Uchaguzi 2020 Orodha ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA Tanzania Bara Oktoba 2020

Cicadulina

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
961
2,345
1596982949729.png

1596982960488.png

1596982970028.png

1596982982668.png

1596982993607.png
 
Kila lenye nguvu hupita

Kila lenye uwezekano hufanyika

Kila unapo wekeza ndipo unapo vuna

Kama wamepita kwa haki ndani ya chama chao na kupewa ridhaa ya kukiwakilisha chama kwa wananchi ni sawa

Ila kama wapo walio pendelewa basi watalipwa kwenye box la kura

Tuwatakie tu mapambano mema na uwakilishi wema ndani ya chama chao

Na wakipata nafasi wasitubague kwa itikadi za vyama vyetu
 
Mufindi kusini hiyo Tito kitalika rekebisha Tafadhari msitutukanie jina letu
 
Back
Top Bottom