uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Salim Alaudin: Sisi Ulanga ukimsema vibaya Rais tunakuloga

    Wakuu! Kampeni za CCM zinaendelea kwa nguvu huku Salim Alaudin, mbunge wa jimbo la Ulanga kwa kipindi cha 2020/25 na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, Agosti 29, 2025. amesema, "Mhe. Rais sisi Wananchi wa jimbo la Ulanga tumejiambia hivi, tukimuona Mtu anakusema vibaya tunatumia njia...
  2. PAYE

    GE2025 CHAUMMA kuzindua kampeni Agosti 31, 2025 Kinondoni

    Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tarehe 31/08/2025 Kinatarajia Kuzindua Kampeni za Mgombea Urais Kupitia CHAUMMA Katika Viwanja Vya Kinondoni Biafra Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa umma wa CHAUMMA, John Mrema amebainisha hayo kwenye taarifa aliyoitoa kwenye ukurasa...
  3. Waufukweni

    GE2025 Rasmi Dkt. Mwinyi achukua fomu ya Kugombea Urais Ofisi za ZEC

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amechukua fomu ya kugombea Urais katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ifikapo Oktoba, 29, 2025 katika siku ya Uchaguzi Mkuu wa Wagombea wa 2025-2030.
  4. Erythrocyte

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    Kwa Mara ya kwanza tangu siasa za mitandaoni zianze, Kitengo cha Propaganda Cha CCM kinaogopa kuleta habari za Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan Mitandaoni Taarifa fupi ya timu yetu ya ufuatiliaji inaeleza kwamba, Sababu Kuu ni Kombora Takatifu Alilolivurumisha Mzalendo Polepole, ambalo...
  5. Waufukweni

    GE2025 Wema Sepetu: Ukisema huyu Mama hasitahili nakuona kama hauko 'Ok'

    Mlimbwende kutokea kwenye kiwanda cha filamu Tanzania na aliyekuwa Miss Tanzania, Wema Sepetu ameweka wazi Rais Samia kumrahisishia mazingira ya kazi zake kupitia taasisi yake ya Wema wa Mama na hapa anafunguka.
  6. Waufukweni

    GE2025 Monalisa apinga kuvuliwa Uanachama ACT Wazalendo

    Kada wa Chama cha ACT Wazalendo Monalisa Joseph Ndala amepinga vikali kuvuliwa kwake uanachama kupitia taarifa iliyotolewa na uongozi wa chama hicho Tawi la Mafifi mkoani Iringa Akizungumza na wanahabari leo Agosti 30, 2025 monalisa ameeleza kuwa taarifa hiyo sio sahihi kwani yeye ni mwanachama...
  7. Waufukweni

    GE2025 Samia: Tunataka Tanzania ijitegemee Kiuchumi bila kutegemea mikopo mikubwa kutoka nje

    Mgombea Urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kampeni za Uchaguzi Mkuu katika eneo la Dakawa, Mvomelo, Mkoa wa Morogoro leo, tarehe 30 Agosti 2025, amesema lengo la Serikali ni kuona Tanzania ikijitegemea kiuchumi kufikia mwaka 2050, bila kutegemea mikopo mikubwa kutoka nje...
  8. Waufukweni

    GE2025 Zanzibar : Jeshi la Polisi tumejipanga kuhakikisha amani na usalama kipindi cha kampeni na Uchaguzi Mkuu 2025

    Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar katika kuhakikisha Amani na Usalama wakati wa kampeni na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 limejipanga vyema kuhakikisha ulinzi na usalama unahimarishwa wakati wote na kwamba wananchi wanaitumia haki hiyo ya kikatiba kuwachagua viongozi wanaowataka. Uchaguzi Mkuu...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 INEC yamuondoa Peter Yohana (NRA) kwenye Kinyang’anyiro cha Ubunge Mbarali, kushindwa kurejesha fomu ya kuteuliwa

    Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,INEC, imemuondoa Peter Yohana Mgombea wa Chama cha NRA katika Nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya, baada ya kushindwa kurejesha fomu ya kuteuliwa bila ya kutoa taarifa. Akitoa Taarifa Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali Bw. Salifu...
  10. T

    GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini kupitia ACT-Wazalendo amemuwekea pingamizi Mgombea wa CCM, Esther Nicholas Matiko pingamizi zito sana. Pingamizi hili kungekuwa na utawala wa sheria Hakika Esther Matiko angeondolewa kuwa mgombea na angeshitakiwa kwa ubadhirifu wa mali za Umma. Soma Pia...
  11. Waufukweni

    GE2025 Prof. Kabudi: Dkt. Samia amejaliwa maono makubwa

    Prof. Palamagamba Kabudi, Mgombea Ubunge Jimbo la Kilosa akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro leo Agosti 29, 2025
  12. Masalu Jacob

    Uwe ni utaratibu: Wagombea kupewa Usafiri bure katika chaguzi

    Habari Tanzania ! Eti mpenzi unaonaje, Wagombea waliothibitishwa na Vyama vyao na Tume ya Uchaguzi wapewe vyombo vya usafiri hoja kubwa ni; Wanatumikia umma. Hii itachochea wagombea kujitokeza kwa wingi pasipo uoga wowowte ule na kutakuwa na uchanuaji wa ushindani kikamilifu. Baada ya...
  13. T

    GE2025 Wito kwa wagombea: Msituharibie utaratibu wa kila siku wa wananchi

    Leo Mwanza, wananchi wanakabiliwa na changamoto kubwa ya msongamano na foleni zisizo na mwisho kutokana na kufungwa kwa barabara kuu wakati wa kampeni za kisiasa. Kwa heshima tunawaomba wagombea wote: msiharibu utaratibu wa kila siku wa wananchi katika siku hizi 30 za kampeni. Madhara...
  14. T

    GE2025 Charles Kulwa aomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kutupilia mbali pingamizi alilowekewa na mgombea mwezake wa udiwani wa CCM Kata ya Sabasaba

    Mimi, Charles Andrea Kulwa, nimepokea barua yako leo tarehe 28/08/2025 ukiambatanisha na barua yenye Kumb. Na: RM/INEC/SB/01/25 ya tarehe 28/08/2025 iliyoandikwa na Raymond N. Mwema; ukinitaarifu kuwekewa pingamizi na ndugu Raymond N. Mwema, Mgombea Ufiwani Kata ya Sabasaba kupitia Chama cha...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 ACT Wazalendo Tawi la Mafifi Lamfuta Uanachama Monalisa Joseph Ndala

    Kikao cha Kamati ya Uongozi ACT Wazalendo kilichofanyika Tarehe 28 Agosti, 2025 Iringa Mjini, Kata ya Kihesa, Mtaa wa Mafifi, kimepitia na kufanya ukaguzi wa hali za uhai wa Wanachama wake wa Tawi kwa ujumla na kubaini kuwa umepoteza sifa za kuwa Mwanachama halali na hai wa Chama cha ACT...
  16. Waufukweni

    GE2025 Samia awaomba Viongozi wa Kimila kukisaidia Chama kishinde kwa kishindo uchaguzi Oktoba 2025

    Wakuu! Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan yuko mkoani Morogoro akiendeleza kampeni zake ambapo jana Agosti 28, 2025 zilizinduliwa rasmi Kawe, jiji Dar es Salaam ambapo akiwa huko amesema, "Niwaombe viongozi hatuna sababu ya kuto kutoka kwenda kwa Wananchi...
  17. M

    Pamoja na kuwa CCM lakini Oktoba 29 siwezi kwenda kutiki, kura yangu haina effect yoyote, ushindi ni lazima kwa zaidi ya asilimia 90

    Niende kutiki au nisiende haina madhara yoyote kwenye matokeo Sina sababu hata moja ya kuinua mguu kwenda kupiga kura. Njia ni nyeupe kabisa, kuna uhakika tayari wa matokeo yatayobandikwa kuwa 90% au zaidi
  18. Waufukweni

    GE2025 Je, ni haki kwa vyombo vya habari vya umma kurusha matangazo ya kampeni za Chama kimoja pekee huku vikinyimwa nafasi vyama vingine?

    Wakuu! Katika mfumo wa kidemokrasia, ni muhimu vyombo vya habari vya umma kutoa usawa kwa vyama vyote ili wananchi wapate fursa ya kuamua kwa taarifa sahihi. Hivi karibuni kumekuwapo changamoto ukurasa rasmi wa Ikulu unachapisha taarifa na video zinazomhusu Mgombea wa urais kupitia CCM, hata...
  19. tonicimmobility

    GE2025 TLP kuzisaka Kura kwa kaulimbiu ya ''kaza buti barabarani kuna kokoto''

    Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kimejipanga kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kwa kusimamisha wagombea katika kila jimbo, kata na uwakilishi Zanzibar, kikijinasibu kwa kaulimbiu yake ya “Kaza buti, barabara ina kokoto.” Soma pia: CHADEMA na TLP zaungana na...
  20. I

    GE2025 Msemaji wa Polisi: Ukiziona tena gari zenye 'plate number SSH 2530' toa taarifa

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema kwamba tayari Jeshi hilo limechua hatua kuhusu magari yaliyokuwa na namba za usajili SSH2530 ambapo amesema kwamba kwa sasa magari hayo hayataonekana. Amesema kwamba baadhi ya magari yenye namba hizo yamekamatwa huku akitoa wito kwa...
Back
Top Bottom