usiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. sky soldier

    Kwanini ninachelewa kusinzia nikisikiliza hiizi nyimbo? Nipo peke yangu

    Kuna playlist yangu nikijiroga kuiweka huwa kulala ni saa tisa kama muda huu niliopost Huenda kuna wanasaikolojia hhumu waniambie chanzo Saa 2 kasoro iabidi niwe kazini, hapa kuamka saa 1 kasoro 2 berry - Na Wewe Tu Mike tee - Sintobadilika JI - Kidato Kimoja MB Dogg - Natamani Mr Paul -...
  2. GENTAMYCINE

    Mtani wangu Kocha Minziro wa Geita Gold FC acha Kuzurura hovyo Usiku huu, kalale Kesho Unafungwa tu hata 'mroge' vipi

    Halafu hiyo Gari aina ya Harrier Nyeusi kila mara tu inakuja hapo Hotelini Kwenu inajulikana ni ya GSM inafuata nini ikiwa na hao Wazee Watatu na huyo Mmoja ana Mguu mbovu anaishi Mbagala Charambe? Kocha Minziro endelea tu Kudanganywa na hao Watu wako wa Yanga SC ila nikuonye mapema Simba SC...
  3. MakinikiA

    Hivi TBC mnajielewa kweli? Saa 4 usiku mnaonyesha cartoons wakati watoto wameshalala

    Kwa kweli mna bore muda huu hata mngeweka picha ya Bushman ingependeza mnaweka cartoons kweli Kodi zetu ndio mnazitumia hivyo?
  4. M

    Fanya yafuatayo ukitaka usivamiwe sana na vibaka au hata wakuokoe kwenye hatari

    1. Penda Kujichanganya nao kupiga stori ukiwa na muda 2. Ukibakiza vichenji chenji wape 3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulie 4. Ukisikia Mmoja wao kakamatwa onyesha hata kinafiki tu kuwa unampambania Kumtoa 5. Wakosoe kwa kuwajenga na siyo kwa Kuwadhalilisha na...
  5. F

    Joto la dunia, Serikali iamuru mabasi yasafiri usiku

    Kwa hali ya joto inavyozidi kuwa mbaya kila uchapo huku mgao wa maji ukizidi makali yake na huenda Tanesco nayo iko mbioni wakati wowote kuanzia sasa kutangaza mgawo wa nishati ya umeme, hali ambayo itafanya watu wasiomudu majenereta kuyakimbia majumba yao usiku na mchana, nina maoni kwamba...
  6. Ben Zen Tarot

    Fahamu kuhusu Bitcoin. Je, unaweza kutajirika kwa usiku mmoja?

    Bitcoin ni fedha ya kidigitali ambayo huondoa uhitaji wa waamuzi na wasimamizi wa fedha kama benki na serikali na badala yake kutumia mtandao wa kompyuta zenye uwezo wa kuthibisha manunuzi moja kwa moja kati ya watumiaji. Kwa kawaida fedha husimamiwa na Benki kuu pamoja na serikali lakini...
  7. Greatest Of All Time

    Simba kumtambulisha kocha wake saa mbili usiku huu

    Kupitia ukurasa wa klabu ya Simba kwenye mtandao wa Twitter, wametangaza kuwa usiku wa leo saa mbili watamtangaza kocha mpya! Hivyo mashabiki wakae mkao wa kula!! Unahisi kocha wa Simba atatoka nchi gani?
  8. Kipenzi Changu

    Zile suti za kina Feisali ni za kuendeshea bajaji usiku

    Cheki midude Namuunga mkono ndugu mwandishi
  9. Miss Zomboko

    Rais Kenyatta aondoa mrufuku ya watu kutembea usiku

    President Uhuru Kenyatta on Wednesday lifted the nationwide curfew, which has been in place since March last year to curb the spread of the coronavirus. "I hereby order that the nationwide dusk to dawn curfew that has been in effect from March 27, 2020, be and is hereby vacated with immediate...
  10. Idugunde

    Balimi xtra lager la usiku huku unaangalia movie Mnet 4, linashuka kwa baridii

    Peppermit ipo hewani ni revenge ya nguvu baada ya wqzazi wa starring kuuwawa. Lakini kikubwa ni balimi kushuka kwenye koo huku usungizi ukijitafuta taratibu. Viva Balimi Extra lager.
  11. C

    He kumbe airtel walitoaga ile bando ya usiku ya 10 gb?

    Hawa jamaa niliwakimbiaga sababu ya speed ya kobe baada ya kupewa kipigo cha mbwa koko na halotel leo nikasema nikachungulie kama lile bando pendwa la usiku la kudownload movies, vitabu, softwares bado lipo, ilikuwaga 10 gb kwa 1,500 lahaula nimekuta lipo la 500 unapata mb 375 Hkayamungu kwa...
  12. ZINDAGI

    Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga

    Hebu tupeane update za zoezi la kuhama kwa wamachinga eneo ulipo. Mimi nimepita pale UHASIBU kutokea Kigamboni, nimekuta Wamachinga woote wameitikia wito wa kuhama, wapo busy wanabomoa vibanda vyao
  13. Suley2019

    BAKWATA: Maulid kusomwa usiku wa tarehe 18/10/2021 hivyo tarehe 19/10/2021 ni mapumziko

    Wakuu salaam, Taarifa rasmi kuhusu maadhimisho ya Sikukuu ya Maulid mwaka huu. BAKWATA wanafafanua kuwa itasomwa usiku wa leo hivyo kesho inakuwa ni mapumziko. Hii hapa chini ni barua yao kuthibitisha taarifa hii
  14. Mohamed Said

    Mohamed Said: Hamza Kassongo on Sunday JK Nyerere na marafiki zake saa tatu usiku leo TVE

  15. R

    Mtandao gani una bando nzuri kwa USIKU

    Habar wadau nimekwama hapa Kuna file lima 60 GB nataka kulidownload halotel 1500 unapata GB 5 Total 18000 Wapi nafuu niende
  16. M

    Vijana wa Chuo Mwenge wamenikuta nakula hivi Usiku huu Wamenicheka je, Mimi na Wao waliokula Kiepe Mshikaki cha Kushea nani kala Afya?

    Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist ) Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa...
  17. HUKU ABROAD

    Umeshtuka usiku umekutana na rafki yako wa karibu anakuroga na ukamuona usoni je kesho utamkumbusha !?

    Nimemuona mchawi namjua Ingekuwa ww ungemfata asubuhi !?
  18. C

    Mugalu kapost picha instagram saa 8 usiku akiwa anatafuta goli vs Yanga, atukanwa vibaya

    Kuna uwezekano MSHAMBULIAJI NAMBARI MOJA NA TEGEMO KUU LA SIMBA SC, Chris Mugalu akawa na ugonjwa wa akili nawaambia nyie hata kama ni mgeni hujali kuhusu derby kuwa na uchu basi kama wale vijana wa utopolo kina Aucho mbona wao ndiyo mara ya kwanza wamepambana wewe una mechi 3 na utopolo...
  19. Pamoja tunaweza

    Mke na mume wanapoamka na kuswali usiku hurehemewa na Mwenyezimungu na kupataa Baraka njema katika ndoa yao. Usiamke kuswali ukamuacha mwenza wako

    Mke na mume wanapoamka na kuswali usiku hurehemewa na Mwenyezimungu na kupataa Baraka njema katika ndoa yao. Usiamke kuswali ukamuacha mwenza wako akiwa amelala bila udhuru wowote Kila jambo huwa na uzito wake, hasa mambo ya kheri huwa na uzito sana ukizingatia kuwa sheitwani naye ana mchango...
Back
Top Bottom