used

  1. Lexus SUV

    Nahitaji mabati used yaliyoko katika hali nzuri ,,

    Habari waungwana , nipo hanitaji mabati used yaliyoko katika hali nzuri Nahitaji. Pc 50 Nipo moshi mjini Mawasiliano ni. 0672701329
  2. K

    Nahitaji Faw Mende tipper or Howo Mende tipper za kununua. Nahitaji unit 14 ziwe used

    Nahitaji Howo tipper mende or Faw tipper mende used za kununua naitaji pc 14 . Kama unazo naomba uje inbox
  3. nzalendo

    Natafuta daladala used

    Rejea kichwa habari...Aina yoyote inayoweza njia ya vumbi...yenye milima. Shukran imetangulizwa.. Kimtindo mtindoe....mtindisho....mtindishhhdoooo.
  4. Vladmir Putini

    Phone4Sale Nauza simu aina ya Samsung A04 used

    Habari wana jf. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, 👉 Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu. 👉 Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth. 👉...
  5. M

    Nauza magari used na chassis

    Habari, Je unahitaji agent wa kukutolea gari, container au loose cargo Bandarini? Karibu wasap me +255764423726 Pia Kwa uhitaji wako wa used cars zilizo ktk Hali nzur na chassis no pia karibu. Nina chaguzi nyingi za gari tofauti tofauti
  6. makong012

    Bei za coaster used

    wadau nahitaji kuchukua coaster used ili niingie kwa biashara ya usafirishaji kwa mtu mwenye uzoefu katika biashara hii naomba kufahamu bei za coaster na mchanganuo mzima katika biashara hii?
  7. K

    INAUZWA Calculator inauzwa kwa bei ya 'used'

    Scientific calculator Original (pure/advanced) inauzwa 15,000/= Location: Kigamboni(Kichangani) Piga: 0759448927 WhatsApp: 0620523897
  8. Love Doctor

    INAUZWA Nauza Mizani used

    Habari wakuu, Nauza mizani used ni nzito haina kipengele ina mawe yote Imethibitishwa na wakala wa vipimo Tanzania Ipo wilaya ya Hai 110k tu 0718569091
  9. VMWare-Oracle

    INAUZWA Nauza Dumbbells used

    Uzito -30kg Bei-200k Maelewano -yapo.
  10. K

    Nauza vitambaa used vya kufanyia ubunifu

    Vitambaa vya kutengenezea makanyagio na ubunifu wa mapambo yapo Kwenye kiloba cha kilo 25, njoo na ofa yako. Location: Kigamboni (Kichangani) Number: 0759448927.
  11. Dr. Zaganza

    Natafuta Used Suzuki Maruti Omni

    Piga 0713 039 875
  12. Justine Marack

    HOWO used au SCANIA used?

    Habari za leo wana JF. Niko katika maandalizi ya kutafuta gari ya Mizigo kwa kazi Zangu za biashara ya mazao. Biashara yangu ni kukusanya mazao toka maeneo ya vijijini maporini na sehem kama hizo Kisha kupeleka mikoani. Kulingana na nature ya biashara hii, hulazimika kupita katika njia mbaya...
  13. L

    INAUZWA Boxer 125 Used

    Boxer BM 125cc DLQ 1,930,000/ IPO Temeke Yombo Call 0652659775
  14. MR LINKO

    Nataka Tv used inch 32, nipo Tabora

    Kama uko Tabora na unauza tv inch 32 niambie nataka ilio tumika nataka kwa leo au kesho nitajie bei na aina ya tv na sehemu ulipo na pia kama una picha itapendeza.
  15. A

    Nauza Tank la Maji used

    Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/- Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
  16. Magari Bei Nafuu

    Car4Sale Tunauza magari yaliyotumika kutoka Dubai kwa cash na Mkopo

    Pata gari yako kwa kuanzia kulipia kidogo kidogo au kwa 40% tu ya gharama nzima na upate mkopo wa 60%marejesho ndani ya miezi 12 mpk 24, ukikizi vigezo na utaratibu wote utapata gari yako ndani ya masaa 48 ya kazi Tunapatikana Dar es salaam kwa mawasiliano zaid Call or Whatssap (0719415519)...
  17. Mama Amon

    Fifteen dirty tricks being used by Dubai Investors to divide and rule Tanzania

    DP A Video Clip for DP World Foundation from Dubai Handing Over 'Futari ' Gifts to Mbeya Muslims in Tanzania I. Abstract Based on a rich history of treaty making in the world for the past 2000 years, we argue that, the following are the fifteen dirty tricks which were used to get the...
  18. BeiSawaNaBURE

    Computer4Sale Pata laptop dell latitude E6530

    PATA MALI KATIKA UBORA WAKE, ALIKUWA ANAITUMIA MCHINA, AMEIACHA KATIKA HALI NZURI HAINA DOSARI, SPECIFICATIONS Model ya PC: DELL Latitude E6530 Core i5 RAM 6 SSD 232 BEI ni TZS 450,000/= tu, Njoo Ukikimbia For Serious Buyers Only, call 0622440414
  19. L

    Kuliko kununua gari used Bongo bora usubiri uagize tu used Japan

    Kwa muda nimejaribu kutafuta hivi vigari vidogo kama IST, Vits , Allex nk Vingi madalali wanauza Mil 10 mpaka 13 almost bei ya kuagiza mil 14 - 16 Japani. Hapo ukishanunua Bongo jiandae tena na mil 2 za kurekebisha gari angalau uweze kutembelea. Kwa ushauri tu usikimbilie kununua gari used...
Back
Top Bottom