Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 961
- 2,345
Watanzania ni walewale, walioko CCM ndio hao hao wako CDM.Huyo John Mrema si alishindwa kura za maoni ?Chadema hapo ndo mnapoharibu. Kigamboni hamjaweka mgombea ?Au mmewaachia ACT?
Yaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?Kwa Segerea chadema hamjatenda haki....yule dada anapambana sana aisee
Yaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?
Yaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?
Halafu kutwa kuwananga CCM hawana demokrasia...yule AGNESTA LAMBERT anapambana sana kuanzia chadema ni msingi mikoa ya kilimanjaro na singida.....kwa tetesi hata 2015 alishinda ubunge wa viti maalumu sema kamati ikafanya yake
Mbona majimbo ni machache?Hii orodha inasambaa kwa kasi ya mwanga mitandaoni!
Hahahahahahaa naona ume zoom wee! Haya bwanaHuyo John Mrema si alishindwa kura za maoni ?Chadema hapo ndo mnapoharibu. Kigamboni hamjaweka mgombea ?Au mmewaachia ACT?
Huyu dada anaandaliwa kama kina Upendo Peneza na Catherine Ruge. Kumpa jimbo kabla hajaonekana kitaifa siyo sawa! Tulizana.Tunalaani vikali sana kukatwa kwa huyo Dada John Mrema anakwenda kuanguka vibaya CHADEMA mmefaidika nini na kura za mezani?
Vyama vya kihuni utavijua tuHii orodha inasambaa kwa kasi ya mwanga mitandaoni!