Waziri Mkuu akutana na balozi wa uingereza nchini Tanzania

Waziri Mkuu akutana na balozi wa uingereza nchini Tanzania

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
475
Reaction score
472
IMG-20260605-WA0042.jpg
IMG-20260605-WA0043.jpg
IMG-20260605-WA0044.jpg
IMG-20260605-WA0045.jpg
IMG-20260605-WA0045.jpg
IMG-20260605-WA0046.jpg
IMG-20260605-WA0047.jpg


WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba leo Ijumaa, Juni 5, 2026 amefanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Marianne Young, ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma.

Mazungumzo hayo yalijikita katika kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano kati ya Tanzania na Uingereza katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii.
 
Back
Top Bottom