Afrika ijitathmini upya katika SOKA

Afrika ijitathmini upya katika SOKA

mtu-roho

Member
Joined
Jun 16, 2026
Posts
13
Reaction score
18
Tukiweka utaratibu wetu (Siri ya ndani) Kila kombe la dunia kupeleka timu 2 mpya hakika tutaona maajabu.

Hili litawezekana tu kwa kuanzia chumbani ndio tuje sebuleni (vilabu hadi timu za Taifa),mwenye uwezo aruhusiwe kubeba "ndoo" ili kujijenga kwa pamoja (inclusive football)

Rejea:
1.Senegal - mara ya 1, 2002(robo)
2.Tunisia -mara zote (hamna kitu)
 
Tukiweka utaratibu wetu (Siri ya ndani) Kila kombe la dunia kupeleka timu 2 mpya hakika tutaona maajabu.

Hili litawezekana tu kwa kuanzia chumbani ndio tuje sebuleni (vilabu hadi timu za Taifa),mwenye uwezo aruhusiwe kubeba "ndoo" ili kujijenga kwa pamoja (inclusive football)

Rejea:
1.Senegal - mara ya 1, 2002(robo)
2.Tunisia -mara zote (hamna kitu)
Tz?
 
Wachezaji wengi wa ki-africa wanapenda ku-dribble kupiga piga chenga matumizi yao ya akili yako kwenye kusuka nywele
 
Tukiweka utaratibu wetu (Siri ya ndani) Kila kombe la dunia kupeleka timu 2 mpya hakika tutaona maajabu.

Hili litawezekana tu kwa kuanzia chumbani ndio tuje sebuleni (vilabu hadi timu za Taifa),mwenye uwezo aruhusiwe kubeba "ndoo" ili kujijenga kwa pamoja (inclusive football)

Rejea:
1.Senegal - mara ya 1, 2002(robo)
2.Tunisia -mara zote (hamna kitu)
Senegal akaze,Belgium si wagumu
 
Africa Kuna mabadiliko makubwa sana tu mbona the way I can see mpira umebadilika sana tofauti sana na zamani Tena sana

Imagine Morocco the way anavyoweza kutoa ushindani Kwa opponent wake team za Ulaya now days zimekuwa Zina kwaa kisiki technology na watu kupenda kujifunza modern football imesaidia sana kuleta ushindani kwenye soccer

Ila Kuna mambo tu kadhaa ya kuongezea Kwa Waafrica but hayuko vibaya sana
 
Back
Top Bottom