Nimewasikiliza chadema katika mchakato wao wa kupata mgombea wa uraisi. Frankly speaking mna very strong candidate tatizo lenu ni kutokujua audience.
Mkijua audience mtajua mtajua ni mambo yafuatayo
1. Vyama vya siasa vina wajibu gani na changamoto gani
2. Serikali ina wajibu gani na changamoto gani
3. Wananchi wana wajibu gani na changamoto gani?
Mkiyatambua hayo mtajua yapo mabadiriko ambayo wana jamii wanayatamani katika makundi tofauti hayo ya vyama vya siasa, serikali na wananchi na mabadiliko hayo yana michakato yake.
Tunapokwenda kwenye uchaguzi itakuwa ni makosa makubwa sana kwenda kwa wananchi kudai tume huru ya uchaguzi, kudai katiba mpya n.k
Hayo sio mambo yaliyoko kwenye mamlaka ya wananchi kufanya kwa michakato ya nchi hii.
Uchaguzi huu ni wananchi kutoa madaraka na madaraka haya wanayotoa wananchi wao hawatazami shida za vyama vya siasa, wao wanatizama shida zao.
Swala la Katiba mpya, Tume Huru, Vyombo vya Dola wanaoweza kulisimamia ili likae sawa ni vyama vya siasa. Lakini kutokuwepo uwiano wa kimadaraka, hawa wameshikilia madaraka makubwa na wengine madaraka madogo hamuwezi kusema tukae chini tujadiri.
Kama nguvu zenu za kimadaraka yanayotoka kwa wananchi zingekuwa zinataka kulingana haya ya tume huru, n.k mngekuwa mshayazungumza.
Hivyo basi kwenda kwa wananchi kuwaambia tunataka tume huru, tunataka katiba mpya kama ajenda zenu hamuwezi kushindana na atakayekuja anawaambia watu nataka nimalizie bwawa la umeme ili umeme ushuke, nataka nimalizie standadi geji, n.k
Tafuteni hoja zinazogusa maisha ya watu moja kwa moja ili wawapeni madaraka na mkishapata madaraka ndiyo mfanye kazi yenu ya kutafuta uwanja sawa wa ushindani kisiasa.
Mkijua audience mtajua mtajua ni mambo yafuatayo
1. Vyama vya siasa vina wajibu gani na changamoto gani
2. Serikali ina wajibu gani na changamoto gani
3. Wananchi wana wajibu gani na changamoto gani?
Mkiyatambua hayo mtajua yapo mabadiriko ambayo wana jamii wanayatamani katika makundi tofauti hayo ya vyama vya siasa, serikali na wananchi na mabadiliko hayo yana michakato yake.
Tunapokwenda kwenye uchaguzi itakuwa ni makosa makubwa sana kwenda kwa wananchi kudai tume huru ya uchaguzi, kudai katiba mpya n.k
Hayo sio mambo yaliyoko kwenye mamlaka ya wananchi kufanya kwa michakato ya nchi hii.
Uchaguzi huu ni wananchi kutoa madaraka na madaraka haya wanayotoa wananchi wao hawatazami shida za vyama vya siasa, wao wanatizama shida zao.
Swala la Katiba mpya, Tume Huru, Vyombo vya Dola wanaoweza kulisimamia ili likae sawa ni vyama vya siasa. Lakini kutokuwepo uwiano wa kimadaraka, hawa wameshikilia madaraka makubwa na wengine madaraka madogo hamuwezi kusema tukae chini tujadiri.
Kama nguvu zenu za kimadaraka yanayotoka kwa wananchi zingekuwa zinataka kulingana haya ya tume huru, n.k mngekuwa mshayazungumza.
Hivyo basi kwenda kwa wananchi kuwaambia tunataka tume huru, tunataka katiba mpya kama ajenda zenu hamuwezi kushindana na atakayekuja anawaambia watu nataka nimalizie bwawa la umeme ili umeme ushuke, nataka nimalizie standadi geji, n.k
Tafuteni hoja zinazogusa maisha ya watu moja kwa moja ili wawapeni madaraka na mkishapata madaraka ndiyo mfanye kazi yenu ya kutafuta uwanja sawa wa ushindani kisiasa.