Wanabodi,
Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa...
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania...
Anaandika, Robert Heriel
Baba
Ni mwiko kuona mwanaume akilia au kutoa machozi, na kama atalia labda iwe ni kwa sababu ya kifo cha mzazi au mke au mtoto anayempenda, na hata akilia wakati msiba wa watu hao hapaswi kulialia kama mtoto au mwanamke. Kuna kulia kiume, sio unapigapiga makelele na...
Bosi wa Wagner Prigozin sasa ametangaza rasmi kuikalia Bakhmut. Hata mkuu wa NATO naye japo hajasema kwa wazi naye amekubali kazi ya Bakhmut imeisha kwani yeye ametabiri kuanguka kwa Bakhmut baada ya siku tatu.
Sijui kama alichosema raisi Zelensky kama ni kweli dhidi ya uvumi kwamba ana...
Enzi za shule za msingi miaka mingi iliyopita tulikuwa tunafundishwa nyimbo za taifa, historia na hata ukubwani kuaminishwa kuwa kuonyesha uzalendo wa taifa mtu anaweza kuvaa mavazi fulani yenye bendera ya nchi n.k.
Kitendo kilichofanywa na kijana Majaliwa katika ajali ya ndege ni kitendo cha...
Pelosi receives medal of honor
Taiwanese leader praised the US House Speaker for her stalwart support of the island.
“The speaker’s courage and actions are deeply inspiring and touching,” Tsai said, according to the South China Morning Post, as she presented Pelosi with one of the highest-rank...
Leo hii ( Siku hizi ) ni Jambo la Kawaida sana Kumkuta au Kumsikia Mwanaume ( Mume au Mchumba wa Mtu ) akiwa tu ana Mahusiano na Mwanamke wa Pembeni ( wa Nje ) akimsema vibaya Mkewe / Mchumba ( kiasi cha mpaka Kumdhalilisha ) kwa kutoa Siri zake pamoja na Madhaifu yake.
Kuna Mwanaume Mmoja...
Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.
Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza waunganisha hata na wachezaji wa nchi nyingine kuipambania Tanzania.
Sasa mwakani Tanzania tunaingiza...
Salaam Wana JF
Nianze andiko hili fupi la uchambuzi kwa kutoa hongera na shukrani kwa Rais Dkt. Pombe Magufuli kuendelea kuonyesha misimamo chanya dhidi ya maslahi ya Watanzania katika mambo ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kifya licha ya uwepo wa mashambulizi makali kutoka miongoni mwa...
Napenda kutanguliza salamu zangu kwenu.
Niwakumbushe tu fasili ya neno shujaa ni kuwa ni mtu anayefanya mambo makubwa mazuri yasiyotegemewa katika kipindi au sehemu ngumu.
Ni hivi Sasa tangu uanze mchakato wa kura za maoni kila kuchapo Kuna malalamiko mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali tena...
Najua pengine naweza jisababishia maneno ya kebehi na dhihaka lakini sitoacha kusema kile nikifikiriacho kwenu ninyi ndugu zangu.
Waafrika tumekuwa tukifaulu katika kushindwa toka karne na karne.nguvu zetu zimekuwa ni udhaifu wetu. Na kwa kuwa tumeshindwa kujitathmini na kumtafuta wa kumsukumia...
Maisha ya mwanadamu ni mafupi hivyo tusimbeze yoyote anayeamua kuyalinda maisha yake na familia yake bila kuvunja sheria.
Hakuna ujasiri wowote wa mtu kufia bungeni eti anawakilisha wananchi waliomchagua, hiyo Johnthebaptist nakataa kabisa.
Kwa hili la Corona mashujaa ni wahudumu wa afya walio...
Habari za jioni wana JF,
Natumaini wote wazima humu, na moja kwa moja niende kwenye mada.
UTANGULIZI
Leo major alikuwa mwanajeshi wa Canada ambaye aliyepigana vita mbili kubwa na kuibuka shujaa wa aina yake yaani Vita Kuu ya Pili ya Dunia (1940s) na Vita vya Korea (1950s). Leo alizaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.