Wasalaam, tangu tumepata Uhuru tumetawaliwa na CCM, matatizo na umasikini tulionao umesababishwa na wakoloni weusi CCM. Hawa CCM wamegeuza hii nchi ya kifalme anatawala babu hadi mjuku, kazi yao kubwa wakoloni hawa kutuimbia watanzania ngonjera;
1. Mhe. Ally Hassan Mwinyi; ruksa
2. Mhe. Mkapa...