YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
CHADEMA imekuwa ikiponda ujenzi wa Miradi mbalimbali kuanzia reli, zahanati, mashule, mabarabara nk
Wasichokijua siku ni nini ? Lakini hio miradi ni wananchi waliiomba kupitia wabunge wao walioko bungeni.
Kuiponda ni kuwaponda wananchi wapiga kura ambao ndio waliohitaji hiyo miradi.
Hiyo ponda ponda ya CHADEMA ni at their own risk! Sababu miradi iliombwa na wapiga kura.
CCM tutumie hii hoja kuwavurumisha CHADEMA wasipate kura maeneo hiyo miradi ilipo tuwaambie wazi mlitaka shule tukajenga kuna Chama kinaitwa CHADEMA kinaponda huu ujenzi mlioutaka wenyewe msikipe kura.
Wasichokijua siku ni nini ? Lakini hio miradi ni wananchi waliiomba kupitia wabunge wao walioko bungeni.
Kuiponda ni kuwaponda wananchi wapiga kura ambao ndio waliohitaji hiyo miradi.
Hiyo ponda ponda ya CHADEMA ni at their own risk! Sababu miradi iliombwa na wapiga kura.
CCM tutumie hii hoja kuwavurumisha CHADEMA wasipate kura maeneo hiyo miradi ilipo tuwaambie wazi mlitaka shule tukajenga kuna Chama kinaitwa CHADEMA kinaponda huu ujenzi mlioutaka wenyewe msikipe kura.