uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mwamposa na Hananja wasanii na wajasilia Dini wa makanisa ya mchongo na neno la Mungu ndio walio ongoza sala Kawe!

    Kweli Hananja. msanii wa dini, Mwamposa Msanii wa Dini leo ndio wa officiate sala ya ufunguzi? Nchi hii ina vituko. --------- Mtumishi wa Mungu, Apostle Mwamposa, alivyoshusha maombi katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) Kawe - Dar es Salaam Chanzo: Global TV
  2. K

    GE2025 Ahadi za Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan kwa siku 100 za kwanza za uongozi wake miaka mitano ijayo (2026 -2030)

    AHADI ZA SAMIA NDANI YA SIKU 100 BAADA YA KUCHAGULIWA (ATAKAYOFANYA) 1. Utazinduliwa rasmi mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote, kwa awamu ya majaribio. Wakianza Wazee, Watoto, Wajawazito, na Wenye Ulemavu. Gharama za matibabu kwa makundi haya zitabebwa na mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. 2. Serikali...
  3. JanguKamaJangu

    GE2025 Balozi Nchimbi asema yupo tayari na timamu kupokea maelekezo ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025

    Mgombea mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amebainisha kuwa yupo tayari na timamu kuzitafuta kura za ushindi za Chama Cha Mapinduzi CCM kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba 2025, akiahidi pia kufanya kazi kwa bidii...
  4. McLaren

    GE2025 Kijembe cha Kikwete kwa Polepole kuhusu fedha za Uviko

    Wakuu Akiwa anazungumza leo kwenye kampeni za CCM Kikwete amesema kuwa wakati nchi nyingine za Afrika zile hela za Uviko zilikuwa zinaenda kwa wafanyabiashara Bongo Samia alipeleka hizo hela kwenye miradi ya maendeleo Ikumbukwe kuwa siku chache nyuma Polepole alisema kuwa kuna ubadhirifu...
  5. Getrude Mollel

    GE2025 Rais Samia Suluhu: CCM kugharamia kwa asilimia 100 matibabu ya watu wasiokuwa na uwezo

    Rais Samia Suluhu amesema ya kwamba CCM ikipata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuendelea kuiongoza serikali, basi ndani ya siku 100 za mwanzo za uongozi wa serikali ya Rais Samia Suluhu, matibabu ya watu wasio na uwezo hasa kwenye magonjwa yasiyoambukiza kama sukari, figo, presha, saratani na...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa

    Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu aliyopatiwa marehemu azijalipwa. Tutakuja na mfumo wa kuhakikisha jamaa ya marehemu wanalipa gharama, lakini sio kuziwia miili ya watu waliotangulia mbele ya haki...
  7. Waufukweni

    GE2025 Kikwete: Rais Samia ni kiongozi mwenye maono ya mbali, 4R zake zimeimarisha Amani, Umoja na Muungano

  8. R

    GE2025 Kesi ya ACT Wazalendo na Mpina dhidi ya Tume INEC imefanyika kwa njia ya Mtandao

    Kesi ya Luhaga Mpina wa ACT -Wazalendo dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) sasa inasikilizwa kwa njia ya mtandao. Chama cha ACT-Wazalendo kimefungua shauri la maombi kuhusiana na uteuzi wa mgombea wake wa nafasi ya urais, Luhaga Mpina, baada ya...
  9. R

    GE2025 ZEC kutumia bilioni 12 katika shughuli zote za Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, Vyama 17 Kushiriki

    Licha ya ratiba ya uchukuaji wa fomu za uteuzi wa nafasi za urais, uwakilishi na madiwani kuanza leo, lakini kwa nafasi ya urais vyama vya siasa vimeandika barua za kuomba kuchukua fomu kuanzia Agosti 30, 2025. Wakati mchakato huo ukiendelea, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inatarajia kutumia...
  10. Waufukweni

    GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete akizungumza kwenye uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho amesema, "Najua kulikuwa na maneno eti utaratibu umekiukwa na mimi nililaumiwa kwa jinsi nilivyosema kwenye Mkutano Mkuu, lakini waliokuwa wanasema hayo ama hawafahamu utaratibu...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Je, matukio na makongamano makubwa ya kampeni yanaweza kukushawishia kukipigia Chama Kura yako?

    Wakuu! Baada ya Tume Huru ya Uchaguzi kuwaidhinisha wagombea 17 wa vyama vya kisiasa na kuanza rasmi kwa kampeni, ni wazi huu ni mwaka wa uchaguzi ,Tumeona wagombea wakijinasibu kwa mbwembwe na kuonyesha uwezo wao. Sasa ni wakati wa kujiuliza: Je, tutachagua chama kwa sera na mipango ya...
  12. Roving Journalist

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CHAUMMA, Salum Mwalimu na Devotha Minja

    Uzi Maalum wa mijadala yote ya michakato ya ziara za kampeni za mgombea nafasi ya Urais Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu na Mgombea mwenza Devotha Minja. ---------------- Agosti 27, 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imemteua...
  13. Waufukweni

    GE2025 Kihongosi: Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema, "Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM, pia wana wajibu wa kujua matumaini na matarajio ya maendeleo tuliyofikia leo yametokana na Chama hiki, kwasababu...
  14. Waufukweni

    GE2025 Mkutano wa Mpina na waandishi wa Habari umeahirishwa

    Ahirisho la Mkutano na Waandishi wa Habari Mkutano na waandishi wa Habari na Ndg Luhaga Mpina, uliokuwa ufanyike leo Alhamis tarehe 28.8.2025 saa Saba Kamili Mchana umeahirishwa kutokana na Mzungumzaji kuendelea na usikilizaji wa Kesi mahakamani Mpaka wakati huu. Tunaomba radhi kwa usumbufu na...
  15. R

    GE2025 Mgombea Ubunge CHAUMMA Jimbo la Kinondoni ajinadi kumng'oa Abbas Tarimba wa CCM

    Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CHAUMMA Moza Ally amesema amejipanga kushinda Jimbo hilo, licha ya ugumu wa Mbunge wa sasa anayewakilisha Chama tawala. Moza amesema anafahamu matatizo mengi ya watu wa Kinondoni hivo itakuwa kazi nyepesi kwake kufikisha matatizo yao BUNGENI na...
  16. Waufukweni

    GE2025 Askofu Bagonza: Uchaguzi umekwisha, tuonane mezani

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amesema hali ya sasa ya kisiasa nchini, baada ya kuenguliwa kwa Mgombea Urais wa ACT Wazalendo Luhaga Mpina, inathibitisha hitaji kubwa la wadau wa siasa kurudi mezani kujadiliana. Akizungumza...
  17. J

    GE2025 PICHA:Uchambuzi, Historia na Uelekeo wa kampeni za Uchaguzi mkuu 2025

    https://www.youtube.com/live/75BCyq8wmtw?si=_JM6YbzjI4WT5SjH Habari Watanzania, naomba nifanye uchambuzi wa kina kuhusu Siasa za Tanzania. Historia ya Vyama Vingi Nchini Tanzania Kipindi cha Uhuru (1961 – 1964) Baada ya Tanganyika kupata uhuru mwaka 1961, kulikuwepo na vyama vingi vya siasa...
  18. Nipe Maji

    Mradi wa Stendi ya Kimataifa Moshi, unatarajiwa kukamilika Aprili 24, 2026

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Bi. Mwajuma Nasombe @mwajumaa_abasy ametangaza Kurudi kazini kwa Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Stendi ya Kimataifa Moshi, huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo april 24, 2026. Amesema hayo Leo, mbele ya Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro...
  19. DuaZaMama

    SI KWELI PreGE2025 'Dorothy atimuliwa kimya kimya, Act Wazalendo yazidi kudhihirisha mfumo Dume'

    Wakuu ===== Hizi taarifa niza kweli kwamba Dorothy Semu ametimuliwa kimya kimya ndani ya ACT Wazalendo?
  20. Waufukweni

    GE2025 INEC yapitisha vyama 17 kuwania Urais Oktoba 29, 2025

    Urejeshaji fomu za kugombea urais umekamilika leo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), ambapo mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, alizuiwa kuingia kutokana na kukosa vigezo. Kwa mujibu wa kanuni za chama hicho, mgombea wa nafasi ya urais anatakiwa awe mwanachama...
Back
Top Bottom