Mara kadhaa nimeona hili, mtu akinunua battery, fundi anaenda kutafuta battery lingine aje kuwashia gari,
gari likiwaka anachomoa battery, akichomoa battery bado gari linaendelea kufanya kazi ndipo anaweka battery jipya.
kwanini huwa hawaweki moja kwa moja battery jipya ?
Habari wadau.
Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia.
Tunaitumia kushutia igizo la sanaa.
Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie
Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715
Habari za majukumu wanajamvi!?
Natamani kufanya biashara ya simu used za batani ila sijui pa kuzilangulia na garama za kulangua mzigo zipoje, humu jamvini hakuna linaloshindikana kwahiyo Naomba mnijuze machimbo ninayoweza kupata mzigo.soko la kuuzia tayari ninalo......natanguliza shukran
Ya DSTV mafundi wanadai kwa sababu ilitumia kitambo ndio maana ilipoteza software, inaandika booting waiting for some times.
kila mara booting, naomba ushauri nirudishe au kama inatibika, nimepiga simu niliko nunua kasema nisikilizie kwanza labda kitaretrive
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji feni aina ya LOFIDA mfanano kama hio pichani.
Kwa mwenyenayo naomba tuweze zungumza na kuelewana. Mimi nipo Buguruni, Dar es salaam.
Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Gari ninazouza bado ziko vzr mpya na zmetunzwa vzr.Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
Nanunua Generator Mbovu au Used kuanzia 10kva to 2,000 kva. Npo Tabata Dar es salaam. Lakn nnafika popote kununua Mali. Kwa mawasiliano zaid ntafute kwa namba 0693296809
#Mwanakidigitali utajisikiaje umetoa pesa yako kununua simu kisha ukauziwa simu yenye matatizo kibao.
Moja kati ya hofu ya Wateja wengi kutoka Tanzania wanapotaka kununua simu / Laptop used kutoka Dubai ni kuuziwa bidhaa zenye shida kedekede na pia bidhaa feki.
Nimekuwa kwenye soko la...
dubai
kabla
kariakoo
kukagua
kununua
kutoka
maduka
mambomuhimuyakuzinagatiakwenyesimu
matatizoyasimuusedkutokadubai
simu
simu used
simuzauborakariakoo
usa
used
wauzalaptopborakariakoo
wauzasimuborakariakoo
Wakuu sikuhizi gari used zimeshuka sana bei shida nini ?
Au mimi ndio sielewi yaaan unaweza kuona crown namba dz inauzwa 9m
Au Ist ds mil 10 kipind chanyuma bei zilikuwa zimechangamka sanawakuu
Habari, natafuta simu, kwa yeyote aneuza simu yake anicheki.
Bajeti yangu mwisho 200,000
Nicheck whatsapp 0622905303
Kampuni yoyote we njoo na sim yako inbox.
Ahsante
Muuzaji uwe dar
Habari zenu wanaJF
Kama kichwa cha habari, naombeni mwenye used au mipya milango na frame zake kama naweza kupata kwa bei nafuu, nipo Dar ES SALAAM mbezi kavu au kibamba.
Asanteni
Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
Hp Dragon🐉 Fly Mnyama🥶
Kwa Offer Price: 1,280,000/= tu✅ badala ya ❌1.5M❌
Super slim laptop with 99% metallic strong body structure💪
Core i5✅
Ram 8GB✅
Ssd 256GB✅
Processor based 1.9GHz and Turbo 3.0GHz✅
TouchScreen and x360’✅
Generation 8✅
Backlight keyboard✅
Kioo inches 13.3🔥
Fingerprint✅...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.