi wa viwanja, unaweza kufahamu ujirani?

    Unaponunua nyumba au kiwanja ni uwekezaji wa kudumu. Ni muhimu ufahamu; Kiwango cha uhakifu, Utoro na mahudhurio ya watoto ma shuleni, Kiwango cha kelele na udhibiti wake. Haya mambo uyafahamu wakati umehamia, yanaweza hata kuathiri thamani ya nyumba au kiwanja unapotaka kukiuza. Mfano tu...
  11. CK Allan

    Ukweli Mchungu: Simba na Yanga havitakaa vimiliki viwanja vyao vya kuchezea mechi zao za ligi

    Ndio hivyo! Mechi za Simba na Yanga wakicheza na vilabu vingine ni wao wenyewe wanapanga viingilio.. Lakini ikifika Derby ni TFF ndio wanapanga viingilio, Angalia mapato ambayo Simba na Yanga wanaingiza kupitia Mkapa Stadium! Leo hii uwaruhusu Yanga na Simba wamiliki viwanja vyao halafu...
  12. Kibenje KK

    House4Sale Viwanja bei ya ofa vikindu kwa laki saba tu

    OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment...
  13. Ramon Abbas

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa, BUNJU A DSM

    Viwanja viko vitatu. vyote vina hati za serikali umbali ni km 1 kutoka lami. size ni sqr m 600 kila kimoja (30m*20m) Eneo lina umeme Bei ni 25mil 0713096076
  14. C

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi

    Pata viwanja kwa bei nafuu eneo la Kibaha madafu na mbezi mzalendo njia ya malamba. Eneo lenye urefu wa 56 meter kwa 43 na mapana ya meter 19 umbali wa dakika 20 kwa miguu toka morogoro road. Kwa bei ya shilingi milioni mbili na laki tano tu . Vilevile Kuna eneo lingine hapo happy Lina urefu wa...
  15. Ortega

    Viwanja Vinauzwa

    #ViwanjaVinauzwa 📍Vipo Km 3 kutoka Round about ya Goba Njia nne. 461 SQM - 7,000,000 477 SQM - 7,500,000 480 SQM - 7,500,000 598 SQM - 9,000,000 656 SQM - 10,000,000 679 SQM - 10,500,000 728 SQM - 11,000,000 👉 Contact/WhatsApp 0712 787 939
  16. M

    Viwanja ambavyo havistahili kuchezea mechi za ligi kuu

    1.Ule uwanja unaotumiwa na dodoma jiji.Ni aibu sana yaani uwanja upo katikati ya jiji lakini una nyasi kavu na kutimka vumbi. 2.Karume-Mara, huu uwanja hata kuchezea ligi daraja la kwanza haufai ni kama vile huwa wanalima mpunga hapo. Orodhesha vingine.
  17. chiembe

    Serikali ianzie pale TFF ilipoishia: Viwanja vinajaa hela haionekani,na takwimu wanaoingia uwanjani wachache,kuna mtandao wa tiketi feki pale TFF?

    Yanga na simba wanajaza mashabiki sana, pamoja na timu nyingine,lakini takwimu zinaonyesha wanaolipia tiketi hawalingani idadi na wanaoingia uwanjani, viwanja vinajaa sana, takwimu zinaonyesha watu wachache ndio wanalipia tiketi. serikali iingie chimbo, haiwezekani viwanja vijae halafu ionekane...
  18. sky soldier

    Msemaji wa simba akiri mashabiki wa simba huchangia kujaza viwanja mechi za yanga, Je simba haiwaridhishi??

    Ezekiel Kamwaga - Kaimu Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano - Simba SC HITIMISHO 1. Ukisema unaenda kuangalia timu ya mwenzako maana yake kuna kitu bora unakwenda kukiona ambacho timu yako haina 😀😀 2. Mashabiki wa Simba walikuwa wanaacha kuangalia mechi zao na wanakwenda kuangalia Game...
  19. Ortega

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Madale

    Viwanja vinauzwa (Surveyed Plots), viko Madale Msumi. Km 3 kutoka Round about ya Goba Njia nne. 477 SQM - 7,500,000 480 SQM - 7,500,000 461 SQM - 7,000,000 679 SQM - 10,500,000 656 SQM - 10,000,000 598 SQM - 9,000,000 728 SQM - 11,000,000 Malipo ya kwanza asilimia 50% kwanza. 👉 Contact/WhatsApp...
  20. Kibenje KK

    Plot4Sale Viwanja Kibaha kwa bei nafuu ya ofa

    Viwanja KIBAHA - PANGANI - Lumumba Street. -Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana. -Mradi upo kilomita chache kutoka Loliondo Stand na kwa njia nyingine waweza pitia Kibamba Shule. -Ni sehemu nzuri na ya kuvutia sana. -Huduma za kijamii kama maji,umeme,shule zinapatikana. -Neighbourhood yake...
Back
Top Bottom