used

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kwa nini tukinunua betri jipya mafundi huunganisha kwanza betri la zamani au used kuwasha gari halafu ndio wanaweka jipya ?

    Mara kadhaa nimeona hili, mtu akinunua battery, fundi anaenda kutafuta battery lingine aje kuwashia gari, gari likiwaka anachomoa battery, akichomoa battery bado gari linaendelea kufanya kazi ndipo anaweka battery jipya. kwanini huwa hawaweki moja kwa moja battery jipya ?
  2. R

    JamiiForums Tanzania Nauza plastick horn used za Japan, set zipo 5.Chukua zote kwa 125,000/=

    Ninazo plastick horn used za Nje Japan.Set moja nipe elfu30 zote unapata kwa bei ya jumla.Tuwasiliane 0769618684
  3. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta Stethoscope ya daktari used ya kununua, hata ikiwa mbovu sawa tu. Doctors mwenye Stethoscope mbovu atucheki

    Habari wadau. Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia. Tunaitumia kushutia igizo la sanaa. Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715
  4. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya kulangulia Simu used za Batani (simu ndogo)

    Habari za majukumu wanajamvi!? Natamani kufanya biashara ya simu used za batani ila sijui pa kuzilangulia na garama za kulangua mzigo zipoje, humu jamvini hakuna linaloshindikana kwahiyo Naomba mnijuze machimbo ninayoweza kupata mzigo.soko la kuuzia tayari ninalo......natanguliza shukran
  5. nipo online

    JamiiForums Tanzania Nimenunua decoder used inanisumbua (inapoteza software)

    Ya DSTV mafundi wanadai kwa sababu ilitumia kitambo ndio maana ilipoteza software, inaandika booting waiting for some times. kila mara booting, naomba ushauri nirudishe au kama inatibika, nimepiga simu niliko nunua kasema nisikilizie kwanza labda kitaretrive
  6. willy ze great

    JamiiForums Tanzania Natafuta compressor used

    Natafuta compressor used ya kutumia engine ya diesel zile za migodi midogo.
  7. Hot27

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye feni aina ya LOFIDA (mpya au used) tuongee biashara

    Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji feni aina ya LOFIDA mfanano kama hio pichani. Kwa mwenyenayo naomba tuweze zungumza na kuelewana. Mimi nipo Buguruni, Dar es salaam.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Bajaji used TVs no D zinauzwa bei nzuri zipo Dar

    Bajaji Tvs no DGK inauzwa , kwa sasa IPO inafanya kazi mbezi Bei 3M Contact: 0675336219
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Gari used na container

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Gari ninazouza bado ziko vzr mpya na zmetunzwa vzr.Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nauza container na used car

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  11. C

    JamiiForums Tanzania Tunauza used kontena (Used shipping container)

    Tunauza Used Kontena (used Shipping containers) hapa dar es salaam unaweza kutupigia 0674252659
  12. presider

    JamiiForums Tanzania Nanunua Genetator mbovu au Used kuanzia kva 10 had kva 2,000

    Nanunua Generator Mbovu au Used kuanzia 10kva to 2,000 kva. Npo Tabata Dar es salaam. Lakn nnafika popote kununua Mali. Kwa mawasiliano zaid ntafute kwa namba 0693296809
  13. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Matatizo/Mambo 7 Ya Kukagua kwenye Simu Used Kutoka Dubai , Uk , USA Kabla ya Kununua Kwenye Maduka ya Kariakoo.

    #Mwanakidigitali utajisikiaje umetoa pesa yako kununua simu kisha ukauziwa simu yenye matatizo kibao. Moja kati ya hofu ya Wateja wengi kutoka Tanzania wanapotaka kununua simu / Laptop used kutoka Dubai ni kuuziwa bidhaa zenye shida kedekede na pia bidhaa feki. Nimekuwa kwenye soko la...
  14. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Jaman mbona magari used yameshuka sana bei sikuhizi nini shida

    Wakuu sikuhizi gari used zimeshuka sana bei shida nini ? Au mimi ndio sielewi yaaan unaweza kuona crown namba dz inauzwa 9m Au Ist ds mil 10 kipind chanyuma bei zilikuwa zimechangamka sanawakuu
  15. Sauti ya amani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Toyota Probox used Nina 5.5M 0749442229

    Mwenye hyo gari nitafute ukiwa dar itapendeza zaidi
  16. C

    JamiiForums Tanzania Nanunua simu used

    Habari, natafuta simu, kwa yeyote aneuza simu yake anicheki. Bajeti yangu mwisho 200,000 Nicheck whatsapp 0622905303 Kampuni yoyote we njoo na sim yako inbox. Ahsante Muuzaji uwe dar
  17. P

    JamiiForums Tanzania Milango ya mninga au mkongo used au mipya

    Habari zenu wanaJF Kama kichwa cha habari, naombeni mwenye used au mipya milango na frame zake kama naweza kupata kwa bei nafuu, nipo Dar ES SALAAM mbezi kavu au kibamba. Asanteni
  18. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Gari used na container

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  19. E

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Nauza Slightly Used Laptops

    Hp Dragon🐉 Fly Mnyama🥶 Kwa Offer Price: 1,280,000/= tu✅ badala ya ❌1.5M❌ Super slim laptop with 99% metallic strong body structure💪 Core i5✅ Ram 8GB✅ Ssd 256GB✅ Processor based 1.9GHz and Turbo 3.0GHz✅ TouchScreen and x360’✅ Generation 8✅ Backlight keyboard✅ Kioo inches 13.3🔥 Fingerprint✅...
  20. E

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Nauza Laptops Used Clean as New

    Hp Elitebook x360 830 g8 , Core i5-11th Gen, Ram 16gb, Ssd 256Gb, Display size 13.3” , Touchscreen x360 , Backlit Keyboard, Price 1,550,000/= CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 MAWASILIANO BUS STAND
Back
Top Bottom