Uchaguzi 2020 Kumbukumbu: Kauli ya Askofu Gwajima dhidi ya imani za Wakatoliki na Waislamu

Huyu jamaa ni bwege! Kichwa hakiko sawa kabisa! Sijui CCM walifikilia nini kwa mtu ambaye mambo yake yako documented. Ni mbaya sana kulazimisha kila wakati eti dini nazo ziwakilishwe kwenye bunge, ili iweje? Mbona majeshi, hayana uwakilishi?
 
Back
Top Bottom