Kwa mujibu wa sheria kazi ya msingi ya jeshi la polisi ni kulinda raia na Mali zao, hii ni kazi inayohitaji wito Kama kua padri wa kirumi, inahitaji mtu muadilufu kama shehe wa kule makka, nikilala ndani kwangu najua polisi wapo kazi yao ni kunilinda Mimi raia wa nchi yao natakiwa nisiwe na hofu...