Uingereza wasalimu amri

Uingereza wasalimu amri

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,551
Reaction score
7,596

.


Serikali ya Uingereza imeondoa baadhi ya vikwazo dhidi ya mafuta ya Urusi,huku bei ya mafuta ikipanda nchini humo.

Agizo hilo limeanza kutekelezwa hii leo, na inaashiria hofu inayoongezeka kuhusu upatikanaji wa mafuta kutokana na kuzuizi kilichowekwa katika Mlango bahari wa Hormuz tangu kuanza kwa vita kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

Vikwazo dhidi usafirishaji wa gesi ya asili ya Urusi iliyoyeyushwa (LNG) pia vimeondolewa.
Hatua kama hiyo iliyochukuliwa na Marekani hivi majuzi ilikosolewa vikali.

Bei za mafuta ya ndege barani Ulaya zimeongezeka mara mbili Zaidi baada ya vita kuanza, huku bei ya mafuta katika vituo za mafuta zikipanda.

Mashirika kadhaa ya ndege nchini Uingereza na duniani kote yamehairisha safari zake na kuongeza bei za tiketi kutokana na kupanda kwa bei mafuta ya ndege.
 
Russia wins, Trump wins, and finally, the third world war is extinct.
 
In the absence of the proper source of the information it becomes difficult to trust you people of jihad because most, if not all, of the informations you normally post on this platform are false.

The real information is that the UK government had issued a waiver to allow the importation of jet fuel and diesel that are refined from Russian crude oil in third countries (such as India and Turkey). This policy change was introduced by Prime Minister Keir Starmer's administration to protect the security of domestic energy supplies and stabilize fuel prices, which had spiked due to disruptions in the Strait of Hormuz.

You were supposed to clarify it that way to avoid sending the wrong signals to the readers and next time when posting a similar thread you ought to identify its source to give credence to the information.
 
In the absence of the proper source of the information it becomes difficult to trust you people of jihad because most, if not all, of the informations you normally post on this platform are false.

The real information is that the UK government had issued a waiver to allow the importation of jet fuel and diesel that are refined from Russian crude oil in third countries (such as India and Turkey). This policy change was introduced by Prime Minister Keir Starmer's administration to protect the security of domestic energy supplies and stabilize fuel prices, which had spiked due to disruptions in the Strait of Hormuz.

You were supposed to clarify it that way to avoid sending the wrong signals to the readers and next time when posting a similar thread you ought to identify its source to give credence to the information.
Wewe mbuzi acha shobo na kiingereza chako cha AI....
Nini huelewi kwenye taarifa iliyoletwa ?
unaleta ulokole mpaka kwenye mafuta , hao jihadi wanahusiana nini na UK kununua mafuta ya Russia?
 
In the absence of the proper source of the information it becomes difficult to trust you people of jihad because most, if not all, of the informations you normally post on this platform are false.

The real information is that the UK government had issued a waiver to allow the importation of jet fuel and diesel that are refined from Russian crude oil in third countries (such as India and Turkey). This policy change was introduced by Prime Minister Keir Starmer's administration to protect the security of domestic energy supplies and stabilize fuel prices, which had spiked due to disruptions in the Strait of Hormuz.

You were supposed to clarify it that way to avoid sending the wrong signals to the readers and next time when posting a similar thread you ought to identify its source to give credence to the information.
Huna Akili Kila News Tena zenye fact unahusisha na udini una wasted sperm

Habari inaihusu England na Russia, habari ya udini inahusikaje hapo !?
 
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisa.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Wewe mbuzi acha shobo na kiingereza chako cha AI....
Nini huelewi kwenye taarifa iliyoletwa ?
unaleta ulokole mpaka kwenye mafuta , hao jihadi wanahusiana nini na UK kununua mafuta ya Russia?
Nilifahamu hii lugha kabla hata haijajulikana kwamba kuna kitu kitakuja kinachoitwa AI na wewe labda ulikuwa hata hujazaliwa.
 
Back
Top Bottom