Anaanzaje upya?

Anaanzaje upya?

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
2,895
Reaction score
6,184
Kuna jamaa yangu stori yake inasikitisha kidogo, he's in his late 30's now. Hana familia, hana maisha. Sadly mwaka Jana ndo kaamua kutoka nyumbani. Ila nimekaa kungalia stori yake ni bro wa kitaa tu. Amekuwa na kusoma nikimuona.

Alimaliza primary na secondary vizuri sana, alikuwa kichwa ndoto zake alitaka kuwa rubani. Ila haikwenda kama matarajio. Advance alipitia changamoto, sijui alikumbana na tukio Gani maana ni mpka alirudi home. Alishuka galfa kimasomo kamaliza hakufauru akarudi diploma. Ila alikua kama kapoteza Nuru ya maisha.

Toka hapo Sasa ikawa ni mtu aisye maliza anacho Anza, kaenda kusoma diploma hakumaliza, karudia tena akafanikiwa. Ila Sasa kitu ambacho nakiona kwake ni kama kakata tamaa ya maisha.

Ni mtu asiyeonesha ana shida, akipata kazi anafanya Kwa mwezi mmoja anaacha. Analaumu sana mapito yake, hana marafiki wa kudumu. Hana mahusiano. Alishawahi kunipa stori ya demu mmoja ambaye alimcheat so baada ya hapo hapendi kabisa.

Huwa najiuliza namna ya kumsaidia nashindwa, Kuna kitu moyoni make kakibeba anashindwa kukitua. Anapenda sana kutoa wosia yaani mkikaa naye utadhani unajua Kila kitu kuhusu maisha. Ila yeye Sasa ame stuck.

Kama Kuna mtu, au mwana psychologia au mwenye kuliona hili jambo kipekee atoe ushauri labda utamsaidia. Jamaa umri umekimbia Kuna muda Huwa tukiongea anasema kabisa kama angekuwa mtu mwingine angejiuwa, ila naishia kucheka namwanbia unataka stori ya maisha yako iwe ya kijinga namna hiyo? Ila ukweli jamaa ni kama afya yake ya akili inazidi kuwa mbaya. Anahitaji msaada.

Nilimshauri atoke nyumbani aende akaanze maisha upya, ila naona japokuwa kahama, tabia ni ile ile, kupigia watu simu, kuomba hela, kuongelea mafanikio ya wengine.
 
Kuna jamaa yangu stori yake inasikitisha kidogo, he's in his late 30's now. Hana familia, hana maisha. Sadly mwaka Jana ndo kaamua kutoka nyumbani. Ila nimekaa kungalia stori yake ni bro wa kitaa tu. Amekuwa na kusoma nikimuona.

Alimaliza primary na secondary vizuri sana, alikuwa kichwa ndoto zake alitaka kuwa rubani. Ila haikwenda kama matarajio. Advance alipitia changamoto, sijui alikumbana na tukio Gani maana ni mpka alirudi home. Alishuka galfa kimasomo kamaliza hakufauru akarudi diploma. Ila alikua kama kapoteza Nuru ya maisha.

Toka hapo Sasa ikawa ni mtu aisye maliza anacho Anza, kaenda kusoma diploma hakumaliza, karudia tena akafanikiwa. Ila Sasa kitu ambacho nakiona kwake ni kama kakata tamaa ya maisha.

Ni mtu asiyeonesha ana shida, akipata kazi anafanya Kwa mwezi mmoja anaacha. Analaumu sana mapito yake, hana marafiki wa kudumu. Hana mahusiano. Alishawahi kunipa stori ya demu mmoja ambaye alimcheat so baada ya hapo hapendi kabisa.

Huwa najiuliza namna ya kumsaidia nashindwa, Kuna kitu moyoni make kakibeba anashindwa kukitua. Anapenda sana kutoa wosia yaani mkikaa naye utadhani unajua Kila kitu kuhusu maisha. Ila yeye Sasa ame stuck.

Kama Kuna mtu, au mwana psychologia au mwenye kuliona hili jambo kipekee atoe ushauri labda utamsaidia. Jamaa umri umekimbia Kuna muda Huwa tukiongea anasema kabisa kama angekuwa mtu mwingine angejiuwa, ila naishia kucheka namwanbia unataka stori ya maisha yako iwe ya kijinga namna hiyo? Ila ukweli jamaa ni kama afya yake ya akili inazidi kuwa mbaya. Anahitaji msaada.

Nilimshauri atoke nyumbani aende akaanze maisha upya, ila naona japokuwa kahama, tabia ni ile ile, kupigia watu simu, kuomba hela, kuongelea mafanikio ya wengine.
Huyo rafiki yako hayupo tena, kimwili una mwona lakini ashapotea. na hajui anarudije. usimcheke. anahitaji mtu wa kumuonyesha njia ya kupita.
Hapo anapitia haya👇
Majuto
Ningejua
Mbona wengine wamefanikiwa
Kwanini mimi??
Nimerogwa
Kiufupi failure ni ngumu sana kuielezea na kui-overcome
 
Biblia inasema, Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo, Kuna watu wanafanya wanavyovifanya hawajui ni kiasi gani vinagusa na kuharibu mioyo yao, Nikiona mtu anafanya something weird huwa namuuliza, una uhakika miaka mitano ijayo ukikumbuka hiki unachofanya sasa will you be proud of yourself?

Kwa dunia ya sasa tuseme linda sana afya ya akili yako kuliko vyote ulindavyo maana hapo ndipo zitokapo chemichemi za motivation.

Mwambie jamaa yako , tatizo ni yeye… Na yeye ndio anaweza kujikwamua atoke hapo. Aanze na kukubali kwanza hali yake, na kuiboresha hali yake. 40 amechelewa lakini haimaanishi hawezi kuanza.

Ajiwekee malengo madogo madogo, kama kuwa na kitu cha kumuingizia kipato, kuwa na permanent address, kuwa na uwezo wa kula na kunywa maji safi.

Baada ya hapo ndio aanze kupanga malengo ya kati na yanayofuata.

Ikishindikana ajifunze uongo uongo atafute mshangazi.
 
Kwa ufupi, usipoweza kujishinda huwezi kushinda.

Inabidi yeye ajishinde Kwanza yaani moyoni mwake abadili lugha isiwe Ile ya majuto, isiwe ya kujiona mnyonge/dhaifu, isiwe ya kujikatia tamaa, isiwe ya kuwaona wengine ni malaika au ndio watu wakamilifu (perfect people) wasio na mawaa.

Aanze kutafakari ufupi wa maisha ya duniani, asome makala mbalimbali za watu maarufu kupanda na kushuka kwao, na changamoto walizozipitia (kupitia Wikipedia), ajifunze kufanya tafakari ya kina (meditation), atafakari ukuu wa Mungu na somo la mifupa mikavu la kitabu cha Ezekieli 37, jinsi ambavyo binadamu anaweza kuhuishwa kutoka katika hali ya kuwa mfu kabisa.

Kama ana taaluma ya ujuzi flani asikae tu, akubali kuanzia upya chini kabisa, aende hata maeneo ya kijijini kabisa asikofahamika, aoneshe ujuzi wake huko kwa kufanya kazi kwa moyo wote na nidhamu ya juu, kwa kipato kidogo, huku akimtanguliza Mungu.

Kwa kufanya hivyo atapona kimwili, kisaikolojia, na kiroho na hatimaye atapata maono zaidi ya nini cha kufanya kuzidi kujistawisha.
 
Sio vibaya kuanza upya,,,

Niko fourth floor Naenda fifth’s na bado nataka nijiunge na masomo ,,, sijui nitasinzia darasani? 😀

Mimi nashauri afanye ku explore interests zake kwanza, Kama ni magari, umeme , mobile phones ama biashara, etc.., kisha ndio mkae kuchunguza opportunities zilizopo ,ambazo zinamatch na interests zake. Then ndio mumuweke hapo alipo/position yake kwa sasa (status) na anapotaka kuwa. Kama anakosa mtaji ama skills , ndio aanzie hapo.

Nashauri aanze na baby steps, Kama ni biashara aanze na mtaji kidogo huku akiangalia muitikio wa biashara yake huku akiexpand taratibu. Na Kama ni skills amekosa ,arudi shule akaanze na basics huku aki gain confidence kuenda zaidi/juu. Makosa yake ni ku aim too high na kufanya vitu/courses ambazo sio interests zake. Uki aim too high ukikosea lazima confidence ishuke. Na pia kufanya /kusoma vitu Hauna passion navyo Mara nyingi leads to failure.

Atakuwa depressed sababu wengi above 35 years wako employed kulinganisha na vijana. Sasa ukiona age mates wako wote wana kazi wewe huna na constantly uko kwenye hio environment ni rahisi ku give up. Ndio maana nakubaliana na huyo aliyesema abadili mazingira,,,,
 
Kuna jamaa yangu stori yake inasikitisha kidogo, he's in his late 30's now. Hana familia, hana maisha. Sadly mwaka Jana ndo kaamua kutoka nyumbani. Ila nimekaa kungalia stori yake ni bro wa kitaa tu. Amekuwa na kusoma nikimuona.

Alimaliza primary na secondary vizuri sana, alikuwa kichwa ndoto zake alitaka kuwa rubani. Ila haikwenda kama matarajio. Advance alipitia changamoto, sijui alikumbana na tukio Gani maana ni mpka alirudi home. Alishuka galfa kimasomo kamaliza hakufauru akarudi diploma. Ila alikua kama kapoteza Nuru ya maisha.

Toka hapo Sasa ikawa ni mtu aisye maliza anacho Anza, kaenda kusoma diploma hakumaliza, karudia tena akafanikiwa. Ila Sasa kitu ambacho nakiona kwake ni kama kakata tamaa ya maisha.

Ni mtu asiyeonesha ana shida, akipata kazi anafanya Kwa mwezi mmoja anaacha. Analaumu sana mapito yake, hana marafiki wa kudumu. Hana mahusiano. Alishawahi kunipa stori ya demu mmoja ambaye alimcheat so baada ya hapo hapendi kabisa.

Huwa najiuliza namna ya kumsaidia nashindwa, Kuna kitu moyoni make kakibeba anashindwa kukitua. Anapenda sana kutoa wosia yaani mkikaa naye utadhani unajua Kila kitu kuhusu maisha. Ila yeye Sasa ame stuck.

Kama Kuna mtu, au mwana psychologia au mwenye kuliona hili jambo kipekee atoe ushauri labda utamsaidia. Jamaa umri umekimbia Kuna muda Huwa tukiongea anasema kabisa kama angekuwa mtu mwingine angejiuwa, ila naishia kucheka namwanbia unataka stori ya maisha yako iwe ya kijinga namna hiyo? Ila ukweli jamaa ni kama afya yake ya akili inazidi kuwa mbaya. Anahitaji msaada.

Nilimshauri atoke nyumbani aende akaanze maisha upya, ila naona japokuwa kahama, tabia ni ile ile, kupigia watu simu, kuomba hela, kuongelea mafanikio ya wengine.
Mpe pole sana
 
30's kwa mwanaume bado ana muda. Ajitathmini nini amekuja kufanya hapa duniani, then apambane. Safari ya kuweka misingi ya maisha haizidi miaka miwili. Bado ana muda. Kuna uzi wangu nimeandika hapa jf unaitwa "ghost phase kwenye maisha ya mwanaume". Jaribu kucopy and paste halafu mpe jamaa ausome
 
Kuna jamaa yangu stori yake inasikitisha kidogo, he's in his late 30's now. Hana familia, hana maisha. Sadly mwaka Jana ndo kaamua kutoka nyumbani. Ila nimekaa kungalia stori yake ni bro wa kitaa tu. Amekuwa na kusoma nikimuona.

Alimaliza primary na secondary vizuri sana, alikuwa kichwa ndoto zake alitaka kuwa rubani. Ila haikwenda kama matarajio. Advance alipitia changamoto, sijui alikumbana na tukio Gani maana ni mpka alirudi home. Alishuka galfa kimasomo kamaliza hakufauru akarudi diploma. Ila alikua kama kapoteza Nuru ya maisha.

Toka hapo Sasa ikawa ni mtu aisye maliza anacho Anza, kaenda kusoma diploma hakumaliza, karudia tena akafanikiwa. Ila Sasa kitu ambacho nakiona kwake ni kama kakata tamaa ya maisha.

Ni mtu asiyeonesha ana shida, akipata kazi anafanya Kwa mwezi mmoja anaacha. Analaumu sana mapito yake, hana marafiki wa kudumu. Hana mahusiano. Alishawahi kunipa stori ya demu mmoja ambaye alimcheat so baada ya hapo hapendi kabisa.

Huwa najiuliza namna ya kumsaidia nashindwa, Kuna kitu moyoni make kakibeba anashindwa kukitua. Anapenda sana kutoa wosia yaani mkikaa naye utadhani unajua Kila kitu kuhusu maisha. Ila yeye Sasa ame stuck.

Kama Kuna mtu, au mwana psychologia au mwenye kuliona hili jambo kipekee atoe ushauri labda utamsaidia. Jamaa umri umekimbia Kuna muda Huwa tukiongea anasema kabisa kama angekuwa mtu mwingine angejiuwa, ila naishia kucheka namwanbia unataka stori ya maisha yako iwe ya kijinga namna hiyo? Ila ukweli jamaa ni kama afya yake ya akili inazidi kuwa mbaya. Anahitaji msaada.

Nilimshauri atoke nyumbani aende akaanze maisha upya, ila naona japokuwa kahama, tabia ni ile ile, kupigia watu simu, kuomba hela, kuongelea mafanikio ya wengine.
Wengine walizaliwa kuwa masikini wa akili hadi miili yao.Mgawie kimoja kati ya akili au afya.Inasikitisha.
 
Biblia inasema, Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo, Kuna watu wanafanya wanavyovifanya hawajui ni kiasi gani vinagusa na kuharibu mioyo yao, Nikiona mtu anafanya something weird huwa namuuliza, una uhakika miaka mitano ijayo ukikumbuka hiki unachofanya sasa will you be proud of yourself?

Kwa dunia ya sasa tuseme linda sana afya ya akili yako kuliko vyote ulindavyo maana hapo ndipo zitokapo chemichemi za motivation.

Mwambie jamaa yako , tatizo ni yeye… Na yeye ndio anaweza kujikwamua atoke hapo. Aanze na kukubali kwanza hali yake, na kuiboresha hali yake. 40 amechelewa lakini haimaanishi hawezi kuanza.

Ajiwekee malengo madogo madogo, kama kuwa na kitu cha kumuingizia kipato, kuwa na permanent address, kuwa na uwezo wa kula na kunywa maji safi.

Baada ya hapo ndio aanze kupanga malengo ya kati na yanayofuata.

Ikishindikana ajifunze uongo uongo atafute mshangazi.
Tatizo sio yeye! Be logical
 
Mwambie aende atakaa na mchele visabun kule kunguru na akioga mpeleke juani ataliona kwa kuwa udongo bila ya maji maji yale... Hata cjui nimeandka nini ngoja ucngz uishe ntarudi tena
 
Back
Top Bottom