unalala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Kama unalala chini pitia hapa

    Wadau humu, kuna kitu nataka kushare na nyie.Sijui kama na wengine hii hali upitia au lah!!! Nimekuwa na tendency ya kuamka usiku kama saa kumi hivi then natoka kitandani na kulala chini hadi ile saa 12 ninapo amka,sasa sijui ni kitu cha kawaida au kuna namna
  2. Mr Dudumizi

    Picha: Hii ndo inaitwa unalala tajiri, unaamka masikini

    Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo. Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana. Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
  3. Equation x

    Kwanini unalala sasa hivi, wakati ipo siku utalala moja kwa moja?

    Ipi ni sababu inayokufanya ulale sasa hivi? Unalala kwa sababu giza limeingia, au Unalala kwa sababu ya uchovu, au Unalala kwa sababu huna pa kwenda, au Unalala kwa sababu huna wa kukesha naye, au Unalala kwa sababu umelazimishwa, au Unalala kwa sababu huwezi kwenda viwanja, au Unalala kwa...
  4. BARD AI

    Unalala saa ngapi kwa siku? Ona madhara ya kutolala vizuri

    Wataalam kutoka Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa cha Marekani CDC wanashauri watu wazima kupata masaa 7 hadi 8 ya kulala kila siku. Wanasema ukosefu wa usingizi wa kutosha unahusishwa na hatari ya kupata magonjwa sugu ikiwemo Kisukari, Magonjwa wa Moyo na Mishipa, Unene kupita kiasi na...
Back
Top Bottom