Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 15,762
- 37,390
Maisha ya kuja na kuondoka yana tesa watu usiombe, mfano mwaka jana umepata cheo, gari, pesa, kiburi na majigambo alafu mwaka huu umekuwa wa kawaida.
Hapo lazima ujione umekuwa mkiwa na kutokubari kuwa umekataliwa.
Huyu Tulia kwa sasa msipo mfunga kamba na kuwa na elimu ambazo sijui elimu zake ila cheo cha uspika kitamfanya kama Ndungai .
Kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii unaona kabisa wa kumfunga kamba.
Hapo lazima ujione umekuwa mkiwa na kutokubari kuwa umekataliwa.
Huyu Tulia kwa sasa msipo mfunga kamba na kuwa na elimu ambazo sijui elimu zake ila cheo cha uspika kitamfanya kama Ndungai .
Kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii unaona kabisa wa kumfunga kamba.