unajua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Unajua ni Faida kiasi gani umepata kwenye Ufugaji wa Kuku mwaka 2025 mzima?

    Kama unapata changamoto ya Kufuatilia Faida na hasara shamabani kwako au daftari linakuchosha kupiga hesabu nyingi,tumia Fuga App kurahisisha kufahamu faida unayopata au hasara Pakua Fuga app Leo Playstore Fuga - Apps on Google Play
  2. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Mwanasiasa yeyote, Hakikisha unajua hesabu ya Matendo na maneno yako kabla hujazungumza

    Tunatarajia kushuhudia mwanasiasa hasa yule mashuhuri(public figure), kuzungumza hoja zilizofanyiwa utafiti na zikathibitishwa kwa uchambuzi wa kina na scope pana. Weledi katika hutuba unahitajika sana, kamwe usije ukajitolea tu maneno kichwani mwako utaharibu mambo. Hayohayo maneno unayotamka...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wale waliotisha press kumtetea Rais hivi unajua wote wana asili ya Kigoma!

    Sijasema hapa udini nasemea walipotokea maana tuangalie walipotokea hata kama wamezaliwa mikoa mingine ila asili zao. Hakuna mkoa hatari kama Kigoma wenye watu wengi wenye roho za chuki na kwanini. Sio wote ila ule mkoa kiukweli kama kila mikoa ina sifa yake kwa mkoa ule naelewa vizuri maana...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tulia kawa kama Ndugai, kuna siku mtashangaa kaita press

    Maisha ya kuja na kuondoka yana tesa watu usiombe, mfano mwaka jana umepata cheo, gari, pesa, kiburi na majigambo alafu mwaka huu umekuwa wa kawaida. Hapo lazima ujione umekuwa mkiwa na kutokubari kuwa umekataliwa. Huyu Tulia kwa sasa msipo mfunga kamba na kuwa na elimu ambazo sijui elimu zake...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kama umeolewa/umeoa Askari na unajua alishiriki kwenye mauaji, kaa mbali nae, atakuja kukuua

    Tahadhari kabla ya hatari Ukishaonja damu mara moja, huwezi kuacha, inakua kiu ya kila siku Hamu ya damu waliyokunywa itabaki milele, na ikifika muda wakakosa na kiu ikabana watakunya kwako au kwa watoto wako. Chukua tahadhari kabla ya hatari
  6. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Unajua kwanini Mabasi yakaitwa Ester Luxury Coach?

    Sababu ni hii huyu mama kwa Mujibu wa daily news digital ambayo ni mgazeti ya serikali yalienda hadi Iramba kwa Mwigulu Nchemba wakafanya naye mahojiano anaitwa Ester ndiye mama mdogo wa PM huyu ndiye alimlea PM tangu akiwa mdogo. SIJASEMA ndio maana yale akayaita Ester ili kumheshimisha...
  7. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Mdau unajua tofauti kati ya E-mail na GMail?

    Usiku Mwema.
  8. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unafata nini ghetto kama unajua hutatoa tunda!

    Wakuu wasalam Kuna madem wanazingua kinoma, unampanga anakubali. Unajiandaa vizuri, mwanamke anafika anaanza sipo vizuri, sijajiandaa, leo simba wanaruka. Sasa kama ulijua hivyo umefata nini! ....
  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kuwa na mahusiano na mtu ambaye unajua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine, iliishaje?

    Kuna hii concept ya "Open relationship" kwamba wewe uko kwenye mahusiano na mtu lakini mnapeana ruhusa ya kuwa na mahusiano na watu wengine nje ya mahusiano yenu. Miezi kadhaa iliyopita niliwahi kukutana na rafiki yangu ambaye niliwahi kufanya nae kazi miaka ya nyuma. Ni kijana flani hivi mzuri...
  10. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Saa ya Kikwete (PHILIP STEIN) inauzwa bei gani?

  11. Fascinating

    JamiiForums Tanzania AI Zinazotumika Zaidi Ulimwenguni Mwaka 2025, Unajua kwa hapa Tanzania ipi inaongoza?

    ChatGPT ndio inayoongoza kwa matumizi ya AI kote ulimwenguni mwaka 2025, ikiwa na alama ya jumla (Final score) ya 0.81 na watu zaidi ya mara bilioni 46.59 wanaoitembelea kila mwaka. Hii inamaanisha kuwa asilimia 48.36% ya soko zima la matumizi ya akili mnemba (AI) linamilikiwa na ChatGPT. Maoni...
  12. Think2

    JamiiForums Tanzania Hivi unajua million 1.97 ya Tanzania ni sawa na laki 1 ya Kenya

    Uchumi wa kenya uko juu japokuwa hawana rasilimali nyingi kama Tanzania Kenya inajangwa upande wa kasikazini, Tanzania yetu hii uchumi umeganda haueleweki kama unapanda au unashuka rasilimali tunazo nyingi sana Mungu ametubariki ila ndo taifa Masikini Afrika ,what a shame my broh? Ukiwa na elfu...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kama unajua ulitumia hivi vibatari punguza kula sukari na mafuta

    Wakuu, kama unajua ulitumia hivi vibatari, Punguza Sukari na mafuta.kisha Kumbuka kulala mapema. Muda umeenda sana saivi ni hekaheka tu huwezi mapambano tena ushakua mzee wa siku
  14. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania waleo hwafuatilii taarifa za habari kwenye tv au redio au kununua na kusoma magazeti. Unajua sababu;?

    Awamu hii naona vyombo vya habari kama vile magazeti redio na tv vinaandika na kutangaza habari ambazo zingepaswa kuandikwa au kutangazwa na vyombo vya habari vya serikali au Chama tawala. Vyote vimekuwa kama vipaza sauti au wasemaji wa serikali. Hata habari na vichwa vya habari kwenye...
  15. Bueno

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumsaidia Mtu kile Kidogo kabisa ulichonacho kisha baada ya kumsaidia akaingia Mitini hana Habari na Wewe unajua inauma Kiasi Gani?

    Wakuu, hivi nyinyi imeshawakuta yaani unampiga mtu tafu kile kidogo kabisa ulichonacho yaan ndio akiba yako hio mtu anaitaka hio hio umsaidie unaingia unavunja kibubu unampa kwa moyo mmoja kabisa sababu ya kukamilisha kutenda matendo ya Huruma. Ila baada tu ya kumsaidia mtu huyo anaanza kukuona...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Unajua waliopanga na waliompiga risasi Tundu Lissu wako wapi?Hata hawa wanaotaka anywongwe yatawakuta tu

    Ogopa sana mtu anayesimama na ukweli tena kwa ajili ya watu wake Mungu humpenda na Kumlinda Tundu Lissu anapigania haki juu ya Watanzania wote,anataka tuwapate Viongozi wa kweli watakaopatikana kwa kura za wananchi ambao watalinda rasilimali zetu siyo hawa wanaopita kwa rushwa na vimemo amabo...
  17. idliss

    JamiiForums Tanzania Je, unajua kukuza biashara yako kwa kutumia taarifa(Data) zako?

  18. Setfree

    JamiiForums Tanzania Je, unajua? Kama huna pesa ya kununua mikate, ukipata wageni kumi nyumbani kwako, unaweza kuwalisha slesi moja ya mkate – wakala wote na kushiba!

    Watu wengi wanafikiri kwamba ili uwe mkarimu lazima uwe na pesa na mali nyingi. Na wengine wanaogopa kupokea wageni kwa sababu wanaona hawana chakula cha kutosha. Leo, nakupa habari njema: unaweza kuwalisha wageni kumi nyumbani kwako kwa slesi au kipande kimoja tu cha mkate, wakala na kushiba...
  19. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Tech Zone: GPS ni bure dunia nzima, ila raia wa Marekani ndio wanahenyeka kulipa kodi za uendeshaji wa mfumo.

    Mfumo wa GPS (Global Positioning System) ni huduma ya bure kwa watumiaji wa kawaida duniani, lakini uendeshaji na matengenezo yake si bure kabisa. Mfumo huu unamilikiwa na serikali ya Marekani kupitia jeshi lake la anga (U.S. Space Force) na unajumuisha mtandao wa satelaiti zaidi ya 30...
  20. W

    JamiiForums Tanzania Hujapitia msoto wa kweli kama hujawahi kuishi nyumba ambayo unajua hawakutaki nyumbani kwao ila tu hauna namna nyingine

    Kama umeishi kwenu au ulikuwa na kwenu penye familia yenu hadi ukaondoka kwenda kuanza maisha yako shukuru sana, watu wengi sana huwa mnachukulia poa kuwa na kwenu lakini ni utajiri mkubwa sana. kuishi nje ya kwenu "YATAKA MOYO" ni bahati kwenda sehemu isiyo kwenu na ukaishi vizuri. Unakaa...
Back
Top Bottom