Black Thought
Senior Member
- Feb 25, 2015
- 160
- 406
Habari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani 𝙏𝙪𝙣𝙖𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙞𝙖 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙝𝙚𝙨𝙖𝙗𝙪/idadi 𝙮𝙖 ‘𝙢𝙖𝙩𝙚𝙧𝙞𝙖𝙡’ 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙚𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙪𝙖 itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali.
Unaweza kutucheki kwa whatsapp: 0717682856
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani 𝙏𝙪𝙣𝙖𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙞𝙖 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙝𝙚𝙨𝙖𝙗𝙪/idadi 𝙮𝙖 ‘𝙢𝙖𝙩𝙚𝙧𝙞𝙖𝙡’ 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙚𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙪𝙖 itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali.
Unaweza kutucheki kwa whatsapp: 0717682856