Rais Samia, Kung'atuka nako ni ushujaa

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,154
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
 
We kuweza, Ni sawa nakuomba mzazi afariki kabla ya mda hili upate urithi
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Hiki ni kipimo cha maendeleo Tanzania tumetoka wapi na tuko wapi. Kwenye world rankings za "kWh per capita" tuko juu sana ukilinganisha na jirani zetu hasimu. Nairobi kuna maeneo yana umeme lakini hayana umeme. Johannesburg wana rationing ya wiki moja moja. I repeat, kama Dr Tuliya alichaguliwa Rais wa Mabunge kwa umahiri wake, Samiya naye ni Rais wa dunia kwa umeme wake. Hawa wanapinga kwa ubibafsi wao na upumbavu wao. Ni bora ujinga huisha ukienda shule lakini upumbavu ni maumbile kama mtu mrefu au mfupi.
 
Wote waliopo kwenye nafasi ya kumtoa watakua wamelitendea wema sana taifa letu kama watamtoa kwa njia yoyote ile nasema yoyote ile ikiwa atakua king'ang'anizi na kutaka kuendelea kuongoza
Taasisi hizi naamini zinaweza kufanya jambo
1. Idara ya Usalama
2.Chama cha Mapinduzi
3. Jeshi la wananchi na
4. Wananch wenyewe
 
Mheshimiwa Rais anamalizia kipindi chake anaenda kupumzika , Ili kupoteza maboya anasema ataendelea , Ili wateule wake wapige kazi na kuacha mipango ya kuwaza urais.
Kwa hiyo tusiwe na wasi wasi kuhusu Ili 2025 ndo inafika
 
Hiki ni kipimo cha maendeleo Tanzania tumetoka wapi na tuko wapi. Kwenye world rankings za "kWh per capita" tuko juu sana ukilinganisha na jirani zetu hasimu. Nairobi kuna maeneo yana umeme lakini hayana umeme. Johannesburg wana rationing ya wiki moja moja. I repeat, kama Dr Tuliya alichaguliwa Rais wa Mabunge kwa umahiri wake, Samiya naye ni Rais wa dunia kwa umeme wake. Hawa wanapinga kwa ubibafsi wao na upumbavu wao. Ni bora ujinga huisha ukienda shule lakini upumbavu ni maumbile kama mtu mrefu au mfupi.
uyasemayo ni kipimo Cha uwezo wako mdogo wa akili
 
Hiki ni kipimo cha maendeleo Tanzania tumetoka wapi na tuko wapi. Kwenye world rankings za "kWh per capita" tuko juu sana ukilinganisha na jirani zetu hasimu. Nairobi kuna maeneo yana umeme lakini hayana umeme. Johannesburg wana rationing ya wiki moja moja. I repeat, kama Dr Tuliya alichaguliwa Rais wa Mabunge kwa umahiri wake, Samiya naye ni Rais wa dunia kwa umeme wake. Hawa wanapinga kwa ubibafsi wao na upumbavu wao. Ni bora ujinga huisha ukienda shule lakini upumbavu ni maumbile kama mtu mrefu au mfupi.
Andika VIZURI WE KIROBOTO..Maana we sio CHAWA.
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Ingekuwa Kila Changamoto ikitokea Rais anang'atuka basi Dunia na Tzn ingekuwa na mzigo wa Marais.

Hilo halipo na ni mjinga tuu ndio anaweza kung'atuka.
 
Hiki ni kipimo cha maendeleo Tanzania tumetoka wapi na tuko wapi. Kwenye world rankings za "kWh per capita" tuko juu sana ukilinganisha na jirani zetu hasimu. Nairobi kuna maeneo yana umeme lakini hayana umeme. Johannesburg wana rationing ya wiki moja moja. I repeat, kama Dr Tuliya alichaguliwa Rais wa Mabunge kwa umahiri wake, Samiya naye ni Rais wa dunia kwa umeme wake. Hawa wanapinga kwa ubibafsi wao na upumbavu wao. Ni bora ujinga huisha ukienda shule lakini upumbavu ni maumbile kama mtu mrefu au mfupi.
LGF nikitaka kukutukana kisomi ningesema "wewe ni fala" kwa sababu mtoto wa jirani yako anatemmbea peku unajisifia kwa wakwako kuvaa ndala?"

Kama hii ndio namna ya kufikiri mliyotoka nayo vyuoni hakika ninyi na elimu wote mmedhalilika sana.
 
Hiki ni kipimo cha maendeleo Tanzania tumetoka wapi na tuko wapi. Kwenye world rankings za "kWh per capita" tuko juu sana ukilinganisha na jirani zetu hasimu. Nairobi kuna maeneo yana umeme lakini hayana umeme. Johannesburg wana rationing ya wiki moja moja. I repeat, kama Dr Tuliya alichaguliwa Rais wa Mabunge kwa umahiri wake, Samiya naye ni Rais wa dunia kwa umeme wake. Hawa wanapinga kwa ubibafsi wao na upumbavu wao. Ni bora ujinga huisha ukienda shule lakini upumbavu ni maumbile kama mtu mrefu au mfupi.
Una mawazo mgando, na nakushauli upunguze kujipendekeza
Nani asiyejua adha ya umeme kwa sasa hivi nchini Tanzania
 
yani kuna muda unaweza kujiuliza hivi raisi wa tz ni nani. kuna bango limewekwa tazara unapoanza kupanda daraja la mfugale kwenda gongo la mboto ndo unakumbuka aaah kumbe huyu ndo raisi.. yani hayupo kabisa
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Siku likiondoka hili nitamwimbia na kumshukru bwana. Sijui hata kilitokea Nini Hadi likaingia madarakani
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Mkuu kwa vile Januari Makamba hayupo, na aliyepo ni mwana, mmeona mumgeukie Rais Samia kabisa! Mnamharibia mwana mazima sasa!
 
Back
Top Bottom