virus

  1. beth

    JamiiForums Tanzania Marekani: Rais Donald Trump asaini amri kuzuia watu kukusanya na kupandisha bei bidhaa zinazohitajika kudhibiti Corona Virus

    President Donald Trump signed an executive order on Monday to prevent hoarding and price gouging of supplies needed to fight the deadly coronavirus, a spokeswoman said. “This sends a strong message - we will not let those hoarding vital supplies & price gougers to harm the health of America in...
  2. babu M

    JamiiForums Tanzania Boris Johnson Puts U.K. on Three-Week Lockdown as Virus Spreads

    By Tim Ross and Kitty Donaldson Weddings banned, shops closed, police will fine rule breakers Radical measures intended to stop transfer between households The U.K. will go into lockdown from Monday night after Boris Johnson ordered sweeping measures to stop people leaving their homes. As...
  3. Tusker Bariiiidi

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

    Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi. Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
  4. beth

    JamiiForums Tanzania Corona Virus: Michuano ya Olimpiki iliyopangwa kufanyika Julai mwaka huu nchini Japan mbioni kuahirishwa

    Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) inaangalia uwezekano wa kuahirisha michuano ya Tokyo 2020, na imejipatia wiki nne kufanya maamuzi. Bodi ya Utendaji ya IOC iliyokutana Jumapili jioni huku kukiwa na shinikizo kutoka kwa wanariadha na kamati za kitaifa za Olimpiki wakitaka michuano hiyo...
  5. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Corona virus: lran imekataa msaada kutoka Marekani

    Kiongozi mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran haitopokea msaada wowote kutoka Marekani, katika kubadili hali ilivyo kutokana na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona nchini mwake. Katika taarifa yake hiyo Khamenei alirejea kuizungumzia dhana ya kwamba virusi hivyo...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Corona virus taught the world how to re shape it’s life

    Crisis Which Crisis? While our government adopted a mad scientist approach to the virus crisis; a nationwide experiment in herd immunity - usually only done with vaccines (of which there are none)… abandoned this week in the face of modelling showing 260k deaths as a result…..the virus moved...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Corona virus kills 627 Italians a day! Bergamo Mayor says...To date there is 2508 deaths comfirmed

    Italy imposed further draconian restrictions on public life on Friday in an increasingly desperate effort to halt coronavirus infections after the death toll leapt by 627 in a single day, by far the biggest 24-hour rise recorded anywhere. The mayor of the most badly affected city, Bergamo in...
  8. Chibudee

    JamiiForums Tanzania Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba afya ndio mtaji wa nchi kujiendesha

    Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba AFYA NDIO MTAJI WA NCHI KUJIENDESHA; Ndio, yaani inabidi huduma za afya zitolewe bure na zigaramiwe na serikali. Serikali za dunia mpaka sasa zimeshuhudia hasara kubwa sana kutokana na janga la CORONA, kwamba watawaliwa hawafanyi kazi...
  9. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

    Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona. Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya...
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Maofisa wa Afya South Sudan wakimpima afya mkwe wa Malkia Elizabeth airport

    Sophie Wessex alimuakilisha Malkia South Sudan mwezi huu. Maofisa wa afya walimpima afya mara tu aliposhuka kwenye ndege. Sophie was in fact pictured being tested for the coronavirus on arrival, with the Queen's ambassador to South Sudan Chris Trott writing on Twitter: "Very pleased to...
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

    Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China. Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya...
  12. LIKUD

    JamiiForums Tanzania The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars

    Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden. Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani. Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili. Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na...
  13. Daisy Llilies

    JamiiForums Tanzania Usiku wangu na mgonjwa wa Corona virus

    Mimi ninafanya kazi kama freelance, ninalipwa kutokana na shift ninazofanya. Tarehe 5 usiku niliamua kufanya night shift amabayo hunilipa malipo zaidi kuliko day shift. Kwakuwa Nina mambo mengine night moja kwa wiki inatosha kulipa bills za wiki, chakula na mafuta ya Gari. Nilifika kazini saa...
  14. Nyamsusa JB

    JamiiForums Tanzania Corona Virus Mauritania yafunga Airport

    Habarini wanajanvi. Jana nilirudi kazini Mauritania. Watu wote tuliofika na Ndege za jana tumewekwa kizuizini kwa siku 14 kuangalia kama tuna maambukizi ya Corona virus. Hivyo tutakuwa hapa hotelini kwa siku 14. Haturuhusiwi kutoka vyumbani na wala kukutana na watu. Pia leo Airport imefungwa...
  15. Dr Mathew Togolani Mndeme

    JamiiForums Tanzania Kenya na Mlipuko wa Covid-19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua?

    Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020 Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini kuanzia kesho. Pia amefunga mipaka yake kwa raia wa nchi yoyote ambayo imeshatangaza kuwa na...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Corona Virus made some changes Mexico now urges USA to hurry up with the wall of

  17. B

    JamiiForums Tanzania Corona virus: Tunajifunza nini toka kwa wengine?

    Moja kwa moja kwenye mada: Majirani zetu Kenya, Rwanda na DRC tayari wamesha ripoti kuwapo kwa wagonjwa wa corona katika nchi zao.Kwa hali hii ni wazi kuwa hapa kwetu ni suala la muda tu sasa. Wenzetu, katika nchi nyingi kutegemeana na ukubwa wa tatizo wame kuwa wakichukua hatua kadhaa katika...
  18. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Corona Virus: Marekani yatangaza hali ya dharura. Hali yatabiriwa kuwa mbaya zaidi wiki 8 zijazo

    Rais Donald Trump ametangaza hali ya dharura kutokana na kuenea kwa virusi vya corona, pamoja na upatikanaji wa karibu dola bilioni 50 kama msaada zaidi wa serikali ya shirikisho kupambana na ugonjwa huo. Trump ametoa tangazo hilo katika mkutano na waandishi wa habari na kusema kwamba hali...
  19. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Haji Manara na Corona Virus

    Haji Manara yupo Ulaya now. Anatembelea nchi tofauti tofauti zilizo barani Ulaya. Nchi za Ulaya zinaripotiwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi ya Corona. Na ugonjwa wa Corona unaripotiwa kuwathiri zaidi wazungu kuliko watu weusi. Honestly: Haji Manara ni kama.mzungu Tu so na yeye anaweza kuwa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Corona Virus, see what Chinese are eating that would probably cause The outbreak .

    Coronavirus is a deadly virus that came into existence from Wuhan in China. Why this virus came to an existence still gives people around the world serious confusion and nobody can tell the causes of the virus. Coronavirus was said to have killed many people around the world since the spread...
Back
Top Bottom