uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi yawateua Samia na Nchimbi kugombea urais kwa tiketi ya CCM

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewateua Rais Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza wake, Dk Emmanuel Nchimbi, kugombea nafasi ya urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu...
  2. Roving Journalist

    GE2025 INEC yamzuia Mpina kurejesha fomu za kuwania Urais Ofisi za Tume, ACT Wazalendo yaandika barua kumjibu

    MKURUGENZI WA UCHAGUZI TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI UCHAGUZI HOUSE ENEO LA UWEKEZAJI NJEDENGWA P.O.BOX 358 41107 DODOMA YAH: KUPINGA MAELEKEZO YA TUME KUTAKA MGOMBEA WA ACT WAZALENDO KUTOFIKA KURUDISHA FOMU Naomba urejee suala tajwa hapo juu. Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa mshtuko na...
  3. R

    GE2025 Wakili Alute Mughwai afafanua namna ambavyo Rais anaweza akatoa Ushaidi kwenye kesi ya Tundu Lissu

    "Katiba yetu inasema watu wote ni sawa na watawajbika kwa mujibu wa sheria, kwa maneno mengine hakuna mtu yeyote ambaye yuko juu ya sheria isipokuwa kama sheria hiyohiyo inampa kinga kwamba hawezi kwa mfano kushitakiwa au hawezi kwenda kutoa ushahidi", - Wakili Alute Wakili Alute Mughwai, mmoja...
  4. Just Pray

    GE2025 KKKT Dayosisi ya Karagwe yatangaza jumapili ya Agosti 31, mitaa yote ifanye maombi kuenzi haki na amani

    TWENDE MAGOTINI KWA NIA NA IMANI Jumapili ya 10 baada ya UTATU, KKKT utafakari juu ya HAKI HUINUA TAIFA, na DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE. Tumo katika juma hilo. Tunaalikwa sote kumlilia Mungu ili tusitenganishe HAKI na AMANI. 1. Kama HAKI huinua Taifa, basi dhuluma huangusha taifa. 2. Ili...
  5. JanguKamaJangu

    GE2025 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetengua uteuzi Mgombea Urais wa ADC (Wilson Malumbe) kwenye kuwania Urais wa Uchaguzi Mkuu 2025

    Maktaba Media imepata taarifa kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) Ndg. Wilson Malumbe huenda akaondolewa kwenye mchakato wa Urais wa Uchaguzi Mkuu 2025 baada ya Ofisi ya Msajili wa Siasa kubainisha kasoro za kupatikana kwa Mgombea huyo. Haya yanajiri wiki...
  6. tonicimmobility

    Samia: Amos Makalla umekuwa kiongozi mzuri, kwa muda mfupi umeongoza kwa mafanikio makubwa kwa kukiunganisha chama chetu, sasa tumekuongezea jukumu

    Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, akiwemo Amos Makalla aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha ili kuanza rasmi majukumu yao mapya katika utumishi wa umma nchini. Katika hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika Ikulu jijini Dodoma leo Agosti 26, 2025...
  7. tonicimmobility

    GE2025 Aweso: Tutafanya kampeni za kistaarabu pangani

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Pangani ambaye pia ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025. Aweso amepokea fomu hiyo leo, Agosti 26, 2025, kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Pangani...
  8. E

    Ilani za uchaguzi mkuu 2025: Digitali na akili mnemba zinavyojadiliwa katika ilani za vyama vya siasa

    Katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, vyama vya siasa nchini Tanzania vimeweka mkazo mkubwa katika kuzungumzia maendeleo ya teknolojia ya kidigitali na nafasi ya akili mnemba (AI) katika kuchochea uchumi, utoaji wa huduma, na utawala bora. Hapa tunalinganisha ahadi kuu za vyama vikuu vinne: CCM, CUF...
  9. S

    Zamani maaskofu, mapadre nk walikuwa wanasoma Biblia kwanza kupata mahubiri sasa hivi wanaangalia hali ya siasa nchini kwanza na kutungia mahubiri

    Tofauti ya mahubiri ya zamani na sasa ni moja Zamani maaskofu, mapadre, Wachungaji, mitume na manabii nk ilikuwa wanasoma Biblia kwanza kupata mahubiri sasa hivi wanaangalia hali ya siasa nchini na kutungia mahubiri Ndio maana kuhubiri sasa hivi kumekuwa kwepesi kila mmoja aweza hubiri Sababu...
  10. upupu255

    PreGE2025 POTOSHI Boni Yai ameikana 'No reforms no election' asema wapo tayari kwa uchaguzi

  11. tonicimmobility

    Askofu Laiser: Taifa bila haki ni taifa la kuangamia

    Askofu Dkt. Isaac Kissiri Laiser wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Magharibi Kati Tabora, ametoa wito kwa Watanzania kusimama imara kutetea haki, akisisitiza kuwa bila misingi ya uadilifu na usawa taifa haliwezi kusonga mbele. Akihubiri Agosti 24, 2025 katika ibada...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Je, taarifa za wagombea unazoziona mtandaoni huwa unaziamini au unazihakiki kwanza kabla ya kufanya maamuzi?

    Katika kipindi cha uchaguzi mkuu, taarifa kuhusu wagombea husambaa kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii. Hata hivyo, si taarifa zote ni sahihi; nyingine huenezwa bila uhakika na mara nyingine unaweza kukutana na habari zinazopingana kuhusu mgombea mmoja. Hali hii huwafanya wananchi...
  13. Just Pray

    GE2025 Walioteuliwa na CCM kugombea ubunge majimbo ya mkoa wa Rukwa

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) CPA Amos Makalla akisoma majina ya wagombea walioteuliwa kuwania Ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Rukwa katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba.
  14. Waufukweni

    GE2025 Wana CCM Mkoani Masasi wazikataa Baiskeli na Pikipiki walizopewa wadai wamechoka kuburuzwa

    Baadhi ya Wana CCM Mkoani Mtwara, mjini Masasi katika Kata LUKULEDI wadaiwa kuzikataa Baiskeli na Pikipiki walizopewa wadai wamechoka kuburuzwa.
  15. R

    GE2025 Mayeye: Kigoma Kaskazini imekuwa shamba la bibi la wachache wanaojinufaisha huku wakisahau maslahi ya wananchi wengi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Kiza Mayeye, ameeleza kuwa jimbo hilo limegeuzwa kuwa “shamba la bibi” la wachache wanaojinufaisha huku wakisahau maslahi ya wananchi wengi. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge, Mayeye amesema...
  16. R

    GE2025 Yericko Nyerere achukua fomu kuwania Ubunge Kigamboni, ahaidi kufanya mabadiliko

    Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu kwa msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Kigamboni, Yericko amesema kuwa Wanakigamboni wanahitaji mabadiliko, na kwamba...
  17. tonicimmobility

    GE2025 Mwabukusi: Maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts

    Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts. Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole...
  18. Just Pray

    GE2025 Walioteuliwa na CCM kugombea ubunge majimbo ya mkoa wa Katavi

    Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) CPA Amos Makalla akisoma majina ya wagombea walioteuliwa kuwania Ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Katavi katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba.
  19. Just Pray

    GE2025 Haya hapa ni majina ya wagombea Ubunge kupitia CCM katika majimbo ya Mkoa wa Mbeya

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Wagombea Ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Mbeya 1.Patrick Mwalunenge - Mbeya Mjini 2.Patali Shida Patali- Mbeya Vijijini 3.Dkt.Tulia Ackson - Uyole 4.Bahati Keneth Ndingo - Mbarali 5.Baraka Ulimboka Mwamengo - Kyela 6. Lutengano George Mwalwiba - Busokelo 7. Anton...
  20. Just Pray

    GE2025 Tulia achukua Fomu kugombea ubunge Uyole

    Siku Chache Baada ya Kuteuliwa Na Ccm Kugombea Ubunge katika Jimbo la Uyole, Dkt Tulia Ackson Leo amechukua Fomu ya Kuomba kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa Ya Uchaguzi katika Jimbo Hilo Akihutubia Mamia ya wanachama wa Ccm na wananchi wa Jimbo la Uyole Dkt Tulia amewashukuru kwa imani kubwa...
Back
Top Bottom