BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 2,424
- 3,829
Leo nagusa where Satan fears to tread MUUNGANO
Kwa mwenendo huu ulionyeshawa na utawala huu unaongozwa na Wazanzibari kuna haja kubwa ya kuungalia huu muungano
Hapa kuna mawaziri very senior ni wa kwao na maamuzi yanayo tugusa Watanganyika wanafanya wao ilhali ya kwao hayatuhusu.
Angalia matukio ya 29/10 uhusika wa wasio Watanganyika, mkuu wa tume ya uchunguzi wa kwao na mpita dunia nzima kujaribu kubatilisha ukweli wa kwao.
Ili hatma yetu ya watu milioni zaidi sitini isiamuliwe na watu milioni moja na nusu wa vsiwani napendekeza ifuatavyo
Muungano huu uvunjwe na tuanzishe uhusiano kama nchi za EU.
Pasiwepo na uhitaji visa baina yetu , kila nchi iwe na mamlaka yake kamili na viongozi wawe ni wazawa wa nchi husika tuu.
Uwekezaji na umiliki wa ardhi usizidi miaka 33 kwa raia wa nchi hizi tofauti kama ilivyo sheria ya Zanzibar sasa.
Hili suala eti Waislamu waitikadi kali wataichukua Zanzibar na kutusumbua ni upuuzi wa wana siasa waliokosa hoja.
Kwa mwenendo huu ulionyeshawa na utawala huu unaongozwa na Wazanzibari kuna haja kubwa ya kuungalia huu muungano
Hapa kuna mawaziri very senior ni wa kwao na maamuzi yanayo tugusa Watanganyika wanafanya wao ilhali ya kwao hayatuhusu.
Angalia matukio ya 29/10 uhusika wa wasio Watanganyika, mkuu wa tume ya uchunguzi wa kwao na mpita dunia nzima kujaribu kubatilisha ukweli wa kwao.
Ili hatma yetu ya watu milioni zaidi sitini isiamuliwe na watu milioni moja na nusu wa vsiwani napendekeza ifuatavyo
Muungano huu uvunjwe na tuanzishe uhusiano kama nchi za EU.
Pasiwepo na uhitaji visa baina yetu , kila nchi iwe na mamlaka yake kamili na viongozi wawe ni wazawa wa nchi husika tuu.
Uwekezaji na umiliki wa ardhi usizidi miaka 33 kwa raia wa nchi hizi tofauti kama ilivyo sheria ya Zanzibar sasa.
Hili suala eti Waislamu waitikadi kali wataichukua Zanzibar na kutusumbua ni upuuzi wa wana siasa waliokosa hoja.