Iran imerusha makombora zaidi ya 10 ikilenga Majengo ya Marekani yaliyopo Kaskazini mwa Iraq ikiwemo Kambi ya Jeshi ya Ain al-Asad ambapo kuna Majeshi ya Marekani ikiwa ni siku chache baada ya Marekani kumuua Qassem Soleimani
Chaneli ya Taifa ya Iran imesema, Jeshi la Kimapinduzi la Nchi hiyo...
On Iranian TV, @JZarif says assassination of Qassem Soleimani, "was clearly a terrorist action" and #Iran "will launch various legal measures at the international level to hold America to account." Steve Herman on Twitter
Nashangaa mbona tumeambiwa atalipiza Kisasi, lakini kinachoongelewa ni...
Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais".
Hayo yamejiri kufuatia ripoti ya mashambulio katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Baghdad, ambayo ilisema...
Cardno Emerging Markets USA, Ltd. (Cardno) is seeking a Procurement Specialist to support an upcoming World Bank funded Water Sector Support Project in Tanzania.
The Procurement Specialist will perform the following
Assist in the management of the entire procurement process, and execution and...
Cardno Emerging Markets USA, Ltd. (Cardno) is seeking a Finance Specialist to support an upcoming World Bank funded Water Sector Support Project in Tanzania.
The Finance Specialist will perform the following:
Assist in the management and execution of day-to-day financial management and...
Kupitia mitandao yake ya Kijamii, Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums Maxence Melo ameandika...
DAKIKA CHACHE KABLA YA KIKAO IKULU YA MAREKANI... Ujumbe wangu kwa vijana:
Usikate tamaa - kama unaamini katika jambo, lisimamie. Vishawishi vya kukukatisha tamaa havina budi...
Kuna rafiki yangu kanitumia hii kutoka Nairobi Kenya, kwamba D.Trump amechoshwa na corruption ya politicians wa Kenya, na sasa hakuna kuingia USA, na wanavyopenda kusafiri kwa Muzungu lazima watachanganyikiwa,
KWENYE SIASA ZA MAREKANI: JE UNAJUA MAANA YA SERIKALI KUFUNGWA (Government Shutdown) ?
🔍 Swali 1: Nini maana ya Serikali kufungiwa?
Jibu: Siasa za Marekani, Serikali kufungwa hutokea pale mambo mawili yanapotokea. Bunge la Kongress linaposhindwa kupasisha mswada wa Matumizi ya serikali...
Entries for the Diversity Visa 2020 green card lottery program in the United States starts today, registration begins at noon Oct. 3, 2018 and runs until noon Nov. 6, 2018. Tanzanians who meets requirements are eligible to apply free of charge. If you are interested, here is the link to apply at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.