Vyuo Vikuu vya Umma; Mama Samia Rais wetu vinusuru Vyuo hivi

Ntinje

Senior Member
Feb 2, 2019
118
100
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya hali ilivyo katika vyuo vikuu vyetu vya umma. Ninazo hoja sita, leo nitawasilisha mbili na zingine nitawasilisha ndani ya juma hili.
  • Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi
  • Mitaala ya Vyuo Vikuu
Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi

Kwa hivi sasa vyuo vikuu vingi vya umma vinakabiliwa na idadi ndogo sana ya Maprofesa (Full professor) na Maprofesa waandamizi (Associate Professor). Mchakato wa kupanda madaraja kwa wana taaluma katika vyuo vikuu vya umma bado umegubikwa na utata mwingi ndani ya tasisi zenyewe. Michakato imekaa kipembe tatu kutokana na kukosekana ama kuwepo kwa miongozo iliyojaa utata na hivyo kulazimu yule au wale waliopewa dhamana kutafsiri kadri ya uelewa wao na hivyo kukosekana uelewa wa pamoja.

Pamoja na changamoto hizo, vyuo vikuu vya umma muda si mrefu hadhi yake itashuka kwa kiwango kikubwa sana. Nafananisha kushuka huku ni sawa na namna vyuo vikuu vya umma Uturuki vilivyoporomoka au mfanao wa shule zetu kongwe kama Msalato na zinginezo zilivyoporomoka na kuoneka shule binafsi ni bora zaidi ya shule hizo. Profesa mmoja ni sawa na wahadhiri wasaidizi 20 au 25. Kwa hii sasa Maprofesa wengi wamalizapo muda wao wa nyongeza wa miaka 5 ndiyo basi tena na wengi wao wanachukuliwa na kwenda katika vyuo vikuu vya binafsi. Hali ya mabadiliko haya ilianza tu pale awamu ya tano ya serikali yetu ilipoingia madarakani.

Maprofesa ni hazina kubwa sana. Kwa wenzetu Ulaya hawafanyi hivi hata kidogo na ndiyo maana vyuo vyetu vinakosa wabobezi na hivyo kuishia kufundisha tu bila ya kufanya tafiti. Naomba sana ikikupendeza Mheshimiwa Rais Samia (Mama yetu) litizame jambo la ku-retain hawa maprofesa kwani kutokufanya vile hadhi ya vyuo hivi itashuka sana maake hawa wanaosalia (Juniors) wanahitaji kusimama juu ya mabega ya hawa watu. Nitatoa mfano hai mmoja: kwa mshika dau yeyote wa elimu ebu apate nafasi na atembele chuo cha Marian pale Bagamoyo na uone mabadiliko kiliyonayo sasa. Chuo hiki ni chuo ni private institution.

Mitaala ya Vyuo Vikuu

Panahitajika uharaka sana wa kufanya mageuzi makubwa katika mitaala ya vyuo vikuu hapa nchini ili kuendana na Dunia ya sasa. Malengo ya vyuo vikuu ni matatu ambayo ni ufundishaji (teaching), tafiti (research)na utoaji huduma kwa jamii (Public consultancy). Katika malengo hayo matatu, lengo la kwanza ndiyo linalofanyika kwa sasa. Tunahitaji kubadili vyuo vikuu vijikite katika tafiti zenye tija kwa Taifa na si hiki kinachofanyika sasa.
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya hali ilivyo katika vyuo vikuu vyetu vya umma. Ninazo hoja sita, leo nitawasilisha mbili na zingine nitawasilisha ndani ya juma hili.
  • Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi
  • Mitaala ya Vyuo Vikuu
Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi

Kwa hivi sasa vyuo vikuu vingi vya umma vinakabiliwa na idadi ndogo sana ya Maprofesa (Full professor) na Maprofesa waandamizi (Associate Professor). Mchakato wa kupanda madaraja kwa wana taaluma katika vyuo vikuu vya umma bado umegubikwa na utata mwingi ndani ya tasisi zenyewe. Michakato imekaa kipembe tatu kutokana na kukosekana ama kuwepo kwa miongozo iliyojaa utata na hivyo kulazimu yule au wale waliopewa dhamana kutafsiri kadri ya uelewa wao na hivyo kukosekana uelewa wa pamoja.

Pamoja na changamoto hizo, vyuo vikuu vya umma muda si mrefu hadhi yake itashuka kwa kiwango kikubwa sana. Nafananisha kushuka huku ni sawa na namna vyuo vikuu vya umma Uturuki vilivyoporomoka au mfanao wa shule zetu kongwe kama Msalato na zinginezo zilivyoporomoka na kuoneka shule binafsi ni bora zaidi ya shule hizo. Profesa mmoja ni sawa na wahadhiri wasaidizi 20 au 25. Kwa hii sasa Maprofesa wengi wamalizapo muda wao wa nyongeza wa miaka 5 ndiyo basi tena na wengi wao wanachukuliwa na kwenda katika vyuo vikuu vya binafsi. Hali ya mabadiliko haya ilianza tu pale awamu ya tano ya serikali yetu ilipoingia madarakani.

Maprofesa ni hazina kubwa sana. Kwa wenzetu Ulaya hawafanyi hivi hata kidogo na ndiyo maana vyuo vyetu vinakosa wabobezi na hivyo kuishia kufundisha tu bila ya kufanya tafiti. Naomba sana ikikupendeza Mheshimiwa Rais Samia (Mama yetu) litizame jambo la ku-retain hawa maprofesa kwani kutokufanya vile hadhi ya vyuo hivi itashuka sana maake hawa wanaosalia (Juniors) wanahitaji kusimama juu ya mabega ya hawa watu. Nitatoa mfano hai mmoja: kwa mshika dau yeyote wa eleimu ebu apate nafasi na atembele chuo cha Marian pale Bagamoyo na uone mabadiliko kiliyonayo sasa.

Mitaala ya Vyuo Vikuu

Panahitajika uharaka sana wa kufanya mageuzi makubwa katika mitaala ya vyuo vikuu hapa nchini ili kuendana na Dunia ya sasa. Malengo ya vyuo vikuu ni matatu ambayo ni ufundishaji (teaching), tafiti (research)na utoaji huduma kwa jamii (Public consultancy). Katika malengo hayo matatu, lengo la kwanza ndiyo linalofanyika kwa sasa. Tunahitaji kubadili vyuo vikuu vijikite katika tafiti zenye tija kwa Taifa na si hiki kinachofanyika sasa.
Elimu ya chuo kikuu siku hizi haitofautiani na ya sekondari.
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya hali ilivyo katika vyuo vikuu vyetu vya umma. Ninazo hoja sita, leo nitawasilisha mbili na zingine nitawasilisha ndani ya juma hili.
  • Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi
  • Mitaala ya Vyuo Vikuu
Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi

Kwa hivi sasa vyuo vikuu vingi vya umma vinakabiliwa na idadi ndogo sana ya Maprofesa (Full professor) na Maprofesa waandamizi (Associate Professor). Mchakato wa kupanda madaraja kwa wana taaluma katika vyuo vikuu vya umma bado umegubikwa na utata mwingi ndani ya tasisi zenyewe. Michakato imekaa kipembe tatu kutokana na kukosekana ama kuwepo kwa miongozo iliyojaa utata na hivyo kulazimu yule au wale waliopewa dhamana kutafsiri kadri ya uelewa wao na hivyo kukosekana uelewa wa pamoja.

Pamoja na changamoto hizo, vyuo vikuu vya umma muda si mrefu hadhi yake itashuka kwa kiwango kikubwa sana. Nafananisha kushuka huku ni sawa na namna vyuo vikuu vya umma Uturuki vilivyoporomoka au mfanao wa shule zetu kongwe kama Msalato na zinginezo zilivyoporomoka na kuoneka shule binafsi ni bora zaidi ya shule hizo. Profesa mmoja ni sawa na wahadhiri wasaidizi 20 au 25. Kwa hii sasa Maprofesa wengi wamalizapo muda wao wa nyongeza wa miaka 5 ndiyo basi tena na wengi wao wanachukuliwa na kwenda katika vyuo vikuu vya binafsi. Hali ya mabadiliko haya ilianza tu pale awamu ya tano ya serikali yetu ilipoingia madarakani.

Maprofesa ni hazina kubwa sana. Kwa wenzetu Ulaya hawafanyi hivi hata kidogo na ndiyo maana vyuo vyetu vinakosa wabobezi na hivyo kuishia kufundisha tu bila ya kufanya tafiti. Naomba sana ikikupendeza Mheshimiwa Rais Samia (Mama yetu) litizame jambo la ku-retain hawa maprofesa kwani kutokufanya vile hadhi ya vyuo hivi itashuka sana maake hawa wanaosalia (Juniors) wanahitaji kusimama juu ya mabega ya hawa watu. Nitatoa mfano hai mmoja: kwa mshika dau yeyote wa eleimu ebu apate nafasi na atembele chuo cha Marian pale Bagamoyo na uone mabadiliko kiliyonayo sasa.

Mitaala ya Vyuo Vikuu

Panahitajika uharaka sana wa kufanya mageuzi makubwa katika mitaala ya vyuo vikuu hapa nchini ili kuendana na Dunia ya sasa. Malengo ya vyuo vikuu ni matatu ambayo ni ufundishaji (teaching), tafiti (research)na utoaji huduma kwa jamii (Public consultancy). Katika malengo hayo matatu, lengo la kwanza ndiyo linalofanyika kwa sasa. Tunahitaji kubadili vyuo vikuu vijikite katika tafiti zenye tija kwa Taifa na si hiki kinachofanyika sasa.
Nakubaliana na wewe. Mimi ningekuwa Raisi wa nchi hii ningerudisha Dr/Professors wote waliokimbia vyuo vikuu kufundisha na kuja kwenye sekta ya siasa. Kwenye kitabu cha Hayati Raisi mstaafu Benjamin Mkapa alieleta hili jambo la Maprofesa na wafadhili wa vyuo vikuu kukimbia taaluma zao na kujiunga na siasa kwa ajili ya kupata marupurupu ya ubunge, MaV8 ya serikali na passport za Diplomat! Alisema nchi hii ina wanasiasa wa kweli wachache sana wengi uingia kwenye siasa si kwa sababu wanaguswa na maisha ya wapiga kura wao la hasha!
 
Nakubaliana na wewe. Mimi ningekuwa Raisi wa nchi hii ningerudisha Dr/Professors wote waliokimbia vyuo vikuu kufundisha na kuja kwenye sekta ya siasa. Kwenye kitabu cha Hayati Raisi mstaafu Benjamin Mkapa alieleta hili jambo la Maprofesa na wafadhili wa vyuo vikuu kukimbia taaluma zao na kujiunga na siasa kwa ajili ya kupata marupurupu ya ubunge, MaV8 ya serikali na passport za Diplomat! Alisema nchi hii ina wanasiasa wa kweli wachache sana wengi uingia kwenye siasa si kwa sababu wanaguswa na maisha ya wapiga kura wao la hasha!
Kabudi asirudi shensi yule
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya hali ilivyo katika vyuo vikuu vyetu vya umma. Ninazo hoja sita, leo nitawasilisha mbili na zingine nitawasilisha ndani ya juma hili.
  • Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi
  • Mitaala ya Vyuo Vikuu
Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi

Kwa hivi sasa vyuo vikuu vingi vya umma vinakabiliwa na idadi ndogo sana ya Maprofesa (Full professor) na Maprofesa waandamizi (Associate Professor). Mchakato wa kupanda madaraja kwa wana taaluma katika vyuo vikuu vya umma bado umegubikwa na utata mwingi ndani ya tasisi zenyewe. Michakato imekaa kipembe tatu kutokana na kukosekana ama kuwepo kwa miongozo iliyojaa utata na hivyo kulazimu yule au wale waliopewa dhamana kutafsiri kadri ya uelewa wao na hivyo kukosekana uelewa wa pamoja.

Pamoja na changamoto hizo, vyuo vikuu vya umma muda si mrefu hadhi yake itashuka kwa kiwango kikubwa sana. Nafananisha kushuka huku ni sawa na namna vyuo vikuu vya umma Uturuki vilivyoporomoka au mfanao wa shule zetu kongwe kama Msalato na zinginezo zilivyoporomoka na kuoneka shule binafsi ni bora zaidi ya shule hizo. Profesa mmoja ni sawa na wahadhiri wasaidizi 20 au 25. Kwa hii sasa Maprofesa wengi wamalizapo muda wao wa nyongeza wa miaka 5 ndiyo basi tena na wengi wao wanachukuliwa na kwenda katika vyuo vikuu vya binafsi. Hali ya mabadiliko haya ilianza tu pale awamu ya tano ya serikali yetu ilipoingia madarakani.

Maprofesa ni hazina kubwa sana. Kwa wenzetu Ulaya hawafanyi hivi hata kidogo na ndiyo maana vyuo vyetu vinakosa wabobezi na hivyo kuishia kufundisha tu bila ya kufanya tafiti. Naomba sana ikikupendeza Mheshimiwa Rais Samia (Mama yetu) litizame jambo la ku-retain hawa maprofesa kwani kutokufanya vile hadhi ya vyuo hivi itashuka sana maake hawa wanaosalia (Juniors) wanahitaji kusimama juu ya mabega ya hawa watu. Nitatoa mfano hai mmoja: kwa mshika dau yeyote wa eleimu ebu apate nafasi na atembele chuo cha Marian pale Bagamoyo na uone mabadiliko kiliyonayo sasa.

Mitaala ya Vyuo Vikuu

Panahitajika uharaka sana wa kufanya mageuzi makubwa katika mitaala ya vyuo vikuu hapa nchini ili kuendana na Dunia ya sasa. Malengo ya vyuo vikuu ni matatu ambayo ni ufundishaji (teaching), tafiti (research)na utoaji huduma kwa jamii (Public consultancy). Katika malengo hayo matatu, lengo la kwanza ndiyo linalofanyika kwa sasa. Tunahitaji kubadili vyuo vikuu vijikite katika tafiti zenye tija kwa Taifa na si hiki kinachofanyika sasa.
Anzeni kwanza na ufisadi uliojaa kwenye public higher learning institutions. Unfortunately, these institutions are generally "forgotten" linapokuja swala la matumizi mabaya ya madaraka plus pesa. Mchawi wenu ni hao viongozi wenu. If you need any help from her, muombe aanze kwanza na special auditing ya hizo taasisi zenu.
 
Vyuo vikuu..vimepoteza weredi..hasa baada ya kuruhusiwa kuingia kwenye siasa..ipigwe marufuku kwa academicians kuingia kwenye siasa..
Pia serikali sasa itazame zaidi utoaji wa elimu sasahivi wanafunzi wa vyuo hawana tofauti na wanafunzi wa olevo..kwanza naibia sana mitihani..hawana practical knowledge wengi wana theories na wana meza madesa tu.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya hali ilivyo katika vyuo vikuu vyetu vya umma. Ninazo hoja sita, leo nitawasilisha mbili na zingine nitawasilisha ndani ya juma hili.
  • Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi
  • Mitaala ya Vyuo Vikuu
Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi

Kwa hivi sasa vyuo vikuu vingi vya umma vinakabiliwa na idadi ndogo sana ya Maprofesa (Full professor) na Maprofesa waandamizi (Associate Professor). Mchakato wa kupanda madaraja kwa wana taaluma katika vyuo vikuu vya umma bado umegubikwa na utata mwingi ndani ya tasisi zenyewe. Michakato imekaa kipembe tatu kutokana na kukosekana ama kuwepo kwa miongozo iliyojaa utata na hivyo kulazimu yule au wale waliopewa dhamana kutafsiri kadri ya uelewa wao na hivyo kukosekana uelewa wa pamoja.

Pamoja na changamoto hizo, vyuo vikuu vya umma muda si mrefu hadhi yake itashuka kwa kiwango kikubwa sana. Nafananisha kushuka huku ni sawa na namna vyuo vikuu vya umma Uturuki vilivyoporomoka au mfanao wa shule zetu kongwe kama Msalato na zinginezo zilivyoporomoka na kuoneka shule binafsi ni bora zaidi ya shule hizo. Profesa mmoja ni sawa na wahadhiri wasaidizi 20 au 25. Kwa hii sasa Maprofesa wengi wamalizapo muda wao wa nyongeza wa miaka 5 ndiyo basi tena na wengi wao wanachukuliwa na kwenda katika vyuo vikuu vya binafsi. Hali ya mabadiliko haya ilianza tu pale awamu ya tano ya serikali yetu ilipoingia madarakani.

Maprofesa ni hazina kubwa sana. Kwa wenzetu Ulaya hawafanyi hivi hata kidogo na ndiyo maana vyuo vyetu vinakosa wabobezi na hivyo kuishia kufundisha tu bila ya kufanya tafiti. Naomba sana ikikupendeza Mheshimiwa Rais Samia (Mama yetu) litizame jambo la ku-retain hawa maprofesa kwani kutokufanya vile hadhi ya vyuo hivi itashuka sana maake hawa wanaosalia (Juniors) wanahitaji kusimama juu ya mabega ya hawa watu. Nitatoa mfano hai mmoja: kwa mshika dau yeyote wa elimu ebu apate nafasi na atembele chuo cha Marian pale Bagamoyo na uone mabadiliko kiliyonayo sasa. Chuo hiki ni chuo ni private institution.

Mitaala ya Vyuo Vikuu

Panahitajika uharaka sana wa kufanya mageuzi makubwa katika mitaala ya vyuo vikuu hapa nchini ili kuendana na Dunia ya sasa. Malengo ya vyuo vikuu ni matatu ambayo ni ufundishaji (teaching), tafiti (research)na utoaji huduma kwa jamii (Public consultancy). Katika malengo hayo matatu, lengo la kwanza ndiyo linalofanyika kwa sasa. Tunahitaji kubadili vyuo vikuu vijikite katika tafiti zenye tija kwa Taifa na si hiki kinachofanyika sasa.
Mkuu, kwanza hatujawahi kuwa na vyuo vikuu bora. Hata ile watu wanavyosema kuwa labda chuo fulani in bora kuliko vyuo vingine Tanzania, hiyo ni sawa na washika mkia kutambiana darasani kuwa yupi amepata marks ya afadhali kuliko wenzake, ambapo haiondoi ukweli wa mambo kuwa wote ni washika mkia.

Pili vyuo vinahitaji kujengewa miundombuni na kupewa fungu la kutosha. Sote tunajua kuhusu hali ya miundombinu ya vyuo vyetu, hairidhishi hata kidogo. Ukijumlisha na ukata vinakuwa haviwezi kufanya maendeleo/uboreshaji wowote. Kwahiyo wakufunzi, wanakuwa wanafanya kazi, na wanafunzi wanasoma katika mazingira ambayo sio rafiki.

Tatu, ukweli mchungu ni kuwa asilimia kubwa ya wakufunzi (Drs and Prof) hawana vigezo. Wengi elimu zao ni zamagumashi. Hawafai kufundisha.

Nne wanafunzi pia asilimia kubwa hawafai kuwepo vyuo vikuu. Hii ni kutokana na mfumo wetu wa elimu ulivyo mbovu. Hauwaandai wanafunzi vizuri, mtu 'anafaulu' form 4/6 lakini hamna kitu. Sasa kama mtu hakuandaliwa vyema huko chini, tusitegemee akifika chuo kutakuwa na mabadiliko. Hata kama mitaala ingeboreshwa vipi.

Tano, kwenye utafiti tusivilaumu vyuo. Shughuli za utafiti zinahitaji fedha nyingi. Hata kama tungekuwa na vyuo na wahadhiri bora, kama fedha hamna tusitegemee utafiti utafanyika kwa wingi. Utafiti tu mdogo unaofanywa sasahivi unategemea fedha za wafadhili.

Kwahiyo hayo ndo matatizo ya elimu yetu ya juu. Miundombinu mibovu + wanapewa fungu dogo +wahadhiri na wanafunzi ambao hawakidhi vigezo, matokeo ndo haya tunayoyaona sasahivi. Kubadilisha mitaala tu haitoshi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom