Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Septemba 13, 2025 anatarajiwa kuzungumza na Waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika Ofisi ya Tume Jijini Dar es Salaam.
Mkutano unafanyika Makao Makuu ya ACT Wazalendo – Magomeni.
Pia soma ~ ACT yakataa gari...
Ameandika Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe
"Sasa unaweza kusema kuna Uchaguzi. Wananchi watakuwa na chaguo la wazi kati ya CCM ile ile iliyoshindwa kuendesha nchi kwa miaka 60, gharama za maisha juu, huduma duni za Afya na watu 14M kudumbukia kwenye umasikini katika miaka 5 iliyopita ama ACTwazalendo...
Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine.
"Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba...
Mgombea Urais kupitia Chama Cha ACT Wazalendo Luhaga Joelson Mpina, leo Jumamosi ya Septemba 13, 2025 amefika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi(INEC) zilizopo Posta, jijini Dar es Salaam Kwa ajili ya kurudisha fomu yake ya kugombea Urais.
Mpina akiwa na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Fereji wamerejesha...
Wakuu!
Ni mimi tu au nyie mmeona? Hivi sasa Polisi wameendelea kupokea vitu vingi sana, kama magari, kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi, jambo linaibua maswali mengi, kwanini sasa hivi?
Je, ni kwa nia njema au kuna ajenda ya kisiasa nyuma yake?
====
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania...
Wakili Gaston Shundo Garubindi Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu:
"Baada ya kukamilisha mahojiano kuhusu kosa la Kusambaza taarifa za uongo, Jeshi la Polisi wakasema wanakamilisha utaratibu wao lakini tumesubiri mpaka sasa usiku, mteja wetu hawajampatia dhamana"
Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Serengeti, Mary Daniel Joseph, amemuomba Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Ali Kawaida, kufikisha kilio cha wananchi kwa Rais kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege na barabara za kiwango cha lami ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo.
“Mwenyekiti...
Mgombea urais kupitia Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira, ameahidi kuifuta Taasisi ya Mikopo ili wanafunzi wote wasome bure, iwapo wananchi watampa ridhaa ya kuiongoza nchi.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia Chama cha Act Wazalendo, Cyprian Musiba, ameeleza kuwa kuna njama zinazolengwa kumhujumu kwenye uchaguzi dhidi ya mpinzani wake, jambo ambalo amesisitiza kuwa hawawezi kukubali.
“Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 kwa sababu huyo...
Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Makanisa ya Kitume na Kinabii Tanzania, wakiongozwa na rais wa Umoja huo Nabii Dr. Joshua Aram Mwantyala wamehimiza amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Wameeleza kuwa, Wagombea watakaoshindwa kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi huo, hawana...
Mgombea ubunge wa Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi, leo Ijumaa, Septemba 12, 2025 ameendelea na kampeni zake kwa staili ya kupita nyumba kwa nyumba na vijiweni katika mitaa mbalimbali ya jimbo hilo. Picha na Michael Matemanga
Wasimamizi wa uchaguzi mkoani Geita wametakiwa kuhakikisha wanaweka mazingira salama na ya haki, bila vitisho, ununuzi wa kura na upendeleo kama sehemu ya wajibu wao wa kusimamia zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.
Akizungumza wakati wa mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi...
Mgombea ubunge wa jimbo la Ukonga kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Bakari Shingo amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kuwa atatumia fedha za mfuko wa jimbo kutatua changamoto zao kwa haraka na kushirikiana nao bega kwa bega katika shughuli za maendeleo.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi, Wakili Dickson Matata, ameonesha masikitiko yake kwa vyama vya siasa vilivyokubali kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo madai ya kukosekana kwa mabadiliko ya msingi katika mfumo wa uchaguzi nchini.
Akizungumza kupitia...
Nimeona video ya mgombea urais Zanzibar kupitia AAFP, Said Soud Said akifurahia kukabidhiwa gari na Tume ya Uchaguzi Zanzibar. Kasahau kama nae ni mgombea Urais kaanza kumnadi mgombea urais kupitia CCM.
Kwa maoni yangu naona hii si aina ya ushindani ambao tunahitaji kwenye uchaguzi, ni ujinga...
Mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amevitaka vyombo vya dola Nchini kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa kwakuwa vipo kwajili ya kuwahudumia watanzania wote.
Kauli hiyo ameitoa kwenye mkutano wa hadhara iliofanyika Kata ya Mahembe Jimbo la Kigoma...
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amepokewa kwa kishindo alipowasili kwenye uwanja wa Polisi,Longido kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wa kampeni leo Ijumaa Septemba 12,2025...
"Maendeleo tunayoyataka ni maendeleo ya watu, yaletwe na watu wenyewe, yaendelezwe na watu wenyewe, yawafuate watu kule walipo. Hii ndiyo maana halisi ya uchumi jumuishi." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa kampeni Tabora Mjini
BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WAHABARI UFAFANUZI KUHUSU WANAODAIWA KUWA WAANDISHI WAHABARI KUSHIKILIWA NAJESHI LAPOLISI MKOANIARUSHA
Dar es Salaam
12 Septemba, 2025
Kwa mujibu wa Kifungu cha 13(a) cha Sheria ya Huduma za Habari Sura ya 229, Bodi ina wajibu wa kutoa ithibati na vitambulisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.