Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,844
- 90,300
Tuko salama!
Yaani katika vitu ambavyo Gen Z wapi smart zaidi ya sisi kaka zao na baba zao ni ujinga wa Udini wala uchama. Hiyo ni moja ya tofauti kuu tuliyonayo na wao.
Gen z wao huwezi mletea hadithi za kizamani au kufikirika atabaki kukudharau tuu.
Gen Z hawaamini kwenye kumuachia Mungu.
Gen z hawaamini kwamba kuna laana sijui za wazazi.
Gen Z hawana mambo ya sijui kiongozi wa kidini sijui sheikhe au mchungaji
Gen Z kama hujiheshimu wanaruka na wewe.
Gen Z wanachojali ufanye matendo mazuri watakukubali hata kama wao hawana maadili.
Gen Z wanaunganishwa na ubinadamu zaidi kuliko Udini, ukabila, utaifa, uchama.
So huwezi ukaleta ushamba wako wa dini au ukabila kwa hiki kizazi kikakushangaa sana.
Ijumaa kareem
Yaani katika vitu ambavyo Gen Z wapi smart zaidi ya sisi kaka zao na baba zao ni ujinga wa Udini wala uchama. Hiyo ni moja ya tofauti kuu tuliyonayo na wao.
Gen z wao huwezi mletea hadithi za kizamani au kufikirika atabaki kukudharau tuu.
Gen Z hawaamini kwenye kumuachia Mungu.
Gen z hawaamini kwamba kuna laana sijui za wazazi.
Gen Z hawana mambo ya sijui kiongozi wa kidini sijui sheikhe au mchungaji
Gen Z kama hujiheshimu wanaruka na wewe.
Gen Z wanachojali ufanye matendo mazuri watakukubali hata kama wao hawana maadili.
Gen Z wanaunganishwa na ubinadamu zaidi kuliko Udini, ukabila, utaifa, uchama.
So huwezi ukaleta ushamba wako wa dini au ukabila kwa hiki kizazi kikakushangaa sana.
Ijumaa kareem