umma

Umma (Sumerian: 𒄑𒆵𒆠 ummaKI; modern Umm al-Aqarib, Dhi Qar Province in Iraq, formerly also called Gishban) was an ancient city in Sumer. There is some scholarly debate about the Sumerian and Akkadian names for this site. Traditionally, Umma was identified with Tell Jokha. More recently it has been suggested that it was located at Umm al-Aqarib, less than 7 km to its northwest or was even the name of both cities.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Kuna mradi hata mmoja wa Hayati Magufuli uliowahi kuwekwa wazi kwa umma ili tumtofautishe na watangulizi wake?

    Naomba kama kuna mwenye jibu anipatie ii na mimi niweze kuwa huru kumsifu na kumpongeza shujaa wetu huyu na niweze kumtofautisha na wale wengine waliotupa matumaini ya uchumi wa gesi mwaka 2015 na tukawa tunashangilia mithili ya "mazuzu". Sio kama miradi yake yote siiungi mkono,bali ningetamani...
  2. Informer

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Mashirika ya Umma ambayo Hayana Uwezo wa Kulipa Madeni ya Muda Mfupi

  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Wazo lenye manufaa kwa umma: CHADEMA waanzishe mfuko wa kuinua chama, wananchi tuwachangie

    Ni wakati sasa kwa Chadema kurudisha imani kwa wananchi ili iwe na nguvu kama ilivyokuwa wakati wa Dk Slaa. Inaonekana wakati wa awamu ya tano walikuwa hawapambani na CCM bali na mtu mmoja ambae kwa sababu alikuwa na ushawishi mkubwa kisiasa aliwamaliza kabisa kisiasa. Huyo ni hayati JPM, sasa...
  4. mama D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

    Zaidi soma: 1) Vigogo watano akiwemo Mataragio wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wafikishwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka 2) Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
  5. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Mtihani mkubwa kwa Rais Samia ni kuongeza mishahara ya Watumishi wa Umma. Je, ataweza?

    Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma. Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza...
  6. Pilitoni

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy Mwalimu suala la Uhamisho kwa Watumishi wa umma litatue

    Binafsi nikupongeze kwa kuteuliwa kuwa Waziri katika OR- TAMISEMI, wizara hii ni kubwa na ina changamoto nyingi. Wizara hii utaiweza tu pale utakaposhirikiana vyema na wenzako na pia kuwa tayari kupokea na kufanyia kazi changamoto mbalimbali zinazoibuliwa na siye wananchi tulioko mashinani...
  7. polokwane

    JamiiForums Tanzania Huwa tunaambiwa ulipo tupo huwa nashangaa tuhuma hizi za ubadhirifu kubwa wa fedha za umma unatokeaje kama ulipo tupo wapo?

    Nimejiuliza sana swali hili, tunaambiwa ulipo tupo wapo kila mahali kwa maana ya kwamba usalama wa taifa, na tunaaminishwa kwamba usalama wa taifa ni waaminifu sana kwa Rais. Sasa inakuwaje hadi watu wanafanya wizi mkubwa namna hiii? Je, Hao ulipo tupo hawahusiki na kutoa taarifa za ubadhirifu...
  8. guwe_la_manga

    JamiiForums Tanzania ITV Kuweka kipini cha "MUBASHARA" kwa tukio la nyuma la JPM hamwoni kama mnazua taharuki kwa umma?

    Moyo wangu umeruka mapigo saba ya moyo baada ya itv leo asubuhi kuweka kipini cha "mubashara" kwa tukio la zamani la JPM kuweka jiwe la msingi la ujenzi w uwanja ndege mkoani Mtwara! Ni mazoea? N kupatiwa? Ebu Ongezeni umakini katika kazi yenu!
  9. Kategele

    JamiiForums Tanzania Bima ya mtoto wa mtumishi wa umma itasaidia matibu ya Moyo Taasisi ya Jakaya Kikwete?

    Habari wana JF, na poleni kwa msiba pia. Mwanangu mwenye miezi 10 kaonekana ana shida ya moyo na madakitari wa BUGANDO wamesema suala lake lipo serious inabidi kupewa rufaa ya Taasisi ya Moyo ya JAKAYA. Hivi Bima ya mtoto itasaidia gharama zote za matibabu na Operation?
  10. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa viongozi wa Umma kuepuka kutumbuliwa na Rais Samia Suluhu

    Viongozi wa umma nawapa ushauri wa bure kuepuka kutumbuliwa na Raisi Mpya Samia 1. Spidi mliyokuwa nayo kipindi cha Rais Magufuli msiache mkiacha wananchi watatungua kilio kumlilia kumkumbuka Magufuli kuwashtaki kwa Raisi mpya kuwa angekuwepo tungepata huduma kwa wakati na spidi nk hivyo Raisi...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alijaaliwa watoto wangapi? Wangapi wapo ndani ya utumishi wa Umma?

    Taarifa sahihi ya watoto wa Mhe. JPM haijawahi kuwekwa wazi na pia yeye hakupenda kuingiza familia yake kwenye majukumu yake. Hadi Sasa ni vigumu kujua idadi ya watoto, majina yao pamoja na kazi wanaofanya. Nichukue fursa hii kuhoji historia ya familia hii kwa kutaka kujua ina ukubwa gani na je...
  12. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa ajira mashirika ya Umma kwa wahitimu waliotoka internship

    Kuna vijana wengi wahitimu wanaitwa usahili kwenye mashirika ya umma na halmashauri zetu kisha kuwekwa utumishi kwa mpango wa intenship. Unakuta kijana anatumikishwa miaka hadi minne bado kupata ajira ya kudumu na ujira anapewa mdogo huku kazi amemudu na nafasi ipo. Mambo haya ni unyonyaji wa...
  13. funaku

    JamiiForums Tanzania Sheria ya manunuzi ya Umma ipitiwe upya huwezi fananisha manunuzi ya dawa na matofali

    Huu ni wito kwa watunga Sera Upo umuhimu wa Sheria ya manunuzi ya umma kupitiwa upya. Haiwezekani Taratibu za kununua matofali au karatasi zikafanana na manunuzi ya dawa na vifaa tiba. yaani paracetamol au gloves zikiisha utaratibu wa manunuzi ulingane na ule wa kununua tofali la kujengea...
  14. and 998 others

    JamiiForums Tanzania TAARIFA: Slaa alikuwa Katibu wa CHAMA kisha Balozi (Utumishi wa Umma)

    Wale waliosahau kabla ya teuzi za Babu mamvi pale Ledger Plaza 2015 mzee wetu alikua katibu mkuu wa Chama baadae kidogo akateuliwa kama Balozi kamili (Utumishi wa umma). So Bushlawyers msijisahaulishe. Mbona hamkupinga kipindi kile?
  15. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kufedheheka (kupata dharura) ukiwa safarini kwenye usafiri wa umma?

    Kuna mambo mengi yanaweza kukutokea ukiwa safarini 1. Kutapika kwenye gari 2. kubanwa na tumbo la kuharisha 3. Kuachwa na gari wakati wa kuanza safari au wakati mmeshuka kupata chakula. 4. Mengineyo Mwaka flani nilikuwa natoka Morogoro kwenda Dar. kabla ya safari nakumbuka nlikula zile chapati...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Je, kuna kudanganya umma kwa manufaa ya umma?

    Ni swali najiuliza tu. Kuna wanasome tusiogope chochote wakati hata wakisimama kuongea wanakuwa na mwanajeshi nyuma! Sasa kama kweli huohopi kwanini wanajeshi kila mahali. Kama kweli viongozi hawaogopi chochote basi tusipoteze pesa za wananchi kulinda mpaka na mahilikopya wakati wanafunzi hawana...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Covid-19: Huu mgomo wa Umma kwa Rais wao utaliponya Taifa

    Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume. Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Naamini wapo Watanzania wameenda kuchanjwa au wamechanjwa kimyakimya maana uhai Ni suala binafsi.

    Mjadala wa chanjo ya Corona una msimamo wa nchi na msimamo wa mtu binafsi. Nchi haifi lakini mtu mmoja mmoja anakufa aidha kwa mapenzi ya Mwenyenzi MUngu au kwa kutotimia maarifa aliyopewa na Mwenyenzi MUngu. Kama chanjo hiyo inaonekana inafanya kazi na watu wanaamini inafanya kazi haiwekani...
  19. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa, kweli tangu awamu ya tano iingie madarakani gharama za maisha hazijapanda? Kuwa na huruma kwa Watumishi wa Umma

    Ndugu zangu wana JF, majibu ya PM Kassim Majaliwa yanashangaza sana na kutia ukakasi. Majibu aliyotoa kwa mbunge wa Konde kuwa kuongeza mishahara huongez gharama za maisha ni fedheha kubwa kwa watumishi wa umma. Hivi PM Majaliwa tokea umekuwa waziri mkuu wa Tanzania unataka kusema kuwa gharama...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa Umma: Ujenzi wa Mradi wa Kituo cha Kisasa cha Michezo unaendelea kwa kasi Kigamboni

    Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
Back
Top Bottom