Uchaguzi ni mchakato unaoanzia kwenye kutia nia hadi angalau kutangazwa kwa mshindi.
Watia nia na hata wapiga kura wote ni wana wa nchi hii hii. Fitina, ufedhuli, chuki, pepo wachafu wachafu, uchawi uchawi, uonevu nk vya nini wakati sisi sote tu-watanzania?
Kweli haiwezekani kutendeana haki...