Kwanini unalala sasa hivi, wakati ipo siku utalala moja kwa moja?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,480
40,491
Ipi ni sababu inayokufanya ulale sasa hivi?​
  • Unalala kwa sababu giza limeingia, au​
  • Unalala kwa sababu ya uchovu, au​
  • Unalala kwa sababu huna pa kwenda, au​
  • Unalala kwa sababu huna wa kukesha naye, au​
  • Unalala kwa sababu umelazimishwa, au​
  • Unalala kwa sababu huwezi kwenda viwanja, au​
  • Unalala kwa sababu ya njaa?​
 
Kujiuliza kwanini unalala ni kama kujiuliza kwanini unakojoa au kwanini unakula kila siku.
Ni sehemu ya mfumo wa maisha ya binadamu. Kibaiolojia mwili wako unahitaji usingizi, na kama huupati maana yake kuna tatizo mahali.
 
Ipi ni sababu inayokufanya ulale sasa hivi?​
  • Unalala kwa sababu giza limeingia, au​
  • Unalala kwa sababu ya uchovu, au​
  • Unalala kwa sababu huna pa kwenda, au​
  • Unalala kwa sababu huna wa kukesha naye, au​
  • Unalala kwa sababu umelazimishwa, au​
  • Unalala kwa sababu huwezi kwenda viwanja, au​
  • Unalala kwa sababu ya njaa?​
Nalala kwa sababu ni nina usingizi
 
Screenshot_20221015-180454_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221015-180427_Chrome.jpg
    Screenshot_20221015-180427_Chrome.jpg
    106.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221015-180526_Chrome.jpg
    Screenshot_20221015-180526_Chrome.jpg
    173.7 KB · Views: 2
Ipi ni sababu inayokufanya ulale sasa hivi?​
  • Unalala kwa sababu giza limeingia, au​
  • Unalala kwa sababu ya uchovu, au​
  • Unalala kwa sababu huna pa kwenda, au​
  • Unalala kwa sababu huna wa kukesha naye, au​
  • Unalala kwa sababu umelazimishwa, au​
  • Unalala kwa sababu huwezi kwenda viwanja, au​
  • Unalala kwa sababu ya njaa?​
"Zaeni mkaongezeke", tutazaana saa ngapi kama sio usiku? Kumbuka mchana tupo busy kwenye harakati za kutafuta mkate wetu wa siku!
 
Back
Top Bottom