johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,890
Najiuliza tu kwa kuwa hayo mataifa niliyoyataja ndio wafadhili wakuu wa vyama vya siasa nchini kuanzia CCM, Chadema hadi ACT wazalendo.
Baadhi ya vyama siyo rahisi kusimama vyenyewe bila ufadhili na hasa ukizingatia ruzuku itakata rasmi mwezi June.
Natafakari tu wakuu.
Maendeleo hayana vyama!
Baadhi ya vyama siyo rahisi kusimama vyenyewe bila ufadhili na hasa ukizingatia ruzuku itakata rasmi mwezi June.
Natafakari tu wakuu.
Maendeleo hayana vyama!