min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,835
- 165,691
Kuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta pesa pungufu na kalewa vibaya sana , nikamwamba mtimue .
Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt
Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt