Watumishi wa umma kesho wanasubiri kwa hamu kusomwa kwa bajeti ya Wizara yao Chini ya Rais wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan. Maswali ya kujiuguza je Kilio cha muda mrefu cha Watumishi wa Umma juu ya kupandishwa kwa madaraja, Kulipwa malimbikizio ya madai yao ya nyuma yatapata ufumbuzi wa kudumu hapo kesho?
Basi kwa matumaini makubwa Chini Mheshimiwa Waziri Mchengerwa basi kesho tusikose kufuatilia kwa Karibu hotuba ya Wizara ya Utumishi wa umma inayokwenda kujibu matamanio na matarajio ya Watumishi wa Umma ya muda mrefu.
#Mchapakazi Rais Samia
Basi kwa matumaini makubwa Chini Mheshimiwa Waziri Mchengerwa basi kesho tusikose kufuatilia kwa Karibu hotuba ya Wizara ya Utumishi wa umma inayokwenda kujibu matamanio na matarajio ya Watumishi wa Umma ya muda mrefu.
#Mchapakazi Rais Samia