uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Press Luhaga Mpina anazungumza na Wanahabari, leo Septemba 13, 2025

    Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Septemba 13, 2025 anatarajiwa kuzungumza na Waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika Ofisi ya Tume Jijini Dar es Salaam. Mkutano unafanyika Makao Makuu ya ACT Wazalendo – Magomeni. Pia soma ~ ACT yakataa gari...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Sasa kuna Uchaguzi, chaguo ni CCM iliyoshindwa kwa Miaka 60 au ACT ya mabadiliko

    Ameandika Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe "Sasa unaweza kusema kuna Uchaguzi. Wananchi watakuwa na chaguo la wazi kati ya CCM ile ile iliyoshindwa kuendesha nchi kwa miaka 60, gharama za maisha juu, huduma duni za Afya na watu 14M kudumbukia kwenye umasikini katika miaka 5 iliyopita ama ACTwazalendo...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 ACT yakataa gari alilopewa Mpina na INEC

    Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine. "Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dar: Mpina afika INEC kurudisha fomu yake ya Urais

    Mgombea Urais kupitia Chama Cha ACT Wazalendo Luhaga Joelson Mpina, leo Jumamosi ya Septemba 13, 2025 amefika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi(INEC) zilizopo Posta, jijini Dar es Salaam Kwa ajili ya kurudisha fomu yake ya kugombea Urais. Mpina akiwa na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Fereji wamerejesha...
  5. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkuu wa Majeshi amshukuru Rais Samia kwa kuunga mkono uboreshaji wa miundo mbinu ya mafunzo Jeshini

    Wakuu! Ni mimi tu au nyie mmeona? Hivi sasa Polisi wameendelea kupokea vitu vingi sana, kama magari, kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi, jambo linaibua maswali mengi, kwanini sasa hivi? Je, ni kwa nia njema au kuna ajenda ya kisiasa nyuma yake? ==== Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkurugenzi wa sheria CHADEMA: Jeshi La Polisi wamezuia dhamana ya Lucy Shayo

    Wakili Gaston Shundo Garubindi Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu: "Baada ya kukamilisha mahojiano kuhusu kosa la Kusambaza taarifa za uongo, Jeshi la Polisi wakasema wanakamilisha utaratibu wao lakini tumesubiri mpaka sasa usiku, mteja wetu hawajampatia dhamana"
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Ubunge CCM Serengeti Aomba Rais Ajenge Uwanja wa Ndege na Barabara za Lami

    Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Serengeti, Mary Daniel Joseph, amemuomba Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Ali Kawaida, kufikisha kilio cha wananchi kwa Rais kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege na barabara za kiwango cha lami ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo. “Mwenyekiti...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais TLP aahidi kuifuta Taasisi ya Mikopo ili wanafunzi wote wasome bure

    Mgombea urais kupitia Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira, ameahidi kuifuta Taasisi ya Mikopo ili wanafunzi wote wasome bure, iwapo wananchi watampa ridhaa ya kuiongoza nchi.
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Musiba: Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 ubunge Jimbo la Mwibara

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia Chama cha Act Wazalendo, Cyprian Musiba, ameeleza kuwa kuna njama zinazolengwa kumhujumu kwenye uchaguzi dhidi ya mpinzani wake, jambo ambalo amesisitiza kuwa hawawezi kukubali. “Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 kwa sababu huyo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa Makanisa ya Kimitume na Kinabii wahimiza Amani Uchaguzi Mkuu

    Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Makanisa ya Kitume na Kinabii Tanzania, wakiongozwa na rais wa Umoja huo Nabii Dr. Joshua Aram Mwantyala wamehimiza amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Wameeleza kuwa, Wagombea watakaoshindwa kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi huo, hawana...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Glory Tausi apita nyumba kwa nyumba kuomba kura jimbo la Kawe

    Mgombea ubunge wa Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi, leo Ijumaa, Septemba 12, 2025 ameendelea na kampeni zake kwa staili ya kupita nyumba kwa nyumba na vijiweni katika mitaa mbalimbali ya jimbo hilo. Picha na Michael Matemanga
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasimamizi wa Uchaguzi Geita Waaswa Kuepuka Vitisho na Upendeleo

    Wasimamizi wa uchaguzi mkoani Geita wametakiwa kuhakikisha wanaweka mazingira salama na ya haki, bila vitisho, ununuzi wa kura na upendeleo kama sehemu ya wajibu wao wa kusimamia zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ACT Wazalendo nitatumia pesa za Mfuko wa Jimbo Kutatua Changamoto za wananchi kwa haraka sana

    Mgombea ubunge wa jimbo la Ukonga kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Bakari Shingo amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kuwa atatumia fedha za mfuko wa jimbo kutatua changamoto zao kwa haraka na kushirikiana nao bega kwa bega katika shughuli za maendeleo.
  14. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili matata: Wananchi wamesalitiwa na vyama vilivyoshiriki uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi, Wakili Dickson Matata, ameonesha masikitiko yake kwa vyama vya siasa vilivyokubali kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo madai ya kukosekana kwa mabadiliko ya msingi katika mfumo wa uchaguzi nchini. Akizungumza kupitia...
  15. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Miss Tanzania wa mwaka 2022 na Wadudu wakizisaka kura za CCM Arusha

    Harakati za kusaka kura za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 Miss Tanzania 2022 Halima Kope na wadudu wanakiwasha
  16. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna haja kuwa na vyama vyenye wagombea wanaowaunga mkono wagombea wa CCM?

    Nimeona video ya mgombea urais Zanzibar kupitia AAFP, Said Soud Said akifurahia kukabidhiwa gari na Tume ya Uchaguzi Zanzibar. Kasahau kama nae ni mgombea Urais kaanza kumnadi mgombea urais kupitia CCM. Kwa maoni yangu naona hii si aina ya ushindani ambao tunahitaji kwenye uchaguzi, ni ujinga...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gombo avitaka vyombo vya dola kutenda haki

    Mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amevitaka vyombo vya dola Nchini kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa kwakuwa vipo kwajili ya kuwahudumia watanzania wote. Kauli hiyo ameitoa kwenye mkutano wa hadhara iliofanyika Kata ya Mahembe Jimbo la Kigoma...
  18. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapokezi ya Mgombea mwenza urais CCM Balozi Emmanuel Nchimbi Longido- Arusha

    Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amepokewa kwa kishindo alipowasili kwenye uwanja wa Polisi,Longido kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wa kampeni leo Ijumaa Septemba 12,2025...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tunataka maendeleo yaletwe na watu wenyewe

    "Maendeleo tunayoyataka ni maendeleo ya watu, yaletwe na watu wenyewe, yaendelezwe na watu wenyewe, yawafuate watu kule walipo. Hii ndiyo maana halisi ya uchumi jumuishi." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa kampeni Tabora Mjini
  20. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania GE2025 JAB: Ezekiel na Baraka wanaoshikiliwa na Polisi SIO waandishi wa habari, hawajawahi kujisajili! Hawana hadhi ya kutambulika kama waandishi

    BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WAHABARI UFAFANUZI KUHUSU WANAODAIWA KUWA WAANDISHI WAHABARI KUSHIKILIWA NAJESHI LAPOLISI MKOANIARUSHA Dar es Salaam 12 Septemba, 2025 Kwa mujibu wa Kifungu cha 13(a) cha Sheria ya Huduma za Habari Sura ya 229, Bodi ina wajibu wa kutoa ithibati na vitambulisho...
Back
Top Bottom