uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hakuna kampeni CCM ni makelele ya kumsifia mkuu wa nchi na kujikomba kwa mkuu wa nchi

    Nimewasikiliza wagombea wengi wa udiwani kupitia CCM hasa nafasi za ubunge na udiwani. Hakuna wanachonadi hiyo ilani yao na sera zao. Watanadi vipi ilani ambayo kwa zaidi ya miaka 60 ya uhuru ni hayo hayo tu maahadi yasiyotekelezwa? Kipi kipya? Kero za maji, afya na hata elimu ni zilezile...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kitila Mkumbo ajibu maswali na kusoga ugali wakati wa kuomba kura

    Kampeni za kituo kwa kituo, mtaa kwa mtaa zinazofanywa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Professa Kitila Mkumbo zimeendelea kusonga ambapo Septemba 12, 2025 alikitembelea kijiwe cha kahawa kilichopo Tabata Mwananchi, jijini Dar es Salaam. Alipotembelea...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Deo Sanga: CCM inakubalika kutokana na mambo yaliyofanyika makubwa

    "CCM inakubalika kutokana na mambo yaliyofanyika makubwa. Huko ukienda kwenye majimbo, kazi zilizofanywa na Dkt. Samia ni kubwa haijawahi kutokea, haijawahi kutokea! Ukienda kwenye afya, ukienda kwenye maji...kwenye afya zipo zahanati na hospitali zingine zinakosa wagonjwa",- Sanga. Aliyekuwa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto Kabwe: Othman anafaa urais Zanzibar anabebwa na rekodi zake

    Kiongozi mstaafu wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema mgombea urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman kwa tiketi ya chama hicho ndiye anayefaa kuongoza kisiwa hicho kutokana na kuwa mstari wa mbele wa kupigania masilahi ya Wazanzibari. Zitto ameeleza hayo leo Jumamosi Septemba 13, 2025 wakati...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Othman Masoud: Nikipewa Urais Zanzibar, Kipaumbele Kitakuwa Marekebisho ya Katiba

    Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema akipata ridhaa ya kuongoza dola, ataanza na marekebisho ya Katiba ili kuvifanya visiwa hivyo kuwa mikononi mwa Wazanzibari. Othman ameahidi Wazanzibari watakuwa na uhuru wa kuhoji kuhusu mwenendo wa uendeshaji...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Endapo nitaingia madarakani, nitafuata nyayo za Magufuli, nitarudisha heshima ya Pamba

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais, atafuata nyayo za Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwa kusimamia maslahi ya wakulima kwa kuhakikisha zao la pamba linarejea kwenye heshima yake...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mizengo Pinda: Msidanganywe na wanaotaka kuleta ubabaishaji wa amani

    Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Kayanza Pinda amesema Tanzania ni nchi ya Amani na Dkt Samia amekuwa akihubiri hilo, hivyo wananchi Wasidanganywe na wababaishaji ambao wanataka kuharibu Amani ya Tanzania. Mizengo Pinda amesema hayo katika Mkutano wa Kampeni za Urais zinazoendelea Kigoma akiwa...
  8. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Muhogo Mchungu: Msiniulize Sanaa, niulizeni kuhusu kampeni za Mama

    Mzee Muhogo Mchungu akataa kuhojiwa kuhusu mambo ya Sanaa badala yake aulizwe kuhusu kampeni za Mgombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mzee Mbembe: Rais Samia alitupeleka Wasanii Korea kujifunza, Oktoba tuka Tiki tu!

    Mwigizaji maarufu kama Mzee Mbembe, amesema, Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imewafanyia makubwa wasanii nchini ikiwemo kuwapa fursa ya kusafiri nchini Korea Kusini kujifunza zaidi kuhusu teknolojia mpya za uandaaji filamu na tamthilia pia kuhusu masoko na mbinu mpya...
  10. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Luhaga Mpina: Vyama vya upinzani si wahaini na wala si wahalifu katika nchi yao

    "Tume na mamlaka zote za umma zifanye kazi za umma, zifanye kazi kwa mujibu wa sheria, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inavyowataka wafanye. Vyama vya upinzani si wahaini na wala si wahalifu katika nchi yao, hivyo hakuna sababu yoyote ile ya kutumia mamlaka ya umma kuviadhibu...
  11. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Katibu wa Madereva Bodaboda: Sisi tuna amani chini ya uongozi wa Dkt. Samia, ndiyo maana mambo yanaenda

    Katibu wa Umoja wa Madereva Bodaboda Manyoni atoa tamko la kutunza Amani na Ushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 Katibu wa Umoja wa Madereva Bodaboda (Maafisa Usafirishaji) Wilaya ya Manyoni, Edward, amesisitiza kuwa madereva wa pikipiki wilayani humo wamejipanga kuhakikisha kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka...
  12. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vijana wa mama asemewe watinga Singida kuhamasisha vijana kushiriki uchaguzi mkuu

    Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Taifa, Ndg. Geofrey Kiliba ameendelea na ziara yake mkoani Singida ambapo alikutana na vijana maafisa usafirishaji katika wilaya ya Manyoni. Soma pia: Kampeni ya mama asemewe kuandaa kongamano kubwa la wanavyuo Dodoma kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kutoa magari kwa wagombea ndiyo kunatumika kama kipimo cha usawa?

    Chama cha ACT Wazalendo kimefafanua sababu zilizopelekea kukataa kupokea gari maalum alilokuwa amekabidhiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa chama hicho Luhaga Mpina na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Akizungumza na wanahabari kwenye viunga vya makao makuu...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Huwezi sikia mtu wa CCM akisema tukiwashe kwa fujo, wakisema tukiwashe ni King'amuzi cha Azam

    Mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, akiendelea na kampeni Kasulu Mjini, Kigoma leo Septemba 13, 2025), amesema chama chake hakina utamaduni wa vurugu. "Humsikii Mtu kwenye Chma Cha Mapinduzi (CCM), anasema tukiwashe, wakisema tukiwashe ni kile King'amuzi cha Azam, lakini sio tukiwashe...
  15. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Luhaga Mpina: Tunayo magari ya kutuwezesha kufanya kampeni nchi nzima, kwanini tuchukue gari la watanzania?

    Mgombea Urais kupitia Chama Cha ACT Wazalendo Luhaga Joelson Mpina ameendelea kukazia msimamo wake na chama chake kukataa gari la mgombea urais lililotolewa na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) "suala la gari kama nilivyosema maelezo aliyoyatoa hapa Mwanasheria Mkuu ndio msimamo wa Chama chetu cha...
  16. BigTall

    JamiiForums Tanzania GE2025 Omari Said Shabani: ACT Hatuwezi kuchukua gari wakati Watu wametakatisha fedha

    Akielezea uamuzi wa Chama chake kukataa gari kutoka kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya Mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Omari Said Shabani ameeleza hawawezi kuchukua gari wakati kuna mambo hayajazingatia usawa katika mchakato...
  17. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Luhaga Mpina: Nitashinda Urais kwa zaidi ya asilimia 70

    Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Jumamosi Septemba 13, 2025 akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupitishwa rasmi na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi amesema kuwa anatarajia kuibuka mshindi kwa zaidi ya asilimia 70 katika uchaguzi unaotarajiwa...
  18. Parabolic

    JamiiForums Tanzania GE2025 Othman Masoud (OMO) azindua kampeni Pemba

    Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman leo September 13 anazindua kampeni zake katika uwanja wa Tibirinzi, Chake Chake, Pemba kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika mkutano huo, Othman Masoud Othman, amesema kuwa endapo...
  19. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ngonyani azindua kampeni za udiwani kata ya Forest, aahidi kuwainua wananchi

    Mgombea Udiwani Kata ya Forest jijini Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Yassin Ngonyani amezindua Kampeni kwa kuweka vipaumbele vyake vya kusaidia makundi mbalimbali ya wafanyabiashara ndogondogo katika kuwainua kiuchumi ikiwemo kuwasaidia kupata mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri ya jiji...
  20. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Press Luhaga Mpina anazungumza na Wanahabari, leo Septemba 13, 2025

    Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Septemba 13, 2025 anatarajiwa kuzungumza na Waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika Ofisi ya Tume Jijini Dar es Salaam. Mkutano unafanyika Makao Makuu ya ACT Wazalendo – Magomeni. Pia soma ~ ACT yakataa gari...
Back
Top Bottom