uchumi

  1. Analogia Malenga

    Uchumi wa dunia utakua kwa 4.4% mwaka 2022

    Benki ya Dunia imeripoti kuwa Uchumi wa Dunia utakua kwa 4.4% kwa mwaka 2022 ikiwa na tofauti ya 0.5% iliyokadiliwa awali. Mwaka 2023 ukuaji wa uchumi utapungua hadi kufikia 3.8% Nchi zinazoendelea zitakuwa na ukuaji mdogo ukilinganisha na nchi zilizoendelea. Aidha 60% ya nchi maskini zimeanza...
  2. chiembe

    Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

    Serikali ifanye uamuzi mgumu, hii ni biashara ya hasara, nadhani ATCL wajikumbushe sababu zilizofanya ATC ikafilisika, abiria sita ni sawa na milioni mbili laki nne kwa nauli ya laki nne, Dar-Chato direct flight, maana yake kama ni dreamliner siti nyingi hazikaliwi,inaenda tupu kwa asilimia 98...
  3. U

    Daraja la Zanzibar - Bagamoyo muhimu kwa uchumi

    Ni ushauri tu kwa viongozi wa serikali yetu ya Muungano Na Zanzibar kujenga daraja la Magari Na BRT kati ya Tanzania Bara Na Zanzibar. Wachina wanaweza.
  4. Suley2019

    Rais Mseveni aruhusu shughuli za uchumi kufunguliwa tena baada kufunga kwa takriban miaka miwili

    Shuguli zote za kiuchumi zimefunguliwa tena nchini Uganda leo Jumatatu baada ya kufungwa kwa baadhi ya biashara kwa karibu miaka miwili. Baa, vilabu vya usiku, kumbi za michezo na maeneo mengine ya burudani pamoja na shuguli nyingine za usiku vimefunguliwa rasmi baada ya kufungwa mwezi Machi...
  5. Kijakazi

    Takwimu za Uchumi wa Mikoa hazina maana kama Mikoa haijitegemei

    Sielewi hizi takwimu ya kipato cha Mikoa kinachotolewa zina lengo gani haswa, je ni kuonyesha Mkoa upi ni masikini zaidi ya mwingine au ni nini? Na kama ndiyo je, tukishajua Mkoa fulani ni masikini then what ? Nini kinafwatia? Tunafanya nini sasa na hizo namba? Kwangu mimi ingeleta maana kama...
  6. MK254

    Utalii wa ndani Kenya waongeza mabilioni kwenye uchumi

    Huu ndio uzalendo wa kweli.... ===== The tourism sector rebounded last year supported by locals, as the industry pulled out of a painful two-year period since it was hit by the pandemic. The tourism sector performance report 2021 shows that the industry earnings jumped 65 percent to Sh146.51...
  7. L

    Jamii ya kimataifa yahimizwa kufanya juhudi za pamoja ili kufufua uchumi wa dunia

    Rais Xi Jinping wa China hivi karibuni amehutubia Kongamano la mwaka 2022 la Baraza la Uchumi wa Dunia kwa njia ya video, akihimiza jamii ya kimataifa kushirikiana katika kukabiliana na changamoto zilizosababishwa na janga la COVID-19, na kujenga dunia nzuri. Katika hotuba yake, Rais Xi amesema...
  8. Mashashola

    World Bank: Tanzania bado haijafika uchumi wa kati Middle Income Country (MIC)

    United Republic of Tanzania bado haijafika kiwango cha kuwa nchi yenye uchumi wa kati a.k.a Middle Income Country (MIC). Nchi ya Tanzania bado iko katika kundi la Least Developed Countries almaarufu LDC. Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika...
  9. S

    Licha ya kuingia uchumi wa Kati, Tanzania bado tuko chini katika ubora wa Maisha (HUMAN DEVELOPMENT INDEX) tunashika nafasi ya 163

    HDI kwa kifupi inaangalia Afya na umri wa wananchi , pamoja na ubora wa maisha wanayoishi. Pia ndio inayopima kama taifa limeendelea au liko chini. Kwa sasa Tanzania iko katika kundi la chini kabisa nafasi ya 163 , kinachoshangaza hata Comoro na Uganda wametupita. Kwa haraka tu nadhani Watz...
  10. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Matumaini yangu ni wazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwanza kabisa nianze kwa kuisifu,eeeh bhanaa hamna mikoa mizuri hapa Tanzania [emoji1241] kama mikoa ya kusini hasa hasa ile iliyopitiwa na bahari yaani MTWARA na LINDI sijajua hata tulikwama wapi kuifanya iwe kama Istanbul...
  11. CM 1774858

    Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

    ==== Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania, According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan, Pato letu...
  12. Sky Eclat

    Utoto hutegemea hali ya uchumi, hali ya uchumi ikiwa ngumu utoto huisha mapema

    Hali ya uchumi ikiwa nzuri kunakuwa na mpishi wa kupika na mtoto huitwa chakula kikiwa tayari. Anakua na michezo ya kuchezea na nguo zinazohitajika kwa wakati, mfano za kukalia, za shule, za ibada nk. Elimu ndiyo imetoa nafasi kwa watoto wengi kupata muda wa kufaidi utoto wao wawapo shuleni...
  13. B

    Je, ni kweli Polepole na Dkt. Bashiru wamepata taarifa za kuhojiwa Kuhusu makosa ya uhujumu uchumi?

    Taarifa zilizopo zinadai kwamba baada ya Polepole kuanza kubishana na wenye nchi huku akimkosoa Mwenyekiti wake Kuhusu awamu ya sita tayari mkakati WA kuwahoji yeye na Bashiru Kuhusu fedha mbalimbali walizoidhinisha kutumika na hazionekani kufika Kwa walengwa. Mchakato huu unaelezwa kuwa mkakati...
  14. Equation x

    Mkabizi uchumi wa nyumbani mwanamke, hutojutia.

    kabla sijaoa, nilisema sitaoa mwanamke aliyeajiriwa; na kweli nilifanikisha kwa kupata kifaa kweli kwa muonekano, pia kichwani yuko vizuri. Na wakati nilipokutana naye mara ya kwanza, nilimpiga interview kama mtu anayeomba kazi, ila lengo langu ni kupata mtu atakayetimiza majukumu yangu...
  15. Jelavic

    Mbowe hatofungwa ila anampisha Rais ajenge uchumi kwanza

    Kwa jinsi kesi inavyoenda na hukumu ndogo ndogo zinavotupiliwa mbali ni wazi tayari kuna malekezo ya wapi kesi ifike na mpaka ifike huko basi muda utakuwa umsogea sana rais atakuwa ameisha onesha muelekeo wake anatupeleka wapi. Wakati SSH anaingia na wapinzani wakaanza makongamano ya katiba...
  16. M

    Ushauri: Rais Samia zuia mazao kwenda nje ya nchi, njaa inalinyemelea Taifa

    Mh. Ukiachilia mbali mfumuko wa bei wa ajabu kuwahi kutokea,,,nakuomba zuia mazao kwenda nje ya nchi ulinisuru Taifa na njaa,,mvua zimegoma kunyesha mahindi na mpunga vimeanza kupandishwa bei kiholela.Mh.nakuomba simama na wananchi angalau kwa hili njaa itakuletea mgogoro mkubwa katika utawala...
  17. B

    DC Mwenda awafunda vijana jinsi miaka 60 ya uhuru uchumi wa Tanzania ulivyobadilika

    DC MWENDA AWAFUNDA VIJANA JINSI MIAKA 60 YA UHURU UCHUMI WA TANZANIA ULIVYOBADIRIKA Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru mkoani Singida vijana wamefanya Kongamano Vijana na wametakiwa kuenzi miaka 60 ya uhuru wa Tanzania bara na miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanziba kwa kuangalia mabadiliko katika...
  18. kavulata

    Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ndio Siri ya uchumi mkubwa duniani

    Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani...
  19. OLS

    Mbali na kuhitaji vijana wajiajiri, vitabu vya masomo ya biashara na uchumi ni vichache kwa shule za Advance level

    Kwa takwimu zilizopo katika tovuti ya TAMISEMI, vitabu vya masomo ya biashara kwa wanafunzi wa Advanced Level ambayo ni Accountancy, Commerce na Economics ni vichache ukilinganisha na vitabu vya masomo mengine Kwa mwaka 2021, kulikuwa na vitabu 378 vya Accountancy, 392 vya Commerce na 4,057 vya...
  20. S

    Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

    Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu. Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili...
Back
Top Bottom