Mtindo huu wa bajaji kupakia abiria wawili mbele tunasubiri ajali mbaya itokee ndio hatua ichukuliwe?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,626
Habari wakuu,

Mtindo huu wa bajaji kupakia abiria wawili mbele si mpya, naamini watu wengi mmekutana nayo hii hasa kwa wakazi wa Mbezi ya Kimara. Hili ni jambo hatari ambalo linaweza kusababisha majanga muda wowote, hasa ukizingatia madereva wengi wa bajaji walivyo rafu barabarani.

Kubwa zaidi wengine wakiona wamejaza hapo mbele, wanaongeza mtu mwingine hasa kama jamaa ni rafiki (mshkaji) yake, anatoka hapo mbele anakaa abiria mwingine huku yule aliyekuwa mbele anaenda kuning'inia nyuma ya bajaji!

Cha kushangaza ni kwamba inaonekana ni jambo la kawaida kabisa, kwani bajaji inapita mbele ya trafiki kwa kutamba kabisa wanaendelea na safari zao. Ama imekuwa moja ya sehemu ya kitega uchumi?

Na wewe abiria unayepanda bajaji kama hivi hujihurumii? Huthamini maisha yako kiasi cha kujihatarisha kama hivi?


 
Habari wakuu,

Mtindo huu wa bajaji kupakia abiria wawili mbele si mpya, naamini watu wengi mmekutana nayo hii hasa kwa wakazi wa Mbezi ya Kimara. Hili ni jambo hatari ambalo linaweza kusababisha majanga muda wowote, hasa ukizingatia madereva
Kwa hiyo kuchuchumaa, hapo mbele wako wangapi?
 
Habari wakuu,

Mtindo huu wa bajaji kupakia abiria wawili mbele si mpya, naamini watu wengi mmekutana nayo hii hasa kwa wakazi wa Mbezi ya Kimara. Hili ni jambo hatari ambalo linaweza kusababisha majanga muda wowote, hasa ukizingatia madereva wengi wa bajaji walivyo rafu barabarani.

Kubwa zaidi wengine wakiona wamejaza hapo mbele, wanaongeza mtu mwingine hasa kama jamaa ni rafiki (mshkaji) yake, anatoka hapo mbele anakaa abiria mwingine huku yule aliyekuwa mbele anaenda kuning'inia nyuma ya bajaji!

Cha kushangaza ni kwamba inaonekana ni jambo la kawaida kabisa, kwani bajaji inapita mbele ya trafiki kwa kutamba kabisa wanaendelea na safari zao. Ama imekuwa moja ya sehemu ya kitega uchumi?

Na wewe abiria unayepanda bajaji kama hivi hujihurumii? Huthamini maisha yako kiasi cha kujihatarisha kama hivi?


View attachment 2632101
Madhara ya udereva wa kujifunzia mtaani
 
Habari wakuu,

Mtindo huu wa bajaji kupakia abiria wawili mbele si mpya, naamini watu wengi mmekutana nayo hii hasa kwa wakazi wa Mbezi ya Kimara. Hili ni jambo hatari ambalo linaweza kusababisha majanga muda wowote, hasa ukizingatia madereva wengi wa bajaji walivyo rafu barabarani.

Kubwa zaidi wengine wakiona wamejaza hapo mbele, wanaongeza mtu mwingine hasa kama jamaa ni rafiki (mshkaji) yake, anatoka hapo mbele anakaa abiria mwingine huku yule aliyekuwa mbele anaenda kuning'inia nyuma ya bajaji!

Cha kushangaza ni kwamba inaonekana ni jambo la kawaida kabisa, kwani bajaji inapita mbele ya trafiki kwa kutamba kabisa wanaendelea na safari zao. Ama imekuwa moja ya sehemu ya kitega uchumi?

Na wewe abiria unayepanda bajaji kama hivi hujihurumii? Huthamini maisha yako kiasi cha kujihatarisha kama hivi?


View attachment 2632101
Magufuli alisema bajaji boda noah wasisumbuliwe
 
Unakuta tayari siti zimejaa eti bado anasubiri abiria wa kukaa naye siti yake ya mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom