Vijana waambiwe ukweli kwamba Uanaume ni Ukakamavu, Uhodari na Ushujaa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,339
51,880
Anaandika, Robert Heriel
Baba

Ni mwiko kuona mwanaume akilia au kutoa machozi, na kama atalia labda iwe ni kwa sababu ya kifo cha mzazi au mke au mtoto anayempenda, na hata akilia wakati msiba wa watu hao hapaswi kulialia kama mtoto au mwanamke. Kuna kulia kiume, sio unapigapiga makelele na kugaragara, unalia kama mwanaume, kama mfalme, kama baba na kiongozi wa familia na jamii.

Mtoto wa kiume ni kama simba dume, tangu akiwa mtoto lazima aandaliwe kukabiliana na jambo lolote liwe gumu au liwe rahisi, bila kulialia na kuomba misaada ya kijinga. Uanaume ni ukakamavu, ubishi, kugangamala.

Mtoto wa kiume aambiwe ukweli kuwa amezaliwa ili kutawala, kuyafanya maisha yawe rahisi, kusaidia jamii yake, kuipigania jamii yake, na sio jamii impiganie. Wanaopiganiwa ni wanawake na watoto kwa sababu hawana nguvu ya misuli na hawana akili kama sisi wanaume.

Mwanaume yupo kwa ajili ya mambo mazito na magumu yanayosumbua familia na jamii yake. Jambo lolote ambalo lipo kwenye jamii unaloliona ni zito na gumu kwenye jamii basi jua jambo hilo lipo kwaajili ya kushughulikiwa na wewe kijana. Sio utake wengine wakufanyie au walitatue, huo sio uanaume.

Wahenga waliimba mwanaume ameumbiwa mateso na kuhangaika. Mwanaume lazima uwe shupavu, mkakamavu bila kuwa legelege, lazima uwe hodari, jasiri na shujaa pasipo kuogopa Jambo lolote.

Kijana lazima afundishwe njia za kawaida na njia/mbinu mbadala za kupambana na mambo atakayokutana nayo kwenye maisha. Sio kijana mbinu moja imefeli anaanza kulialia na kulaumu. Mwanaume lazima afundishwe kutumia nguvu na akili.

Mwanaume ni sehemu ya jamii, mwanaume hamilikiwi na mtu au mkewe, ila yeye ndiye anamiliki yote katika jamii yake.

Huo ndio uanaume, yoyote atakayefikiri kinyume na hapo hawezi kuwa kundi la wanaume halisi.

Madhara ya mwanaume alishindwa kuwa mkakamavu, shupavu, hodari na jasiri;

1. Atashindwa kujiongoza yeye mwenyewe.
2. Atashindwa kuongoza mji wake na watoto wake.
3. Jamii yake itaanguka.
4. Atakuwa ni mtu wa kuonewa na kudharauliwa.
5. Hatakuwa na thamani yoyote hata wanawake watamzidi thamani.

Wazazi hasa kina baba, mimi Taikon kwenye andiko hili ninawapa moyo, kazeni mikanda, ninyi ni wababa, ninyi ndio serikali hapo nyumbani.

Jambo lolote lisiloenda sawa kabilianeni nalo, lile linalozidi mipaka nanyi zidisheni mipaka. Hata serikali ndivyo inavyofanya kazi, anayezidisha mipaka atashughulikiwa kwa namna ya kuogofya ili iwe funzo kwa wengine.

Hakuna kuchekacheka hapa, ni mawili wanyooke wakikaidi hakuna namna, ni watoto wako mwenyewe.
Msiogope. Uanaume ni ujasiri. Jicho lako lisiwe na huruma hata chembe ukiwa kama baba/mwanaume.

Taikon nami ni baba, haya tutayaonesha kwa vitendo ili iwe case study kwa wengine, ili isije semwa na watu kuwa anaandika au kuongea tuu.

Ni yule Mtibeli, kutoka nyota ya Tibeli. Mnyanyembe wa Tabora.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
 
Anaandika, Robert Heriel
Baba

Ni mwiko kuona mwanaume akilia au kutoa machozi, na kama atalia labda iwe ni kwa sababu ya kifo cha mzazi au mke au mtoto anayempenda, na hata akilia wakati msiba wa watu hao hapaswi kulialia kama mtoto au mwanamke. Kuna kulia kiume, sio unapigapiga makelele na kugaragara, unalia kama mwanaume, kama mfalme, kama baba na kiongozi wa familia na jamii.

Mtoto wa kiume ni kama simba dume, tangu akiwa mtoto lazima aandaliwe kukabiliana na jambo lolote liwe gumu au liwe rahisi, bila kulialia na kuomba misaada ya kijinga. Uanaume ni ukakamavu, ubishi, kugangamala.

Mtoto wa kiume aambiwe ukweli kuwa amezaliwa ili kutawala, kuyafanya maisha yawe rahisi, kusaidia jamii yake, kuipigania jamii yake, na sio jamii impiganie. Wanaopiganiwa ni wanawake na watoto kwa sababu hawana nguvu ya misuli na hawana akili kama sisi wanaume.

Mwanaume yupo kwa ajili ya mambo mazito na magumu yanayosumbua familia na jamii yake. Jambo lolote ambalo lipo kwenye jamii unaloliona ni zito na gumu kwenye jamii basi jua jambo hilo lipo kwaajili ya kushughulikiwa na wewe kijana. Sio utake wengine wakufanyie au walitatue, huo sio uanaume.

Wahenga waliimba mwanaume ameumbiwa mateso na kuhangaika. Mwanaume lazima uwe shupavu, mkakamavu bila kuwa legelege, lazima uwe hodari, jasiri na shujaa pasipo kuogopa Jambo lolote.

Kijana lazima afundishwe njia za kawaida na njia/mbinu mbadala za kupambana na mambo atakayokutana nayo kwenye maisha. Sio kijana mbinu moja imefeli anaanza kulialia na kulaumu. Mwanaume lazima afundishwe kutumia nguvu na akili.

Mwanaume ni sehemu ya jamii, mwanaume hamilikiwi na mtu au mkewe, ila yeye ndiye anamiliki yote katika jamii yake.

Huo ndio uanaume, yoyote atakayefikiri kinyume na hapo hawezi kuwa kundi la wanaume halisi.

Madhara ya mwanaume alishindwa kuwa mkakamavu, shupavu, hodari na jasiri;

1. Atashindwa kujiongoza yeye mwenyewe.
2. Atashindwa kuongoza mji wake na watoto wake.
3. Jamii yake itaanguka.
4. Atakuwa ni mtu wa kuonewa na kudharauliwa.
5. Hatakuwa na thamani yoyote hata wanawake watamzidi thamani.

Wazazi hasa kina baba, mimi Taikon kwenye andiko hili ninawapa moyo, kazeni mikanda, ninyi ni wababa, ninyi ndio serikali hapo nyumbani.

Jambo lolote lisiloenda sawa kabilianeni nalo, lile linalozidi mipaka nanyi zidisheni mipaka. Hata serikali ndivyo inavyofanya kazi, anayezidisha mipaka atashughulikiwa kwa namna ya kuogofya ili iwe funzo kwa wengine.

Hakuna kuchekacheka hapa, ni mawili wanyooke wakikaidi hakuna namna, ni watoto wako mwenyewe.
Msiogope. Uanaume ni ujasiri. Jicho lako lisiwe na huruma hata chembe ukiwa kama baba/mwanaume.

Taikon nami ni baba, haya tutayaonesha kwa vitendo ili iwe case study kwa wengine, ili isije semwa na watu kuwa anaandika au kuongea tuu.

Ni yule Mtibeli, kutoka nyota ya Tibeli. Mnyanyembe wa Tabora.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Hii thread imekuja kwa kuchelewa, tayari mambo yameshaharibika.


 
Anaandika, Robert Heriel
Baba

Ni mwiko kuona mwanaume akilia au kutoa machozi, na kama atalia labda iwe ni kwa sababu ya kifo cha mzazi au mke au mtoto anayempenda, na hata akilia wakati msiba wa watu hao hapaswi kulialia kama mtoto au mwanamke. Kuna kulia kiume, sio unapigapiga makelele na kugaragara, unalia kama mwanaume, kama mfalme, kama baba na kiongozi wa familia na jamii.

Mtoto wa kiume ni kama simba dume, tangu akiwa mtoto lazima aandaliwe kukabiliana na jambo lolote liwe gumu au liwe rahisi, bila kulialia na kuomba misaada ya kijinga. Uanaume ni ukakamavu, ubishi, kugangamala.

Mtoto wa kiume aambiwe ukweli kuwa amezaliwa ili kutawala, kuyafanya maisha yawe rahisi, kusaidia jamii yake, kuipigania jamii yake, na sio jamii impiganie. Wanaopiganiwa ni wanawake na watoto kwa sababu hawana nguvu ya misuli na hawana akili kama sisi wanaume.

Mwanaume yupo kwa ajili ya mambo mazito na magumu yanayosumbua familia na jamii yake. Jambo lolote ambalo lipo kwenye jamii unaloliona ni zito na gumu kwenye jamii basi jua jambo hilo lipo kwaajili ya kushughulikiwa na wewe kijana. Sio utake wengine wakufanyie au walitatue, huo sio uanaume.

Wahenga waliimba mwanaume ameumbiwa mateso na kuhangaika. Mwanaume lazima uwe shupavu, mkakamavu bila kuwa legelege, lazima uwe hodari, jasiri na shujaa pasipo kuogopa Jambo lolote.

Kijana lazima afundishwe njia za kawaida na njia/mbinu mbadala za kupambana na mambo atakayokutana nayo kwenye maisha. Sio kijana mbinu moja imefeli anaanza kulialia na kulaumu. Mwanaume lazima afundishwe kutumia nguvu na akili.

Mwanaume ni sehemu ya jamii, mwanaume hamilikiwi na mtu au mkewe, ila yeye ndiye anamiliki yote katika jamii yake.

Huo ndio uanaume, yoyote atakayefikiri kinyume na hapo hawezi kuwa kundi la wanaume halisi.

Madhara ya mwanaume alishindwa kuwa mkakamavu, shupavu, hodari na jasiri;

1. Atashindwa kujiongoza yeye mwenyewe.
2. Atashindwa kuongoza mji wake na watoto wake.
3. Jamii yake itaanguka.
4. Atakuwa ni mtu wa kuonewa na kudharauliwa.
5. Hatakuwa na thamani yoyote hata wanawake watamzidi thamani.

Wazazi hasa kina baba, mimi Taikon kwenye andiko hili ninawapa moyo, kazeni mikanda, ninyi ni wababa, ninyi ndio serikali hapo nyumbani.

Jambo lolote lisiloenda sawa kabilianeni nalo, lile linalozidi mipaka nanyi zidisheni mipaka. Hata serikali ndivyo inavyofanya kazi, anayezidisha mipaka atashughulikiwa kwa namna ya kuogofya ili iwe funzo kwa wengine.

Hakuna kuchekacheka hapa, ni mawili wanyooke wakikaidi hakuna namna, ni watoto wako mwenyewe.
Msiogope. Uanaume ni ujasiri. Jicho lako lisiwe na huruma hata chembe ukiwa kama baba/mwanaume.

Taikon nami ni baba, haya tutayaonesha kwa vitendo ili iwe case study kwa wengine, ili isije semwa na watu kuwa anaandika au kuongea tuu.

Ni yule Mtibeli, kutoka nyota ya Tibeli. Mnyanyembe wa Tabora.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Naunga mkono hoja
 
Ushogaa hausababishwii kwa hayo ulosema wee hapa,

Mnaanzishaa nyuzi nyingi kuhusu uanaume halisi, kwan shida nn? Kwan hao wanaume hawajui uhalisia wao? Kila siku threads ni hizoo tyuuh,

Mnachoshaaa, km hawataki uanaume halisi acha wawe fake. Lol
 
Ushogaa hausababishwii kwa hayo ulosema wee hapa,

Mnaanzishaa nyuzi nyingi kuhusu uanaume halisi, kwan shida nn? Kwan hao wanaume hawajui uhalisia wao? Kila siku threads ni hizoo tyuuh,

Mnachoshaaa, km hawataki uanaume halisi acha wawe fake. Lol

Sizungumzii mashoga, nazungumza na wanaume wenzangu kukumbushana kuhusu namna ya kuendelea kutunza thamani na heshima yetu.
 
Back
Top Bottom