Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,532
- 9,605
Tunaanzia wapi wazee
OkayKwenye kambi za jeshi
Akil zak zmejaa mavAchana na maandamano mzee fanya kibarua chako pata unga kale na wanao hilo ndio fungu lako kutoka kwa mola wako... siasa na biashara hapo wanasubiri wewe ufe halafu wanasiasa waitane Ikulu kujadili namna ya kula keki ya taifa baada ya wewe kufa
Umetumwa weweAchana na maandamano mzee fanya kibarua chako pata unga kale na wanao hilo ndio fungu lako kutoka kwa mola wako... siasa na biashara hapo wanasubiri wewe ufe halafu wanasiasa waitane Ikulu kujadili namna ya kula keki ya taifa baada ya wewe kufa
Ndo wewe unasubiria tufe upinge picha uwatumie mabaasha zako wa ulaya ili mje mfanye maridhiano kumamakoAkil zak zmejaa mav
Khakuna mambo yamenitinga endeleeni
WapNiko na mwamvuli hapa kuna mvua kubwa inanyesha na magari ni machache mno watu wanahesabika barabarani
Maisha ya kimaskiniAchana na maandamano mzee fanya kibarua chako pata unga kale na wanao hilo ndio fungu lako kutoka kwa mola wako... siasa na biashara hapo wanasubiri wewe ufe halafu wanasiasa waitane Ikulu kujadili namna ya kula keki ya taifa baada ya wewe kufa