uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa Makanisa ya Kimitume na Kinabii wahimiza Amani Uchaguzi Mkuu

    Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Makanisa ya Kitume na Kinabii Tanzania, wakiongozwa na rais wa Umoja huo Nabii Dr. Joshua Aram Mwantyala wamehimiza amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Wameeleza kuwa, Wagombea watakaoshindwa kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi huo, hawana...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Glory Tausi apita nyumba kwa nyumba kuomba kura jimbo la Kawe

    Mgombea ubunge wa Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi, leo Ijumaa, Septemba 12, 2025 ameendelea na kampeni zake kwa staili ya kupita nyumba kwa nyumba na vijiweni katika mitaa mbalimbali ya jimbo hilo. Picha na Michael Matemanga
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasimamizi wa Uchaguzi Geita Waaswa Kuepuka Vitisho na Upendeleo

    Wasimamizi wa uchaguzi mkoani Geita wametakiwa kuhakikisha wanaweka mazingira salama na ya haki, bila vitisho, ununuzi wa kura na upendeleo kama sehemu ya wajibu wao wa kusimamia zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ACT Wazalendo nitatumia pesa za Mfuko wa Jimbo Kutatua Changamoto za wananchi kwa haraka sana

    Mgombea ubunge wa jimbo la Ukonga kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Bakari Shingo amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kuwa atatumia fedha za mfuko wa jimbo kutatua changamoto zao kwa haraka na kushirikiana nao bega kwa bega katika shughuli za maendeleo.
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili matata: Wananchi wamesalitiwa na vyama vilivyoshiriki uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi, Wakili Dickson Matata, ameonesha masikitiko yake kwa vyama vya siasa vilivyokubali kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo madai ya kukosekana kwa mabadiliko ya msingi katika mfumo wa uchaguzi nchini. Akizungumza kupitia...
  6. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Miss Tanzania wa mwaka 2022 na Wadudu wakizisaka kura za CCM Arusha

    Harakati za kusaka kura za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 Miss Tanzania 2022 Halima Kope na wadudu wanakiwasha
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna haja kuwa na vyama vyenye wagombea wanaowaunga mkono wagombea wa CCM?

    Nimeona video ya mgombea urais Zanzibar kupitia AAFP, Said Soud Said akifurahia kukabidhiwa gari na Tume ya Uchaguzi Zanzibar. Kasahau kama nae ni mgombea Urais kaanza kumnadi mgombea urais kupitia CCM. Kwa maoni yangu naona hii si aina ya ushindani ambao tunahitaji kwenye uchaguzi, ni ujinga...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gombo avitaka vyombo vya dola kutenda haki

    Mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amevitaka vyombo vya dola Nchini kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa kwakuwa vipo kwajili ya kuwahudumia watanzania wote. Kauli hiyo ameitoa kwenye mkutano wa hadhara iliofanyika Kata ya Mahembe Jimbo la Kigoma...
  9. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapokezi ya Mgombea mwenza urais CCM Balozi Emmanuel Nchimbi Longido- Arusha

    Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amepokewa kwa kishindo alipowasili kwenye uwanja wa Polisi,Longido kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wa kampeni leo Ijumaa Septemba 12,2025...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tunataka maendeleo yaletwe na watu wenyewe

    "Maendeleo tunayoyataka ni maendeleo ya watu, yaletwe na watu wenyewe, yaendelezwe na watu wenyewe, yawafuate watu kule walipo. Hii ndiyo maana halisi ya uchumi jumuishi." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa kampeni Tabora Mjini
  11. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania GE2025 JAB: Ezekiel na Baraka wanaoshikiliwa na Polisi SIO waandishi wa habari, hawajawahi kujisajili! Hawana hadhi ya kutambulika kama waandishi

    BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WAHABARI UFAFANUZI KUHUSU WANAODAIWA KUWA WAANDISHI WAHABARI KUSHIKILIWA NAJESHI LAPOLISI MKOANIARUSHA Dar es Salaam 12 Septemba, 2025 Kwa mujibu wa Kifungu cha 13(a) cha Sheria ya Huduma za Habari Sura ya 229, Bodi ina wajibu wa kutoa ithibati na vitambulisho...
  12. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Heche: Magari waliyopewa wagombea wengine wa Urais kufanyia Kampeni ni dalili ya Rushwa

    Ameandika Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche kupitia ukurasa wake wa Instagram "Magari waliyopewa vyama vya mfukoni kufanyia kampeini ni rushwa.. Lengo ni kujaribu kuhalalisha uchafu huu unaoitwa uchaguzi. Bajeti ya serikali inapitishwa na bunge, Tume waseme wametoa hizo fedha wapi...
  13. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbunge mstaafu wa CHADEMA Salome apiga magoti akimuombea kura Samia

    Mbunge Mstaafu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Salome Makamba apiga magoti mbele ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi(CCM) kumuombea kura mgombea nafasi ya Urais Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea na kampeni zake za kumwaga sera katika mikoa mbalimbali. Soma pia: Salome...
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Msongola amnadi Samia Kivule

    Wakati ambao mchakato wa kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu ukiendelea, Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kivule, lilipo Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, Ndugu Massaburi Dougras Didas ameungwa mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
  15. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mimi hadi sasa sielewi CCM wanashindana na Chama gani?

    Ukweli ni kwamba CCM wanatumia nguvu kubwa sana ya kufanya kampeni na kushawishi umma kuhusu uchaguzi kama vile wako vitani. Wameshadhibiti miiba na mizumari sijui kwanini wanahangaika sana na tunajua kwamba hivyo vyama vingine ni kama matawi yake tu. Hadi sasa CHADEMA hawashiriki kwenye...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zanzibar: Magari yenye plate number za Mwinyi 2025 na SSH 2530 zakamatwa

    Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar kwa kushirikiana na Mamlaka ya usafiri na usalama barabarani pamoja na mamlaka nyingine zimefanikiwa kukamata namba zisizotambulika na mamlaka husika zilizokuwa zikifungwa katika eneo la kibati cha namba (Plate number) kwenye vyombo vya moto. Akizungumza...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwalimu: Nilipoaanza walikuwa wananidharau, leo wameona moto wangu hadi wamenza kukaa vikao

    Salum Mwalimu: "Nilipoaanza walikuwa wananidharau wananichukulia powa, leo wameona moto wangu wameanza kukaa vikao, Watanzania naomba mniombee."
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bodaboda na bajaj Tanga Wamshukuru Rais Samia kwa Nafuu ya Kodi

    Kupunguzwa kwa kodi za vyombo vya usafirishaji kumewaletea nafuu maafisa usafirishaji mkoani hapa, hali iliyowasukuma kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwatengenezea mazingira rafiki ya kazi. Akiwasilisha shukrani kwa niaba ya maafisa usafirishaji wenzake, Mweka Hazina wa Chama cha...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wagombea urais Zanzibar wamnadi Dkt. Mwinyi, baada ya kukabidhiwa magari ya kufanyia kampeni

    Yani! Kupewa magari ya kisasa wanasahahu kijipambania wenyewe, wananza kumnadi mgombe urais wa CCM Wagombea urais Zanzibar wamnadi Dkt. Mwinyi, baada ya kukabidhiwa magari ya kufanyia kampeni
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi wa Jimbo la Manonga wasikitishwa jina la Gulamali, kukatwa

    Wananchi wa Jimbo la Manonga wameeleza kuumizwa na kitendo cha aliyekuwa Mbunge wao, Seif Hamisi Gulamali, kutorejea tena kugombea Ubunge katika jimbo hilo. Wakizungumza kupitia taarifa ya makala maalum, wananchi hao wameeleza kuwa jina la Gulamali limeacha alama kubwa ya kisiasa na maendeleo...
Back
Top Bottom