Wakati ambao mchakato wa kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu ukiendelea, Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kivule, lilipo Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, Ndugu Massaburi Dougras Didas ameungwa mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Ukweli ni kwamba CCM wanatumia nguvu kubwa sana ya kufanya kampeni na kushawishi umma kuhusu uchaguzi kama vile wako vitani. Wameshadhibiti miiba na mizumari sijui kwanini wanahangaika sana na tunajua kwamba hivyo vyama vingine ni kama matawi yake tu. Hadi sasa CHADEMA hawashiriki kwenye...
Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar kwa kushirikiana na Mamlaka ya usafiri na usalama barabarani pamoja na mamlaka nyingine zimefanikiwa kukamata namba zisizotambulika na mamlaka husika zilizokuwa zikifungwa katika eneo la kibati cha namba (Plate number) kwenye vyombo vya moto.
Akizungumza...
Kupunguzwa kwa kodi za vyombo vya usafirishaji kumewaletea nafuu maafisa usafirishaji mkoani hapa, hali iliyowasukuma kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwatengenezea mazingira rafiki ya kazi.
Akiwasilisha shukrani kwa niaba ya maafisa usafirishaji wenzake, Mweka Hazina wa Chama cha...
Wananchi wa Jimbo la Manonga wameeleza kuumizwa na kitendo cha aliyekuwa Mbunge wao, Seif Hamisi Gulamali, kutorejea tena kugombea Ubunge katika jimbo hilo.
Wakizungumza kupitia taarifa ya makala maalum, wananchi hao wameeleza kuwa jina la Gulamali limeacha alama kubwa ya kisiasa na maendeleo...
Wanafunzi wa Kidato cha Tano kutoka Shule ya Sekondari Idete wamewaomba wanafunzi wenzao waliofikisha umri wa kupiga kura kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Wameonyesha furaha yao wakimtaja Dkt. Samia kama kiongozi anayewapa hamasa ya kukazana kimasomo ili...
Katika hali isiyo ya kawaida, sintofahamu iliibuka Septemba 10, 2025 wakati wa siku ya kwanza ya kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora zilizofanyika Wilayani Nzega, baada ya mabango yaliyokuwa yakimnadi mgombea huyo kuondolewa...
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mara baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma kuamuru kuwa Luhaga Mpina ana haki ya kurejesha fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, safari ya kusaka kura inaanza rasmi.
Akizungumza leo Septemba 11...
"Wasanii mmeshuka sana aisee yaani hata wale ambao walikua wana heshima kidogo na nyie mmegeuka machawa but why ? Jamani njaa ya miezi michache isitoe heshima yako ya miaka yote" — Faiza Ally
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Iringa, imetangaza msimamo mkali dhidi ya wagombea wa nafasi za kisiasa wanaojihusisha na utoaji wa ahadi za uongo wakati wa kampeni, wakisema kwamba tabia hiyo si tu ya kupotosha umma, bali ni aina ya rushwa ya kisiasa inayodhoofisha...
Bw. Bismass Shillah aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na baadae kuhamia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ametangaza kurejea rasmi CHADEMA kwa kile alichodai kuwa amegundua alifanya usaliti kwa kuangalia tamaa yake ya ubunge.
Ameyasema hayo leo Septemba 11, 2025...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina ameshidnda kesi yake dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume Huru ya Uchaguzi baada ya kuzuiliwa kurejesha Fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea Urais Kupitia chama hicho.
Kesi...
Kwa maneno ya Jaji aliyesikiliza shauri hili mjini Dodoma leo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilimnyima haki ya msingi ya kusikilizwa Mheshimiwa Luhaga Mpina, jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 13(6)(a), inayotamka wazi kuwa “Wakati haki ya mtu...
Kesi ya ACT Wazalendo na Luhaga Joelson Mpina, dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume Huru ya Uchaguzi inayohusu kuzuiliwa kwa Bwana Mpina kurejesha Fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea Urais Kupitia ACT Wazalendo, itatolewa hukumu leo saa 8:00 Mchana katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma...
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wakulima wa Tumbaku nchini kuwa Serikali iko kwenye hatua za mwisho kuhakikisha madai yao ya muda mrefu yanalipwa.
Soma pia: Wakulima wa Tumbaku Tabora wasema Bashe hafai kuwa Waziri anamharibia Rais...
“Tangu mwaka 2021 hadi leo, Dkt. Samia amefanya mambo makubwa ya ajabu yaliyoushangaza dunia; ametekeleza kwa ufanisi zaidi hata kuliko viongozi wanaume.”-Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Moses Nnauye
Mgombe Ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Moses Nnauye amewasisitiza wananchi wa jimbo la Kilwa Kaskazini kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kumchagua mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan sambamba na Mbunge na Madiwani wake kutokana na kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.