Je, Corona itabadilisha Siasa za Tanzania maana imepiga kuanzia Vatican, UK, USA, Uchina hadi Ujerumani?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,924
141,890
Najiuliza tu kwa kuwa hayo mataifa niliyoyataja ndio wafadhili wakuu wa vyama vya siasa nchini kuanzia CCM, Chadema hadi ACT wazalendo.

Baadhi ya vyama siyo rahisi kusimama vyenyewe bila ufadhili na hasa ukizingatia ruzuku itakata rasmi mwezi June.

Natafakari tu wakuu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Corona kwisha habari yake
Screenshot_20200320-141126~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mwaka mmoja Ufadhili wao ni kiasi gani,michango ya wanachama ni kiasi gani na ruzuku ni kiasi gani kwa CCM,Chadema na ACT wazelendo?
Ukiweza kuyajibu hayo utaonekana mtu mwenye utimamu wa akili na sio clown anayerukia kila kitu.
Najiuliza tu kwa kuwa hayo mataifa niliyoyataja ndio wafadhili wakuu wa vyama vya siasa nchini kuanzia CCM, Chadema hadi ACT wazalendo.

Baadhi ya vyama siyo rahisi kusimama vyenyewe bila ufadhili na hasa ukizingatia ruzuku itakata rasmi mwezi June.

Natafakari tu wakuu.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kumwomba Mungu virusi vya corona vishambulie hao magaidi maana wao ndiyo wafadhili wakuu wa CHADEMA!
 
Back
Top Bottom