Jana Katibu Mkuu wetu alizungumzia sana ukomo wa Urais ila akapitia kwa mbaaali kuzungumzia ukomo wa wabunge ila vijana tuliinasa nikajiuliza hivi kwanini?
1. hakuna ukomo wa ubunge na kuna video clips na picha za wabunge wazee kulala hadi kukoroma bungeni, wengine hawana maajabu wapo wapo tu...