utalii

  1. Impimpi

    JamiiForums Tanzania SoC01 Miradi ya nyumba nafuu za kiutamaduni na kiasilia itaimarisha utalii na pato kwa shirika la nyumba na real estates companies na Taifa kwa ujumla.

    Sio siri kuwa miradi mingi ya nyumba za makazi na biashara hushindwa kuliteka soko kwa Watanzania wengi hasa wa kipato cha chini na badala yake nyumba nyingi zimebaki tupu bila wapangaji ama wamiliki ( wanunuzi) kwani miradi hio hukosa uhalisia wa maisha ya watu wa chini. Makampuni hudhani kuwa...
  2. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania City Lodge Hotel iko sokoni; je, hii ni dalili gani kwa soko la Utalii?

    Hoteli mpya kabisa mkabala na Mahakama ya Kisutu iko sokoni baada ya biashara kudorora kwa 73%. Pamoja na sababu zingine COVID 19 yawezekana ni moja ya sababu. ======== City Lodge sells 148-room hotel in Tanzania for R1m, Kenyan hotels also sold The City Lodge Hotel Dar es Salaam in Tanzania...
  3. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Utalii wa msosi

    Umewahi toka matembezi ili kufuata msosi? Vitu vidogovidogo maishani vinaweza kukuletea furaha sana. Mi nilikua natoka mpaka feri. Nikifika naingia mle wanakaanga samaki. Nanunua pweza wa moto au samaki yeyote mkubwa, tena bei cheap tu. Wananiwekea kwenye bahasha. Hapo naenda beach pale nyuma...
  4. B

    JamiiForums Tanzania CCM yatoa maelekezo mahususi kwa wizara ya maliasili na utalii

    Chama Cha Mapinduzi kimesema kinathamini, kinaheshimu na kuuunga mkono uhifadhi wa maliasili na uoto wa asili katika hifadhi za taifa, mapori ya akiba na misitu nchini. Pamoja na hayo kimesema uhifadhi endelevu unahitaji ushirikishwaji mkubwa wa jamii na uzingatie mahitaji ya msingi ya...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Picha wanazipenda kuchukua Watalii kama kumbukumbu ya utalii wao Afrika

  6. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Nashauri Wizara ya Utalii waanzishe utalii wa chini ya bahari

    Habari wadau! Ni muda sasa wizara zikajitathimini na kuwa wabunifu ili kumsaidia mama kuongeza mapato. Nilikuwa nashauri serikali kupitia wizara husika kuangalia uwezekano wa kuanzisha utalii watu tukawe tunaenda kutalii chini kabisa ya bahari deep sea bila shaka kutakuwa na utamu wake maana...
  7. J

    JamiiForums Tanzania IMF yamhakikishia Rais Samia itasaidia mapambano dhidi ya Covid 19 na kuhuisha sekta zilizodororeshwa na Corona ikiwemo Utalii.

    Ujumbe wa Shirika la Fedha duniani ( IMF) umekutana na Rais Samia Ikulu jijini Dodoma na kumuahidi kusaidia mapambano dhidi ya Corona. Kadhalika IMF itasaidia kuhuisha shughuli zilizoathiriwa na Corona ikiwemo utalii. Chanzo: ITV habari
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Internship Vacancies at Musoma Utalii Training College

    About the College Musoma Utalii Training College is a college registered by Ministry of Education, National Council for Technical Education (NACTE) and Vocational Education Training Authority (VETA). We are offering different courses as per society needs. The College is located near Bweri Bus...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Safari yangu Jijini Arusha na niliyoyakuta

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Kazi iendelee. Ilikuwa ni furaha kutoka Nyanda za Juu Kusini na kuja Ukanda huu wa Kaskazini mwa Tanzania. Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii. Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza. 1. Covid 19 imeutesa sana huu...
  10. Replica

    JamiiForums Tanzania Mrisho Gambo: Bajeti Haijatoa Ahueni yoyote Sekta ya Utalii, Wanaenda Kuiua

    Mrisho Gambo akichangia Bungeni kwenye Bajeti iliyopendekezwa, ameielezea kutotoa ahueni yoyote kwenye sekta ya utalii iliyoyumba kutokana changamoto za ugonjwa wa Covid. Amesema mchango wa utalii umeshuka kutoka asilimia 17.5 mpaka asilimia 10.7 na mapato yamepungua kutoka bilioni 584 mpaka...
  11. Mparee2

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Utalii mnatia aibu

    Hivi unaweza kuamini hadi tarehe ya leo Kuna kituo kimoja tu cha kuchukua sample za Korona kwenye Mbuga zote Tanzania. Wenzetu Kenya ka mbuga kadogo ( Masai Mara) kama robo ya Serengeti kanavyo zaidi ya 10 yaani jamani haingii akilini!! Hicho Kituo kimoja cha Seronera ni private sector...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ndugu waziri wa Utalii, boresheni utalii kwa kufanya mambo yafuatayo

    Ndugu Waziri, Takwimu zinaonyesha kuwa katika mambo yanayochangia pato kubwa la nchi yetu ni utalii. Kwa hiyo hii ni sekta inayopaswa kuchukuliwa serious sana na kuwekeza kwa nguvu zote ili pato la nchi liweze kuongezeka. Kwa hiyo ndugu Waziri huu ni muda muafaka wa ubunifu na kuja na vyanzo...
  13. Nduka Original

    JamiiForums Tanzania Dkt. Allan Kijazi, Katibu Mkuu Maliasili na Utalii na DG TANAPA - Confusion

    Dkt. Allan Kijazi ni Director General wa Tanzania National Parks na wakati huo huo ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii. Kabla ya hapo alikuwa Naibu Katibu Mkuu na Mh. Samia Suluhu akam-promote kuwa Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Aloyce Nzuki. Kwanza mimi nampongeza kwa uteuzi ila...
  14. Jembe Jembe

    JamiiForums Tanzania TCCIA yaunga mkono jitihada zinazofanywa na jiji la Arusha kuboresha maeneo yenye uoto wa asili ili kukuza utalii

    Chama cha wafanyabiashara Mkoa wa Arusha TCCIA, Kimeunga mkono jitihada zinazofanywa na halmashauri ya jiji la Arusha kwa kuyaboresha maeneo yote yenye uoto wa asili ili kukuza kivutio cha utalii katika jiji la Arusha. Akiongea wakati wa zoezi la kuboresha mazingira hayo lililoratibiwa na jiji...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi waziri wa maliasili na utalii? Je ameliona hili!

    Kuna udhalimu nimeuona chini ya jua, maskini akiwa na gunia lake moja la mkaa, auze asaidie familia yake, ananyang'anywa na wafanyakazi/askari wa maliasili, sambamba na kuchukua simu na baiskeli, maana ni vya thamani! Mtuhumiwa anaachwa guru! (huo nao ni ubatili) Mtuhumiwa Hugo anapokwenda...
  16. MaxShimba

    JamiiForums Tanzania Kalambo Waterfalls Tanzania

    The Kalambo Falls on the Kalambo River is a 772ft (235m) single drop waterfall in Tanzania, very near the border with Zambia at the southeast end of Lake Tanganyika. The falls are some of the tallest uninterrupted falls in Africa (after South Africa's Tugela Falls, Ethiopia's Jin Bahir Falls...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu ahutubia Mabunge ya Kenya: Biashara kushamiri, Vikwazo Mipakani kutatuliwa, Udugu kudumishwa

    Analihutubia Bunge la Kenya litakalojumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili ya nchi hiyo. ======= Rais Samia Suluhu Hassan Nina furaha kubwa kupata nafasi ya kuhutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Seneti na la Kitaifa Nchini Kenya - Tanzania tuna Bunge moja. Kwangu, ndio mara ya kwanza...
  18. Tumaini CN-CNB

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Mlima Taishan

    Mvuto wa Mlima Taishan Mount Taishan Attracting Visitors Mohamed Mwinyi Mohamed BAKITA TANZANIA Mlima Taishan wenye historia ya miaka mingi ni mojawapo la machimbuko ya utamaduni wa kale wa China. Kwa misingi hiyo mnamo mwaka 1987 serikali ya China ilipendekeza uingizwe kwenye orodha ya...
  19. beth

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri wa Utalii akiri ni kweli bila vivutio kutangazwa utalii hauwezi kuendelezwa

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amekiri bila kutangaza vivutio vilivyopo nchini Utalii hauwezi kuendelezwa. Ametoa kauli hiyo akimjibu Mbunge aliyehoji kuhusu mkakati wa kutangaza vivutio vya Kusini. Akiwa Bungeni, Masanja amesema bila kuimarisha miundombinu utangazaji wa...
  20. beth

    JamiiForums Tanzania Majaliwa: Sekta ya Utalii ilikumbwa na changamoto ya ukuaji kutokana na janga la Corona

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Utalii ni miongoni mwa sekta za kiuchumi zilizokumbwa na changamoto ya ukuaji kwa mwaka 2020/21 kutokana na janga la COVID19 Ametaja baadhi ya hatua zilizochukuliwa na mataifa mengine duniani ili kujikinga ni pamoja na kufunga mipaka, kusitisha...
Back
Top Bottom