virus

  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Haji Manara popote ulipo au ukisaidiwa na Yanga SC Wenzako mkinijibu haya Maswali yangu Muhimu nitashukuru

    " Wenye Akili Yanga SC nzima ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yangu Mzazi Mzee Manara waliobakia wote hawana," alisema Haji Manara alipokuwa akihojiwa na EFM Radio Kipindi cha Sports Headquarters mwaka 2021. Baada ya Nukuu ( Kumbukizi ) hii sasa Maswali Kuntu ya GENTAMYCINE...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Ni antivirus ipi ni nzuri na inaweza kuweka ulinzi mzuri dhidi ya virus na harkers ikiwezekana?

    Sokoni kuna antivirus nyingi na kila moja inajinasibu kuwa ni nzuri. Kwa yule mwenye uzoefu na antivirus mbalimbali naomba ushauri nitumie antivirus vipi kwenye laptop yangu?
  3. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Russia Develops New Test to Detect “MonkeyPox Virus” Then Creates the Vaccine for MonkeyPox in Less Than 30 Days

    Back in August of 2020, Russia shocked the world by announcing that they had developed the world’s first vaccine for the “new” coronavirus, seemingly taking delight in the fact that they beat the Americans to the market. It was named “Sputnik V,” reminding the Americans that they were the first...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mliopo Morogoro ni 'Chocho' gani lina 'Mademu' wazuri ila hawana Gono, Kaswende na Dally Kimoko Virus?

    Fanyeni chap kunijibu kwani nipo Moro!!
  5. mwilawi

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa namna ya kuindoa virus kwenye pc bila kubadili windows

    Salama wakuu. Naomba kuelekezwa namna ya kuindoa virus kwenye pc bila kubadili windows. Asante nisaidieni. Nipo dodoma na mafundi wengi wananiambia ni lazima kupiga chini window then kuweka antivirus na kuscann
  6. A

    JamiiForums Tanzania Europe considering the new covid strategy: accepts the virus we should learn to leave with it

    MADRID (AP) — When the coronavirus pandemic was first declared, Spaniards were ordered to stay home for more than three months. For weeks, they were not allowed outside even for exercise. Children were banned from playgrounds, and the economy virtually stopped. But officials credited the...
  7. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Huenda binadamu ni silaha za kibaiolojia zilizoletwa duniani kama virusi wa kansa ili kuiharibu Dunia

    Tofauti Kati ya Dini Na sayansi/filosofi kuhusu Sababu ya Sisi kuwepo duniani Na Nani ametuleta mahali hapa Ni Moja: Approach ya Dini katika kuelezea Sababu yetu kuwa hapa duniani inaanzia kwenye hitimisho (Religion approach is from the conclusion) kwamba Mungu ndio ametuleta hapa duniani ili...
  8. F

    JamiiForums Tanzania The following countries of the world have no record of Coronavirus

    The following countries of the world have no record of Coronavirus:- Kiribati Marshall Islands Micronesia Nauru North Korea Palau Samoa Solomon Islands Tonga Turkmenistan Tuvalu Vanuatu SOURCE: AL JAZEERA
  9. C

    JamiiForums Tanzania Fast and Furious 9 'F 9' imetangazwa kuwa filamu iliyoingiza pesa nyingi zaidi kutoka kwenye majumba ya sinema toka kuanza kwa janga la Corona Virus

    Fast and Furious 9 'F 9' imetangazwa kuwa filamu iliyoingiza pesa nyingi zaidi kutoka kwenye majumba ya sinema toka kuanza kwa janga la Corona Virus duniani. Mpaka sasa F9 Imetengeneza dola milioni 700, huku dola milioni 200 zikitoka kwa watazamaji nchini China. Studio za Universal...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Kama sanitizer inauwa virus wa Corona kwenye mikono, kwanini zisiwepo santizer za kunywa Kama maji au juice?

    Wakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga. Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa. Tukitumia sanitizer, tunapaka kwenye mikono na kuhamin virus wamekufa. Sasa...
  11. beth

    JamiiForums Tanzania Guinea yaripoti kisa cha kwanza cha Ugonjwa wa Marburg

    Wataalamu wa Afya Nchini humo wamethibitisha kisa cha kwanza cha Marburg katika Ukanda wa Afrika Magharibi. Ugonjwa huo umetajwa kuwa jamii moja na Virusi vya Ebola. Mgonjwa aliyekutwa nao amefariki dunia. Imeelezwa, Ugonjwa huo unasambaa kwa binadamu kupitia majimaji. Jitihada za kutafuta watu...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuvaa barakoa nahisi mtu anaweza kupata virus vya Corona kupitia vinywaji vya kwenye cafe au bar

    Wakuu habari za siku nyingi, Nimeshtukia hii kitu sana mtu kupata virusi vya corona kupitia vinywaji Kama soda au bia kupitia njia ya wahudumu. Umevaa barakoa vizuri kabisaaa, una nawa mikono n.k, Ukienda bar unavua barakoa una agiza bia ata ukiwa peke yako. Muhudum akija anakufungulia ile...
  13. Wacha1

    JamiiForums Tanzania We shouldn't Cower from Virus

    Covid news - live: We shouldn’t ‘cower’ from virus, Javid says, as pingdemic threatens widespread disruption (msn.com) We shouldn’t ‘cower’ from virus, Javid says, as pingdemic threatens widespread disruption © Dan Kitwood/Getty Images GettyImages-1325881667.jpg Sajid Javid, the health...
  14. zimmerman

    JamiiForums Tanzania How effective are vaccines in dealing with corona virus? Israel's story

    Jerusalem Post Health & Science Coronavirus in Israel: What do we know about the 143 hospitalized people? By MAAYAN JAFFE-HOFFMAN JULY 21, 2021 18:07 Of the 143 hospitalized patients, 58% were vaccinated, 39% were not at all, and 3% were partially vaccinated. Some 143 Israelis were...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Viwapi virus vya SA, UK & Brazil

    Wadau, Kama mnavyokumbuka kuna kipindi viliibuka aina mpya za virusi vya korona vya kutoka South Africa, Brazil and UK. Virus hivi hasa kile cha SA vilisemekana kuwa hatali zaidi na kuna baadhi ya nchi zilifikia hatua ya kisotisha safari zote kwenda SA Muda umekwenda kwa sasa hatusikii...
  16. BILGERT

    JamiiForums Tanzania Nimevamiwa na NUSM Virus

    Naombeni msaada wenu wakuu,namna ya kuondoa hawa virus.Ni takribani wiki moja sasa tangu nivamiwe na hawa viruse,niliwapata baada ya kuingia website kadhaa. Wamefunga files zangu zote za kwenye computer(documents, videos na movie's). Cc CHIEF MKWAWA
  17. C

    JamiiForums Tanzania CNN: After death of Covid-denying president, Tanzania sets roadmap to combat the virus

    Tanzania's coronavirus response is getting serious, two months after the death of the country's Covid-denying president. Before he died in mid-March, former leader John Magafuli repeatedly dismissed the seriousness of Covid-19 in his country and urged his citizens to "pray coronavirus away."...
  18. Jackal

    JamiiForums Tanzania Israel yatengeneza dawa ya kupuliza puani inayoua Virus kwa asilimia 99.9

    Israeli company 'SaNOtize' invented a life-saving nasal spray that protects and prevents viral infections. Israel is at the forefront of finding medical solutions that are blessing humanity. --- A nasal spray that will be marketed as capable of killing 99.9 percent of virus particles has started...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

    TAARIFA KWA UMMA Maalim Seif Apumzishwa Baada ya Kupata Maambukizi ya Covid 19 Chama cha ACT Wazalendo kinawajuilisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania, kuwa Mwenyekiti wake wa Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe, Bi Awena, pamoja na Wasaidizi wake kadhaa wa karibu...
  20. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Hizi hotuba za kisiasa za Rais Magufuli zitatuponza. Tuchague mambo ya kusema hadharani

    Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka. Ni vibaya kwa rais kutoonesha imani na chanjo...
Back
Top Bottom